• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe Za Watumishi |
Iringa District Council
Iringa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu sekondari
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Mazingira na Usafishaji
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA NA Uhusiano
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Mipango,Utawala na Uchumi
      • UKIMWI
      • Afya Elimu na Maji
      • UMazingira, uchumi na Ujenzi
      • Maadili
    • Ratiba Ya Vikao mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa kutekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Hudumakwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video za Shughuli Mbalimbali za kiofisi na za Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Ibo Italia Wakabidhi Chumba cha Upimaji

Imewekwa : June 5th, 2024

Ibo Italia Wakabidhi Chumba cha Upimaji

Kaimu Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Iringa Joseph Kinyanyah Mei 28, 2024 amepokea jengo la kupmia wanafunzi wenye mahitaji maalum kama uoni, ulemavu wa viungo, akili na usikivu lililojengwa na Shirika la Ibo Italia ambapo jengo hilo linaitwa “Chumba Chetu” katika Shule ya Msingi Kipera.

Akitoa ahadi kwa Mkurugenzi wa Shirika hilo Bi. Paola Ghezzi Kinyanyah amesema jengo hili litasaidia kujua mtoto ana shida na njia ipi itumike kumsaidia, pia litasaidia kwa shule zingine zenye mahitaji maalum kama Tanangozi, Kidamali na Mfyome zote hizi zitaenda kunufaika na mradi wa Chukba chetu.

Aidha, Kinyanyah amewaambia wazazi kuwa mtoto ana fursa za kusoma bila kujali hali yake, huku akiowaomba wazazi kuwa mabalozi kwa wazazi wengine, ili kuongeza idadi ya watoto wenye mahitaji maalum kupatiwa elimu, kwani mpaka sasa shule hiyo ina watoto 750 tu.

Vilevile amewaambia wazazi hao kuwa washirikiane kwenye miradi ya maendeleo kwani kwani Serikali inatoa pesa lakini inahitaji pia nguvu kazi kutoka kwa wananchi ili kukamilisha miradi hiyo.

Pamoja na hayo Bwana Kinyanyah amewasihi wazazi wawe wanakwenda mara kwa mara kuwatembelea watoto hao na kujionea maendeleo yao.

Naye Mkurugenzi wa Shirika hilo Bi. Paola amesema yote haya yasingewezakana bila kushirikiana vizuri na uongozi wa Halmashauri na shule ya Msingi Kipera. Akisisitiza kuwa Serikali inaweza kusaidia, pamoja na mashirika ila wasisahau kuwa haya ni majukumu ya wote.

Bi. Paola amekabidhi mradi huo uliogharimu kiasi cha Shilingi za Kitanzania 30.2 ambapo utatoa msaada kwa watoto hao.

Naye Afisa Elimu Elimu Maalum Bwana Wilfred Mattu amepongeza na kushukuru Serikali kwa kuruhusu Mashirika kutoa misaada kwa watoto hao na kusema watoto hao wanahitaji fursa kama watoto wengine.

Matangazo

  • Heri ya sikukuu ya Pasaka April 19, 2025
  • Uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura May 01, 2025
  • Kila la Heri Kidato cha Sita 2025 May 05, 2025
  • KUITWA KWENYE USAHILI WA UBORESHAJI WA DAFTARI JIMBO LA KALENGA NA ISMANI December 06, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • KAMPUNI YA CC AIRWELL KUWEKEZA UVUNAJI WA MAJI ANGANI NA HEWA UKAA IRINGA DC

    May 29, 2025
  • BURIANI MHE. FELIX WAYA

    May 26, 2025
  • MCHENGERWA: MAAFISA HABARI HAKIKISHENI WANANCHI WANAPATA HABARI SAHIHI

    May 24, 2025
  • KIJIJI KWA KIJIJI YATUA KATA YA KIWELE, ULANDA NA NZIHI

    May 22, 2025
  • Tazama zote

Video

Makala kuhusu miundombinu ya elimu
video

Viungo vya haraka

  • FOMU YA USAJILI WA VIKUNDI
  • INGIA KWENYE MFUMO WA VIKUNDI VYA HUDUMA NDOGO ZA FEDHA
  • Salary slip

Viungo vinavyohusiana

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Rais-Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ofisi ya Rais -Utumishi na Utawala Bora
  • Sekretariati ya ajira
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti kuu ya takwimu huria
  • Tovuti Rasmi ya Rais

Idadi ya watembeleaji duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

https://bachelorthesiswritingservice.com

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kijiji cha Ihemi

    Anuani ya posta: Po.Box108 Iringa

    Simu ya mezani: 026-2702828/2702585

    Simu ya mkononi: 0757 364 994

    Barua pepe: ded@iringadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Haki miliki @ Halmashauri ya Wilaya ya Iringa. Haki zote zimehifadhiwa