• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe Za Watumishi |
Iringa District Council
Iringa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu sekondari
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Mazingira na Usafishaji
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA NA Uhusiano
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Mipango,Utawala na Uchumi
      • UKIMWI
      • Afya Elimu na Maji
      • UMazingira, uchumi na Ujenzi
      • Maadili
    • Ratiba Ya Vikao mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa kutekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Hudumakwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video za Shughuli Mbalimbali za kiofisi na za Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Baraza la Madiwani Lawachukulia Hatua Watumishi Wasio na Nidhamu

Imewekwa : August 21st, 2023

Baraza la Madiwani Kuwachukulia Hatua Watumishi Watovu wa Nidhamu

Baraza la Madiwani limeketi katika kikao chake cha Robo ya Nne na kutoa maazimia kwa kuwachukulia hatua watumishi watovu wa nidhamu.

Akitoa hotuba yake katika Baraza hilo lililoketi Agosti 12, 2023 Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa Mheshimiwa Stephen Mhapa amesema, “ni lazima tuwachukulie hatua watumishi ambao hawana nidhamu. Adhabu hizo ni muhimu ili kuweka heshima katika Utumishi wa Umma na kuondokana na kufanya kazi kwa mazoea”

Kati ya Watumishi watano waliochukuliwa hatua, watumishi watatu wamefutwa kazi na watumishi wawili wamekatwa mishahara yao kwa asilimia 15 kwa muda wa miaka mitatu.

Baraza hilo ambalo limefanyika kwa siku tatu mfululizo na kwamba Siku ya Kwanza ya tarehe 11/08/2023 ilikuwa ni kutoa taarifa mbalimbali za Madiwani hao kutoka sehemu zao za utawala. Siku ya Pili ya tarehe 12/08/2023 ilikuwa ni Baraza la Kawaida kwa Robo ya Nne pia kutoa maamuzi mbaimbali, na Siku ya Tatu 13/08/2023 ilikuwa ni Baraza Maalum la Kufunga Mwaka pia kufanya uchaguzi kwa ajili ya kumchagua Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri, kama kanuni zinavyoelekeza.. Uchaguzi ulifanyika na kwamba Diwani wa Kata ya Idodi Mheshimiwa Julius Modestus Mbuta aliweza kuchaguliwa na kuridhiwa kuwa Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri.

Pamoja na Mambo mengine Mheshimiwa Mhapa ameweza kutoa pongezi kwa Mkurugenzi na Wataalam wote kwa kazi nzuri ya maandalizi ya Sikukuu ya Wakulima (Nane Nane). Sherehe hizo zilihitimiswa tarehe 08/08/2023, na Halmashauri ya Wilaya ya Iringa kushika nafasi ya Tatu Kitaifa, na kuwa mshindi wa Pili Kimkoa ikitanguliwa na Manispaa ya Iringa.  Katika ushindi huo Mkulima Japhet Thomas Ngimbusi kutoka Kata ya Luhota Kijiji cha Ikuvilo amekuwa Mkulima Bora wa Kwanza Kimkoa na wa Pili Kitaifa, amezawadiwa kiasi cha Shilingi Milioni 6. Mfugaji Bora wa Ng’ombe wa Nyama Ndugu Matambile Mgemaa kutoka Kata ya Idodi Kijiji cha Tungamalenga amekuwa Mshindi wa Kwanza Kimkoa na kuzawadiwa kiasi cha Shilingi Milioni 2, hivyo kupelekea Halmashauri kupata Tuzo.

Matangazo

  • Heri ya sikukuu ya Pasaka April 19, 2025
  • Uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura May 01, 2025
  • Kila la Heri Kidato cha Sita 2025 May 05, 2025
  • KUITWA KWENYE USAHILI WA UBORESHAJI WA DAFTARI JIMBO LA KALENGA NA ISMANI December 06, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • KAMPENI YA CHANJO YA POLIO AWAMU YA PILI YATOLEWA MEI 01, 2025

    May 08, 2025
  • MBOMIPA Wakabidhi Gari kwa Jumuiya ya Hifadhi ya Wanyamapori

    May 08, 2025
  • IRINGA DC YAKABIDHI MWENGE WA UHURU KILOLO DC

    April 29, 2025
  • MWENGE WA UHURU 2025 WAZINDUA SHULE MPYA YA SEKONDARI MAKATAPOLA

    May 04, 2025
  • Tazama zote

Video

Makala kuhusu miundombinu ya elimu
video

Viungo vya haraka

  • FOMU YA USAJILI WA VIKUNDI
  • INGIA KWENYE MFUMO WA VIKUNDI VYA HUDUMA NDOGO ZA FEDHA
  • Salary slip

Viungo vinavyohusiana

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Rais-Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ofisi ya Rais -Utumishi na Utawala Bora
  • Sekretariati ya ajira
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti kuu ya takwimu huria
  • Tovuti Rasmi ya Rais

Idadi ya watembeleaji duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

https://bachelorthesiswritingservice.com

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kijiji cha Ihemi

    Anuani ya posta: Po.Box108 Iringa

    Simu ya mezani: 026-2702828/2702585

    Simu ya mkononi: 0757 364 994

    Barua pepe: ded@iringadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Haki miliki @ Halmashauri ya Wilaya ya Iringa. Haki zote zimehifadhiwa