• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe Za Watumishi |
Iringa District Council
Iringa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu sekondari
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Mazingira na Usafishaji
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA NA Uhusiano
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Mipango,Utawala na Uchumi
      • UKIMWI
      • Afya Elimu na Maji
      • UMazingira, uchumi na Ujenzi
      • Maadili
    • Ratiba Ya Vikao mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa kutekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Hudumakwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video za Shughuli Mbalimbali za kiofisi na za Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Kamati ya Fedha, Utawala na Mipango Yafanya Ziara Kukagua Miradi ya Maendeleo

Imewekwa : May 14th, 2024

Kamati ya Fedha, Utawala na Mipango Yafanya Ziara Kukagua Miradi ya Maendeleo

Kamati ya Fedha, Utawala na Mipango imefanya ziara ya kukagua miradi ya maendeleo Robo ya Tatu kwa Mwaka wa Fedha 2023/2024.

Kamati hiyo imefanya ziara Mei 13, 2024 na kujionea miradi mbalimbali inayotekelezwa kwa mwaka huu wa fedha ambapo ni pamoja na mradi wa ujenzi wa vyumba 7 vya madarasa na matundu 8 ya vyoo katika shule ya Sekondari Kiwele Kata ya Kiwele. Ujenzi wa vyumba vya madarasa umetumia kiasi cha Shilingi Milioni 104, na ujenzi wa vyoo umetumia Shilingi Milioni 16 na kuleta jumla ya fedha zote za mradi kiasi cha Shilingi Milioni 120.

Ujenzi huo ulianza Aprili 05, 2024 na unatarajiwa kukamilika Juni 30, 2024. Hatua ya ujenzi imefikia 85%. Wajumbe wametoa pongezi kwa Kamati ya ujenzi kwa usimamizi mzuri wa mradi.

Katika mradi wa ujenzi wa vyoo matundu 16 Shule ya Msingi Kiwele, ujenzi umeendelea vizuri na kiasi cha Shilingi Milioni 46.7 kilitolewa na Serikali kwa ajili ya ujenzi wa vyoo hivyo. Ujenzi umefikia 45%, na wajumbe walimuagiza fundi aongeze kasi ya ujenzi ili kuendana na muda. Ujenzi ulianza Aprili 15, 2024 na unategemewa kukamilika Juni 30, 2024.

Kata ya Ilolompya kuna ujenzi wa jengo la Zahanati katika Kijiji cha Ukwega. Kiasi cha Shilingi 100 kiliolewa kwa ajili ya ujenzi huo na sasa ujenzi umefikia 10%. Ujenzi ulianza Aprili 17, 2024. Ujenzi ulichelewa kuanza kutokana na sababu za ucheleweshwaji wa vifaa, hivyo Kamati imemuagiza fundi kuharakiksha ujenzi huo ili kufikia lengo.

Shule ya Sekondari Pawaga Kata ya Itunundu kuna ujenzi wa vyumba 6 vya madarasa na matundu 8 vya vyoo, ambapo kiasi cha Shilingi 164 zimetolewa kwa ajili ya kutekeleza mradi huo wa madarasa na vyoo. Ujenzi ulianza Mei 2, na unatarajiwa kukamilika Juni 2024, na kwamba ujenzi umefikia 10%. Mradi huu umechelewa kuanza kwa sababu zinazosemekana kwa kuchelewa kwa madini ujenzi kutopatikana kwa wakati. Kamati imesisitiza fundi aharakishe ujenzi ili kuendana na muda.

Kata ya Mlenge katika Kijiji cha Isele kuna ujenzi wa Kituo cha Afya, ambapo kiasi cha Shilingi Milioni 329 zimetolewa kwa ajili ya kutekeleza mradi huo. Ujenzi ulianza Aprili 25, na unatarajiwa kukamilika Juni 30, 2024. Hadi sasa ujenzi umefikia 10%. Kamati imemuagiza fundi kuharakisha ujenzi kwani vifaa vyote vipo eneo la ujenzi.

Katika kutekeleza miradi yote ya maendeleo, wananchi wanatakiwa kushikishwa kwa kila hatua ili waweze kuchangia ujenzi. Wananchi wamekubali kuchangia maendeleo na kuomba kupatiwa risiti mara wanapochangia michango mbalimbali ya maendeleo.

Matangazo

  • Heri ya sikukuu ya Pasaka April 19, 2025
  • Uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura May 01, 2025
  • Kila la Heri Kidato cha Sita 2025 May 05, 2025
  • KUITWA KWENYE USAHILI WA UBORESHAJI WA DAFTARI JIMBO LA KALENGA NA ISMANI December 06, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • KAMPUNI YA CC AIRWELL KUWEKEZA UVUNAJI WA MAJI ANGANI NA HEWA UKAA IRINGA DC

    May 29, 2025
  • BURIANI MHE. FELIX WAYA

    May 26, 2025
  • MCHENGERWA: MAAFISA HABARI HAKIKISHENI WANANCHI WANAPATA HABARI SAHIHI

    May 24, 2025
  • KIJIJI KWA KIJIJI YATUA KATA YA KIWELE, ULANDA NA NZIHI

    May 22, 2025
  • Tazama zote

Video

Makala kuhusu miundombinu ya elimu
video

Viungo vya haraka

  • FOMU YA USAJILI WA VIKUNDI
  • INGIA KWENYE MFUMO WA VIKUNDI VYA HUDUMA NDOGO ZA FEDHA
  • Salary slip

Viungo vinavyohusiana

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Rais-Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ofisi ya Rais -Utumishi na Utawala Bora
  • Sekretariati ya ajira
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti kuu ya takwimu huria
  • Tovuti Rasmi ya Rais

Idadi ya watembeleaji duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

https://bachelorthesiswritingservice.com

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kijiji cha Ihemi

    Anuani ya posta: Po.Box108 Iringa

    Simu ya mezani: 026-2702828/2702585

    Simu ya mkononi: 0757 364 994

    Barua pepe: ded@iringadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Haki miliki @ Halmashauri ya Wilaya ya Iringa. Haki zote zimehifadhiwa