• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe Za Watumishi |
Iringa District Council
Iringa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu sekondari
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Mazingira na Usafishaji
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA NA Uhusiano
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Mipango,Utawala na Uchumi
      • UKIMWI
      • Afya Elimu na Maji
      • UMazingira, uchumi na Ujenzi
      • Maadili
    • Ratiba Ya Vikao mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa kutekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Hudumakwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video za Shughuli Mbalimbali za kiofisi na za Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Baadhi ya Wadau wakiwa wanafuatilia mawasilisho ya Mada kuhusu Programu Jumuishi na Shirikishi ya UVIKO -19

Imewekwa : September 29th, 2021

RC – Iringa atoa maazimio ili kuleta tija ya Program Shirikishi Jumuishi ya UVIKO -19.

Na. (Anton Ramadhan -Iringa DC) 

Mkuu wa Mkoa wa Iringa Mh. Queen Sendiga ametoa maazimio ya kimkoa katika kuhakikisha zoezi Mpango Jumuishi Shirkikishi kuhusu chanjo ya UVIKO -19 ambayo kwa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa zoezi la utoaji chanjo hiyo lilianza Agosti 4 mwaka wa 2021.

Mh.Sendika alitoa maazimio hayo wakati wa kikao cha Afya cha Mkoa kilichofanyika katika Ukumbi wa Siasa ni Kilimo Septemba 28 mwaka huu wa 2021 lengo kuu la kikao hiko ni kuongeza elimu Jumuishi na Shirikisha kwa Jamii ili elimu na umuhimu wa chanjo na madhra ya UVIKO -19 iwapo hautapata chnjo hiyo.

Amesema ni wakati sasa kila mtaalam awe na taarifa sahihi juu ya suala zima la chanjo ili kuondoa hofu kwa jamii pindi inahitaji kufahamu kwa kina kuhusu suala zima la chanjo.

“Mwananchi hatokuwa na Imani iwapo mtaalam anaemtegemea kumuelimisha juu ya suala zima la chanjo ya UVIKO -19 akawa hana majibu au maelezo ya kina ya kumtoa shaka mwananchi huyo kwani hofu kubwa iliyotanda ilisababishwa na wananchi kutopata taarifa sahihi kutoka kwa watu au wataaalam sahihi”alisema.

Kwa upande wake Mkuu wa kitengo cha Habari na Mawasiliano Wizara ya Afya,Uatawi wa Jamii Jinsia Wazee na Watoto Bi.Catherine Sungura alisema kwa kufahamu umuhimu wa kuhabarisha Umma tayari Wizara hiyo imeingia mkataba na redio za ndani katika mikoa 26 ili kuwezesha kufikika kwa taarifa sahihi hususani maeneo ya vijijini.

“Tunatambua sio wananchi wote wanaweza kuwa na Luninga (Television) hivyo pamoja na kutumia vyombo na teknolojia mbalimbali za kufikisha elimu hiyo kipaumbele kimetolewa kwa redio za ndani”alisema Bi.Sungura.

Naye Dkt.Alexander May ambaye aliiwakilisha Ofisi ya Rais TAMISEMI alisema mpaka sasa Mkoa wa Iringa ulikuwa uko nyuma katika suala zima la chanjo na hali hii ilitokana na sababu mbalimbali na tayari mkatkati wa kukabiliana na hili umeshatekelewa ikiwa ni pamoja na kuongeza vituo vya utoaji chanjo hiyo ambapo kwa sasa Mkoa una vituo 231.

“Kila zahanati,vituo vya kutolea huduma za afya hospitali zinazoongozwa na kusimamiwa na taasisi za dini na hata huduma ya mkoba sasa inapatikana kupitia wataalam waliopewa mafunzo ya utoaji wa huduma hiyo”alisema

Matangazo

  • Heri ya sikukuu ya Pasaka April 19, 2025
  • Uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura May 01, 2025
  • Kila la Heri Kidato cha Sita 2025 May 05, 2025
  • KUITWA KWENYE USAHILI WA UBORESHAJI WA DAFTARI JIMBO LA KALENGA NA ISMANI December 06, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • KAMPUNI YA CC AIRWELL KUWEKEZA UVUNAJI WA MAJI ANGANI NA HEWA UKAA IRINGA DC

    May 29, 2025
  • BURIANI MHE. FELIX WAYA

    May 26, 2025
  • MCHENGERWA: MAAFISA HABARI HAKIKISHENI WANANCHI WANAPATA HABARI SAHIHI

    May 24, 2025
  • KIJIJI KWA KIJIJI YATUA KATA YA KIWELE, ULANDA NA NZIHI

    May 22, 2025
  • Tazama zote

Video

Makala kuhusu miundombinu ya elimu
video

Viungo vya haraka

  • FOMU YA USAJILI WA VIKUNDI
  • INGIA KWENYE MFUMO WA VIKUNDI VYA HUDUMA NDOGO ZA FEDHA
  • Salary slip

Viungo vinavyohusiana

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Rais-Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ofisi ya Rais -Utumishi na Utawala Bora
  • Sekretariati ya ajira
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti kuu ya takwimu huria
  • Tovuti Rasmi ya Rais

Idadi ya watembeleaji duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

https://bachelorthesiswritingservice.com

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kijiji cha Ihemi

    Anuani ya posta: Po.Box108 Iringa

    Simu ya mezani: 026-2702828/2702585

    Simu ya mkononi: 0757 364 994

    Barua pepe: ded@iringadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Haki miliki @ Halmashauri ya Wilaya ya Iringa. Haki zote zimehifadhiwa