• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe Za Watumishi |
Iringa District Council
Iringa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu sekondari
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Mazingira na Usafishaji
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA NA Uhusiano
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Mipango,Utawala na Uchumi
      • UKIMWI
      • Afya Elimu na Maji
      • UMazingira, uchumi na Ujenzi
      • Maadili
    • Ratiba Ya Vikao mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa kutekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Hudumakwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video za Shughuli Mbalimbali za kiofisi na za Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

DC Moyo Awataka Wananchi Kuacha Kunung’unika

Imewekwa : December 9th, 2022

DC Moyo Awataka Wananchi Kuacha Kunung’unika

Mkuu waa Wilaya ya Iringa Mhe. Mohammed Moyo amesema taifa haliwezi kupiga hatua za kimaendeleo ikiwa Watanzania bado tutaendelea kunung’unika na kunyoosheana vidole ni lazima kufanya kazi kwa bidii.

Amesema Mataifa yote yaliyoendelea duniani watu wake walifanya kazi na hakukuwa na mtu yoyote aliyetoka nje yao kwenda kuwasaidia katika maendeleo yao, hivyo ili kuendelea kuijenga Tanzania yetu bora na imara ni lazima kufanya kazi kwa bidi.

Ameyasema hayo mapema katika maadhimisho ya kumbukumbu ya siku ya Uhuru wa Tanzania Bara yaliyoadhimishwa kiwilaya tarehe 09.12.2022 katika Ukumbi wa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa, ulipofanyika mdahalo maalumu wa kujadili maendeleo ambayo nchin yetu Tanzania imefikia na kujadili kwa pamoja tulikotoka, tulipo na tuendako

“kwa sasa tunajitawala wenyewe hivyo kila Mtanzania ni lazima ajivunie hilo na tuendelee kuijenga nchi yetu kwa kuchapa kazi kwa bidii, Hakuna njia ya mkato ndugu zangu watanzania ni lazima tuchape kazi kwa sababu nguvu tunazo, uwezo tunao hivyo taifa hili litapata maendeleo kama sisi wenyewe tutachapa kazi”.

Amesema pia miaka hii 61 ya Uhuru haikuwa rahisi kwani wazee wetu walijitoa maisha yao, nguvu zao, mali zao mpka kupatikana kwa uhuru wetu, hivyo amesema kwa watanzania ambao wamezaliwa baada ya uhuru kuendelea kuuenzi uhuru na amani yetu ambayo tumekuwa nayo kwa kipindi cha miaka 61.

“Tuendelee kuulinda uhuru wetu, tuendelee kulinda na kudumisha mafanikio yetu yote ambayo Tanzania imeyapata kuanzia kwa viongozi wetu waliopita na viongozi wetu wajao wanaotaka tuyafikie, huo ndio itakuwa uzalendo wa kweli”.

Aidha amesema sisi kama taifa ni lazima tuwe na msimamo wetu na mipango yetu ya kufanya kama taifa hususani uapande wa maadili kwani kwa siku za hivi karibuni maadili yameonekana kuporomoka kwa kiasi kikubwa hususani kupitia mitandao ya kijamii, hivyo ameagiza kurejea kwenye tamaduni zetu tulizolelewa nazo.

Pis Mhe. Moyo ametumia Jukwaa hilo kutoa rai kwa wananchi juu ya Kupinga ukatili wa kijinsia kwa kuendelea kukemea na kutoa taarifa za ukatili zinapotokea au kuonekanapo kwa dalili za ukatili. Ameongeza kwa kusema kuwa Iringa bila Ukatili inawezekana na ni lazima tushinde vita hiyo.

Mdahalo huo umehusisha Watumishi wa Umma wote kutoka Halmashauri ya Wilaya na Manispaa ya Iringa, Vyombo vya Ulinzi na Usalama, Vyama vya Siasa, Viongoziu wa Dini, baadhi ya Wahadhiri na Wanafunzi kutoka Vyuo Vikuu vya Iringa na Shule za Msinga na Sekondari, Viongozi wa makundi mbalimbali pamoja na wananchi.

Matangazo

  • Heri ya sikukuu ya Pasaka April 19, 2025
  • Uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura May 01, 2025
  • Kila la Heri Kidato cha Sita 2025 May 05, 2025
  • KUITWA KWENYE USAHILI WA UBORESHAJI WA DAFTARI JIMBO LA KALENGA NA ISMANI December 06, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • "KILA KATA WEKENI MIKAKATI MAALUMU YA KUPUNGUZA HALI DUNI YA LISHE" - MHE. KHERI JAMES

    May 09, 2025
  • KAMPENI YA CHANJO YA POLIO AWAMU YA PILI YATOLEWA MEI 01, 2025

    May 08, 2025
  • MBOMIPA Wakabidhi Gari kwa Jumuiya ya Hifadhi ya Wanyamapori

    May 08, 2025
  • IRINGA DC YAKABIDHI MWENGE WA UHURU KILOLO DC

    April 29, 2025
  • Tazama zote

Video

Makala kuhusu miundombinu ya elimu
video

Viungo vya haraka

  • FOMU YA USAJILI WA VIKUNDI
  • INGIA KWENYE MFUMO WA VIKUNDI VYA HUDUMA NDOGO ZA FEDHA
  • Salary slip

Viungo vinavyohusiana

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Rais-Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ofisi ya Rais -Utumishi na Utawala Bora
  • Sekretariati ya ajira
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti kuu ya takwimu huria
  • Tovuti Rasmi ya Rais

Idadi ya watembeleaji duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

https://bachelorthesiswritingservice.com

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kijiji cha Ihemi

    Anuani ya posta: Po.Box108 Iringa

    Simu ya mezani: 026-2702828/2702585

    Simu ya mkononi: 0757 364 994

    Barua pepe: ded@iringadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Haki miliki @ Halmashauri ya Wilaya ya Iringa. Haki zote zimehifadhiwa