• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe Za Watumishi |
Iringa District Council
Iringa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu sekondari
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Mazingira na Usafishaji
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA NA Uhusiano
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Mipango,Utawala na Uchumi
      • UKIMWI
      • Afya Elimu na Maji
      • UMazingira, uchumi na Ujenzi
      • Maadili
    • Ratiba Ya Vikao mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa kutekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Hudumakwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video za Shughuli Mbalimbali za kiofisi na za Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Benk Kuu ya Tanzania, Yatoa Elimu ya Mikopo

Imewekwa : February 27th, 2024

Benki Kuu ya Tanzania Yatoa Elimu ya Mikopo

Wataalam kutoka Benki Kuu ya Tanzania (BoT) imefanya ziara kutembelea Halmashauri ya Wilaya ya Iringa kwa lengo la kutoa elimu kwa watumishi juu ya kuchukua mikopo kutoka kwenye Taasisi mbalimbali za kifedha.

Wataalam hao ni Meneja wa Uendeshaji Bi. Graceana Erasto Bemeye na Meneja Msaidizi Kitengo cha Benki Bi. Sweetlet Mushi, ambao wametokea Benki Kuu Tawi la Mbeya, wamewaasa watumishi pindi wanapotaka kuchukua mkopo kutoka kwenye Taasisi za Kifedha basi ni muhimu wajue mambo mbalimbali juu ya Taasisi husika.

“Benki Kuu inashauri watumishi tukope kwenye Taasisi za kifedha ambazo zimesajiliwa na zina Leseni halali kutoka Benki Kuu ya Tanzania. Hii itasaidia pale ambapo utapata tatizo katika mkopo wako kuwachukulia hatua za kisheria, kwani Taasisi ikikosea masharti iliyopewa na Benki Kuu huweza kufutiwa Leseni na kufungiwa huduma”.

Pamoja na mambo mengine Wawezeshaji wamesema, kila Taasisi ya Fedha lazima iwe na dawati la kutatua migogoro kati yao na mteja, na kwamba mgogoro unapowasilishwa katika dawati hilo, ni lazima utatuliwe ndani ya siku 14, kama utakuwa bado basi huongezwa siku saba. Ikishindikana hapo mteja anaweza kuwaandikia Benki Kuu na kuwasilisha mgogoro wake na Taasisi husika.

Wawezeshaji wamesisitiza kuwa, baada ya hii elimu wnaanchi/watumishi wawe makini zaidi wakati wa kwenda kukopa kwenye Taasisi yoyote ya kifedha, na kuongeza kuwa, kusoma mkataba wa ukopeshaji ni muhimu sana kabla ya kusaini mkataba huo.

Pia imesisitizwa mtumishi kulinda sana namba ya usajiri wa ajira (Cheki Namba) ikiwa na nywila au neno siri (Password) ya akanti ya benki.  

Matangazo

  • PONGEZI June 24, 2025
  • KUITWA KWENYE USAHILI WA UBORESHAJI WA DAFTARI JIMBO LA KALENGA NA ISMANI December 06, 2024
  • FURSA YA UWEKEZAJI KWA MFUMO WA UBIA (PPP) January 03, 2025
  • TANGAZO LA KAZI January 24, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MANENO MAZITO YA MHE. MHAPA WAKATI WA KUVUNJA BARAZA

    June 19, 2025
  • KAMATI YA FEDHA, UTAWALA NA MIPANGO YAFANYA ZIARA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO KWA ROBO YA NNE

    June 19, 2025
  • MKUTANO WA BARAZA LA MADIWANI KWA ROBO YA NNE 2024/2025 WAFANYIKA

    June 18, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA IRINGA YAPONGEZWA KWA KUPATA HATI SAFI

    June 17, 2025
  • Tazama zote

Video

Makala kuhusu miundombinu ya elimu
video

Viungo vya haraka

  • FOMU YA USAJILI WA VIKUNDI
  • INGIA KWENYE MFUMO WA VIKUNDI VYA HUDUMA NDOGO ZA FEDHA
  • Salary slip

Viungo vinavyohusiana

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Rais-Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ofisi ya Rais -Utumishi na Utawala Bora
  • Sekretariati ya ajira
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti kuu ya takwimu huria
  • Tovuti Rasmi ya Rais

Idadi ya watembeleaji duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

https://bachelorthesiswritingservice.com

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kijiji cha Ihemi

    Anuani ya posta: Po.Box108 Iringa

    Simu ya mezani: 026-2702828/2702585

    Simu ya mkononi: 0757 364 994

    Barua pepe: ded@iringadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Haki miliki @ Halmashauri ya Wilaya ya Iringa. Haki zote zimehifadhiwa