• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe Za Watumishi |
Iringa District Council
Iringa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu sekondari
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Mazingira na Usafishaji
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA NA Uhusiano
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Mipango,Utawala na Uchumi
      • UKIMWI
      • Afya Elimu na Maji
      • UMazingira, uchumi na Ujenzi
      • Maadili
    • Ratiba Ya Vikao mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa kutekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Hudumakwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video za Shughuli Mbalimbali za kiofisi na za Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

DC Moyo Aitaka Kamati ya Lishe IDC Kuhakikisha Inaandaa Bajeti ya Lishe Iliyojitosheleza

Imewekwa : November 19th, 2022

DC Moyo Aitaka Kamati ya Lishe IDC Kuhakikisha Inaandaa Bajeti ya Lishe Iliyojitosheleza

Mkuu wa Wilaya ya Iringa Mhe. Mohamed Moyo amewataka Wajumbe wa Kamati ya Lishe Halmashauri ya Wilaya ya Iringa kutenga bajeti ambayo itakuwa imezingatia makundi maalumu ya walengwa na kuhakikisha ina akisi uhalisia.

Amesema fedha hizo zitengwe kulingana na shughuli husika zinazokadiriwa kufanywa aidha amesisitiza pia kutenga mafungu kwa ajili ya watendaji ambao watakwenda kutekeleza na kusimamia shughuli za lishe katika vijiji basi nao wazingatiwe.

Ameyasema hayo mapema leo 19 Novemba, 2022 alipokua akifungua kikao cha kujadili maandalizi ya makisio ya bajeti ya lishe kwa mwaka 2023/2024. Kikao kilichofanyika katika Ukumbi wa Halmashauri (Siasa ni Kilimo).

"Hata kama kuna kamati ya hamasa ambayo ipo kwa lengo la kuhamasisha nayo msiisahau katika mipango, Muhakikishe hamumsahau mtu au kamati yoyote ili katika utekelezaji msikumbane na changamoto yoyote". Ameongeza.

Naye Afisa Lishe Mkoa Bibi Neema Mtekwa Amesema kuwa suala la lishe bora ni suala endelevu lazima kuwepo na muendelezo na amesema pia lishe ni chakula hivyo lishe bila chakula haiwezekani amesisitiza kwa Wataalamu kuendelea kutoa elimu na hamasa kwa wananchi juu ya umuhimu wa lishe bora na athari za kutokua na lishe bora.

"Kila kaya lazima iwe na chakula cha kutosha yani wale washibe, hata kama ni maskini natarajia hapa wataalamu watawasaidia kuwajengea uwezo wa kimkakati wa namna ya kupata kipato na kukitunza kile wanachokipata".

Aidha kwa kufanya vikao vya tathmini kuona wanawasaidiaje hawa watu aidha kwa kuwaingiza katika vikundi vya ujasiriamali au hata shughuli hizo hizo za kilimo lakini kuwapa mbinu za namna ya kujikwamua kiuchumi ili mwisho waweze kumudu gharama za chakula. Ameongeza.

Bibi Mtekwa pia amezungumza kuhusu suala la matumizi sahihi ya fedha za lishe kwa kuhakikisha zinatumika kwa malengo yaliowekwa ili kuepuka kuibuka kwa hoja pindi wakaguzi wanapokuja kuhakiki na kuwataka wajumbe kushiriki kikamilifu katika kuhakikisha matumizi ya fedha za lishe hayatumiki tofauti na ilivyopangwa.

Kwa upande wake Afisa Lishe Wilaya Bibi Tiliza Mbulla Amesema kwa bajeti iloyopita ilitumika vizuri na ilileta mafanikio chanya na bajeti iliyokua imetengwa ilikua ni Tshs. 62,830,000 kiasi kilichotumika ni Tshs  56,188,150 Sawa na asilimia 89.4 huku Mkurugenzi Mtendaji akiidhinisha  96.8% ya fedha  iliyotengwa kutoka mapato ya ndani ya Halmashauri , hivyo amemshukuru sana.

Akifunga kikao hicho Katibu Tawala Wilaya ya Iringa Ndugu Estomin Kyando amewashukuru wajumbe wote waliohudhuria na kusisitiza juu ya yale yaliyopendekezwa kutumika inavyotakiwa ili suala la udumavu liweze kukomeshwa.

Matangazo

  • Heri ya sikukuu ya Pasaka April 19, 2025
  • Uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura May 01, 2025
  • Kila la Heri Kidato cha Sita 2025 May 05, 2025
  • KUITWA KWENYE USAHILI WA UBORESHAJI WA DAFTARI JIMBO LA KALENGA NA ISMANI December 06, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • KAMPUNI YA CC AIRWELL KUWEKEZA UVUNAJI WA MAJI ANGANI NA HEWA UKAA IRINGA DC

    May 29, 2025
  • BURIANI MHE. FELIX WAYA

    May 26, 2025
  • MCHENGERWA: MAAFISA HABARI HAKIKISHENI WANANCHI WANAPATA HABARI SAHIHI

    May 24, 2025
  • KIJIJI KWA KIJIJI YATUA KATA YA KIWELE, ULANDA NA NZIHI

    May 22, 2025
  • Tazama zote

Video

Makala kuhusu miundombinu ya elimu
video

Viungo vya haraka

  • FOMU YA USAJILI WA VIKUNDI
  • INGIA KWENYE MFUMO WA VIKUNDI VYA HUDUMA NDOGO ZA FEDHA
  • Salary slip

Viungo vinavyohusiana

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Rais-Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ofisi ya Rais -Utumishi na Utawala Bora
  • Sekretariati ya ajira
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti kuu ya takwimu huria
  • Tovuti Rasmi ya Rais

Idadi ya watembeleaji duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

https://bachelorthesiswritingservice.com

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kijiji cha Ihemi

    Anuani ya posta: Po.Box108 Iringa

    Simu ya mezani: 026-2702828/2702585

    Simu ya mkononi: 0757 364 994

    Barua pepe: ded@iringadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Haki miliki @ Halmashauri ya Wilaya ya Iringa. Haki zote zimehifadhiwa