• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe Za Watumishi |
Iringa District Council
Iringa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu sekondari
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Mazingira na Usafishaji
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA NA Uhusiano
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Mipango,Utawala na Uchumi
      • UKIMWI
      • Afya Elimu na Maji
      • UMazingira, uchumi na Ujenzi
      • Maadili
    • Ratiba Ya Vikao mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa kutekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Hudumakwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video za Shughuli Mbalimbali za kiofisi na za Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

DSW Yatambulisha Mradi wa REST

Imewekwa : November 15th, 2024

DSW Yatambulisha Mradi wa REST

Shirika lisilo la Kiserikali la Deutsche Stiftung Wettbevolkerung – DSW kwa kushirikiana na Mashirika ya TAHEA na Alama Yangu za Mkoani Iringa, wametambulisha mradi wa Reproductive Equity Strategy in Tanzania - REST, ambao utajikita katika kuhudumia vijana wa rika mbalimbali katika masuala ya uzazi na uchumi. Hafla ya utambulisho wa Mradi huo imefanyika Novemba 15, 2024 katika Ukumbi wa Hotel ya Sun Set iliyopo Manispaa ya Iringa.

Shirika la DSW lilisajiriwa mwaka 2006 na Makao yake Makuu yapo Arusha, lenye lengo la kutoa elimu ya afya na maendeleo katika nyanja ya uchumu kwa vijana.

Katika kuanza kwake kufanya kazi Shirika la DSW lilianza kazi katika Mikoa ya Arusha, Dar es Salaam, Kilimanjaro, na sasa wameingia Mbeya, Songwe na Iringa. Katika Mkoa wa Iringa Shirika litafanya kazi katika Manispaa ya Iringa na Halmashauri ya Wilaya ya Iringa.

Katika Halmashauri ya Wilaya ya Iringa Shirika litashirikiana na TAHEA na kuafanya kazi katika Kata Nne ambazo zina changamoto nyingi kwenye eneo la vijana ambazo ni Ifunda, Mseke, Kising’a na Kihorogota.

Akizungumza katika utambulisho wa mradi huo Mkurugenzi wa Shirika la DSW Ndugu Peter Owaga amesema, lengo la Shirika ni kutoa mafunzo kwa vijana juu ya stadi za maisha, elimu ya uzazi, kutokomeza ukatili, kuwajengea uwezo wa kujitegemea na ujasiriamali, kujikinga na VVU, mimba za utotoni na kuanzisha vikundi mbalimbali,  kwa vijana.

Baada ya kuwafikia walengwa Shirika la DSW linatarajia kuona kuimarika kwa ushiriki, kuongezeka kwa uwezo wa Wadau, kuanzisha kwa Klabu za Afya shuleni, kuwezesha vijana Mabalozi na Klabu za Afya.

Ndugu Owaga ameendelea kusema kuwa, vijana ambao watawafikia ni walio ndani na nje ya mfumo wa  shule,  Vyuo Vikuu na wale wa mtaani.

Naye Mkurugenzi wa Miradi wa Shirika la TAHEA Ndugu Peter Mapunda na Mkurugenzi wa Alama Yangu Bi. Joyce Ernesta wamepokea kwa mikono miwili Shirika la DSW na kuahidi kutoa ushirikiano kwa kuwafikisha katika Kata zote ambazo zimepangwa kutembelewa.

Kwa upande wa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa Shirika la DSW litashiriiana na Shirika la TAHEA kama Shirika na mwenyeji na upande wa Halmashauri ya Manispaa ya Iringa watashirikiana na Shirika la Alama yangu ambapo watafanya kazi katika Kata Tano za Manispaa ambazo ni Makorongoni, Ruaha, Kihesa, Mkwawa na Mtwivila.

Matangazo

  • Heri ya sikukuu ya Pasaka April 19, 2025
  • Uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura May 01, 2025
  • Kila la Heri Kidato cha Sita 2025 May 05, 2025
  • KUITWA KWENYE USAHILI WA UBORESHAJI WA DAFTARI JIMBO LA KALENGA NA ISMANI December 06, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • "KILA KATA WEKENI MIKAKATI MAALUMU YA KUPUNGUZA HALI DUNI YA LISHE" - MHE. KHERI JAMES

    May 09, 2025
  • KAMPENI YA CHANJO YA POLIO AWAMU YA PILI YATOLEWA MEI 01, 2025

    May 08, 2025
  • MBOMIPA Wakabidhi Gari kwa Jumuiya ya Hifadhi ya Wanyamapori

    May 08, 2025
  • IRINGA DC YAKABIDHI MWENGE WA UHURU KILOLO DC

    April 29, 2025
  • Tazama zote

Video

Makala kuhusu miundombinu ya elimu
video

Viungo vya haraka

  • FOMU YA USAJILI WA VIKUNDI
  • INGIA KWENYE MFUMO WA VIKUNDI VYA HUDUMA NDOGO ZA FEDHA
  • Salary slip

Viungo vinavyohusiana

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Rais-Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ofisi ya Rais -Utumishi na Utawala Bora
  • Sekretariati ya ajira
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti kuu ya takwimu huria
  • Tovuti Rasmi ya Rais

Idadi ya watembeleaji duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

https://bachelorthesiswritingservice.com

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kijiji cha Ihemi

    Anuani ya posta: Po.Box108 Iringa

    Simu ya mezani: 026-2702828/2702585

    Simu ya mkononi: 0757 364 994

    Barua pepe: ded@iringadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Haki miliki @ Halmashauri ya Wilaya ya Iringa. Haki zote zimehifadhiwa