• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe Za Watumishi |
Iringa District Council
Iringa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu sekondari
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Mazingira na Usafishaji
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA NA Uhusiano
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Mipango,Utawala na Uchumi
      • UKIMWI
      • Afya Elimu na Maji
      • UMazingira, uchumi na Ujenzi
      • Maadili
    • Ratiba Ya Vikao mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa kutekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Hudumakwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video za Shughuli Mbalimbali za kiofisi na za Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

DC IRINGA AWAHIMIZA WANANCHI KUWA NA MPANGO WA MATUMIZI BORA YA ARDHI

Imewekwa : June 4th, 2024


Mkuu wa Wilaya ya Iringa Mhe. Kheri James awahimiza wananchi kupitia  kuwa na matumizi bora ya ardhi ili kuepuka migogoro inayotokana na matumizi ya ardhi. Mhe. Kheri ameyasema hayo alipokuwa kwenye ziara kusikiliza wananchi, kuhamasisha maendeleo na kukagua miradi katika kata ya Kihanga, Wasa na Maboga June 04, 2024.

Mhe. Kheri amesema maeneo yote yajulikane kulingana na matumizi yake na kwamba wananchi wanapaswa kutoa ushirikiano kwa maafisa ardhi ili kuweza kupimiwa maeneo yao ambapo hii itasaidia kuondoa migogoro ikiwemo ya wakulima na wafugaji.

“Maeneo yakipimwa yakamilikishwa maana yake kila shamba litakuwa na mwenyewe na huyo mwenyewe atakuwa na hati ya kimila, akiwa na hati ya kimila hakuna mtu atakayevamia kwenye eneo ambalo limepimwa na kumilikishwa”, amesema Mhe. Kheri.

Aidha Mhe. Kheri amesisitiza kuwa ni muhimu kwa maeneo yenye migogoro inayohatarisha ustawi wa wananchi hasa maeneo ya uzalishaji mali lazima imalizwe na kuwaagiza maafisa ardhi wa Halmashauri kuhakikisha wanafika kwenye maeneo yenye migogoro na kufanya utatuzi hasa kwenye kata ya Kihanga na Kiponzelo.

Kwa upande wao, wananchi wa kata husika kupitia kwa viongozi wao wametoa shukrani na pongezi kwa serikali inayoongozwa na Rais Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuleta fedha nyingi za Miradi ya elimu, afya na barabara. Sanjari na hayo pia wananchi wametoa kero na changamoto mbalimbali ambazo zimechukuliwa kwa ajili ya utatuzi na zingine kutatuliwa au kutolewa ufafanuzi wa papo kwa papo.

Mkuu wa Wilaya ameanza ziara yenye lengo la kuzifikia kata zote 28 za Halmashauri ya Wilaya ya Iringa ili kuwasikiliza wananchi, kuwahamashisha kwenye shughuli za maendeleo na kukagua miradi inayotekelezwa kwenye maeneo husika.

#Iringa Imara, Tutaijenga kwa Umoja na Uwajibikaji.

Matangazo

  • KARIBU IRINGA MHE. SITTA June 30, 2025
  • KUITWA KWENYE USAHILI WA UBORESHAJI WA DAFTARI JIMBO LA KALENGA NA ISMANI December 06, 2024
  • FURSA YA UWEKEZAJI KWA MFUMO WA UBIA (PPP) January 03, 2025
  • TANGAZO LA KAZI January 24, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • DC IRINGA MHE. BENJAMIN SITTA APOKELEWA NA KUKABIDHIWA OFISI

    June 30, 2025
  • MAFUNZO YA MFUMO WA ESS YATOLEWA KWA WATUMISHI IRINGA DC

    June 25, 2025
  • MANENO MAZITO YA MHE. MHAPA WAKATI WA KUVUNJA BARAZA

    June 19, 2025
  • KAMATI YA FEDHA, UTAWALA NA MIPANGO YAFANYA ZIARA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO KWA ROBO YA NNE

    June 19, 2025
  • Tazama zote

Video

Makala kuhusu miundombinu ya elimu
video

Viungo vya haraka

  • FOMU YA USAJILI WA VIKUNDI
  • INGIA KWENYE MFUMO WA VIKUNDI VYA HUDUMA NDOGO ZA FEDHA
  • Salary slip

Viungo vinavyohusiana

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Rais-Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ofisi ya Rais -Utumishi na Utawala Bora
  • Sekretariati ya ajira
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti kuu ya takwimu huria
  • Tovuti Rasmi ya Rais

Idadi ya watembeleaji duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

https://bachelorthesiswritingservice.com

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kijiji cha Ihemi

    Anuani ya posta: Po.Box108 Iringa

    Simu ya mezani: 026-2702828/2702585

    Simu ya mkononi: 0757 364 994

    Barua pepe: ded@iringadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Haki miliki @ Halmashauri ya Wilaya ya Iringa. Haki zote zimehifadhiwa