• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe Za Watumishi |
Iringa District Council
Iringa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu sekondari
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Mazingira na Usafishaji
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA NA Uhusiano
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Mipango,Utawala na Uchumi
      • UKIMWI
      • Afya Elimu na Maji
      • UMazingira, uchumi na Ujenzi
      • Maadili
    • Ratiba Ya Vikao mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa kutekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Hudumakwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video za Shughuli Mbalimbali za kiofisi na za Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

IRINGA DC YASAINI MKATABA WA BVC NA VIJIJI VYA BOMALANG'OMBE NA LYAMKO

Imewekwa : November 25th, 2025


Halmashauri ya Wilaya ya Iringa imeingia makubaliano na kusaini mkataba wa kushirikiana kuendesha mradi wa Bomalang’ombe Village Company (BVC) ambapo Halmashauri ya Wilaya ya Iringa inamiliki hisa 50%, Kijiji cha Bomalang’ombe 22.5% na Kijiji cha Lyamko 22.5%.


Akizungumza wakati wa utiaji saini wa makubaliano baina vijiji hivyo yaliyofanyika katika ukumbi mdogo wa siasa ni kilimo Novemba 25, 2025, Mkuu wa Wilaya ya Iringa Mhe. Benjamin Sitta amesema mgogoro huo ni wa muda mrefu uliathiri uzalishaji mali wa kampuni inayojulikana kama bomalang’ombe village company BVC Kampuni iliyokuwa ikijishughulisha na uzalishaji wa nishati ya umeme, Kilimo, Ufugaji na usindikaji na kupelekea hasara kubwa kwa pande zote.


Vilevile Mhe. Sitta amesema makubaliano haya yanaenda kuleta manufaa makubwa sio tu kwa Halmashauri bali pia kwa vijiji husika.

Aidha Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Iringa Robert Masunya amesema kwenye vijiji hivyo kuna miradi zaidi ya minne kama uzalishaji wa umeme, uzalishaji miti ekari zaidi ya 400 ufugaji wa ngo’mbe na nguruwe hivyo kumalizika kwa mgogoro kutafanya miradi hiyo kuinuka na ku`fanya vizuri zaidi.

Kwa upande wao baadhi ya viongozi wa kijiji cha Bomalang’ombe na lyamko wamesema kumalizika kwa mgogoro huo kutafanya vijiji hivyo kunufaika ikiwa ni pamoja na ajira kwa wanawanchi wanaozunguka vijiji hivyo ambapo Mwenyekiti wa Kijiji cha Bomalang’ombe amemshukuru na kumpongeza Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa kwa jitihada zake hatimaye kufikia hatua ya makubaliano haya.


Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI JIMBO LA KALENGA & ISMAN October 12, 2025
  • Happy Nyerere day October 14, 2025
  • KUITWA KWENYE USAHILI WA UBORESHAJI WA DAFTARI JIMBO LA KALENGA NA ISMANI December 06, 2024
  • FURSA YA UWEKEZAJI KWA MFUMO WA UBIA (PPP) January 03, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • IRINGA DC YASAINI MKATABA WA BVC NA VIJIJI VYA BOMALANG'OMBE NA LYAMKO

    November 25, 2025
  • MAADHIMISHO YA SIKU YA LISHE - IRINGA DC NOV 24, 2025

    November 24, 2025
  • TUKAWE MABALOZI WAZURI KWENYE JAMII ZETU KUTOKOMEZA UKATILI - NDG MASUNYA

    November 21, 2025
  • PELEKENI TABASAMU KWA WANANCHI KIUTENDAJI - PROF. SHEMDOE

    November 19, 2025
  • Tazama zote

Video

Makala kuhusu miundombinu ya elimu
video

Viungo vya haraka

  • FOMU YA USAJILI WA VIKUNDI
  • INGIA KWENYE MFUMO WA VIKUNDI VYA HUDUMA NDOGO ZA FEDHA
  • Salary slip

Viungo vinavyohusiana

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Rais-Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ofisi ya Rais -Utumishi na Utawala Bora
  • Sekretariati ya ajira
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti kuu ya takwimu huria
  • Tovuti Rasmi ya Rais

Idadi ya watembeleaji duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

https://bachelorthesiswritingservice.com

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kijiji cha Ihemi

    Anuani ya posta: Po.Box108 Iringa

    Simu ya mezani: 026-2702828/2702585

    Simu ya mkononi: 0757 364 994

    Barua pepe: ded@iringadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Haki miliki @ Halmashauri ya Wilaya ya Iringa. Haki zote zimehifadhiwa