• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe Za Watumishi |
Iringa District Council
Iringa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu sekondari
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Mazingira na Usafishaji
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA NA Uhusiano
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Mipango,Utawala na Uchumi
      • UKIMWI
      • Afya Elimu na Maji
      • UMazingira, uchumi na Ujenzi
      • Maadili
    • Ratiba Ya Vikao mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa kutekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Hudumakwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video za Shughuli Mbalimbali za kiofisi na za Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Kamati ya Kudumu ya Bubge ya Maji na Mazingira Wakiwa Magulilwa, Luhota na Masaka

Imewekwa : March 14th, 2024

Kamati ya Bunge ya Kudumu ya Maji na Mazingira Wakiwa Magulilwa, Luhota na Masaka

Kamati ya Bunge ya Kudumu ya Maji na Mazingira imeweza kuendelea na ziara ya kukagua miradi  ya maji kwa siku ya Pili katika Kata ya Magulilwa, Luhota na Masaka Machi 14, 2024.

Mradi wa Maji katika Kata ya Magulilwa katika Kijiji cha Mlanda Kamati imempongeza kwa Mwananchi aliyetoa eneo hilo bure kwa ajili ya kujenga mradi huo. Mradi umekamilika na umeanza kutumika kwa wananchi zaidi ya 9,000 wananufaika.

Naye Naibu Waziri wa Maji Mheshimiwa Mary Prisca Mahundi ameiambia Kamati kuwa zile fedha zilizoletwa ni kwa ajili ya miradi hii ambayo imeonekana hapo, na kuishukuru Kamati kwa kuja kukagua.

Naye Mheshimiwa Mhandisi Stella Manyanya amewaomba wananchi wautunze mradi ikiwa na kulinda vyanzo vya mito visiharibiwe kwa kufanya shughuli za kibinadamu, kwani hii ni Agenda ya Kitaifa ya Kumtua Mama Ndoo Kichwani.

Aidha, Mhandisi Exaud Humbo amebainisha kuwa mradi umetumia kiasi cha Shilingi Bilioni 1.47  ambapo mradi ulianza Januari 2023 na kumalizika Januari 2024 na mradi unatumika.

Kadhalika katika Kata ya Luhota Kijiji cha Nyabula, mradi wa maji umeweza kukamilika na kuanza kutumika na kwamba utaweza kuhudumia wananchi zaidi ya 1,000 wa Kata hiyo na vijiji jirani.

Katika Kata ya Masaka inayounganisha Vijiji va Makota, Sadani na Kaning’ombe, Kamati iliweza kukagua mradi wa ujenzi wa Bwawa la Maji ambalo limepandwa samaki zaidi ya 12,000. Bwawa hilo litasaidia wananchi kufanya shughuli za umwagiliaji wa mazao mbalimbali.

Kamati ilitoa maoni kuwa, bwawa lijengewe kingo ili kuepusha mmomonyoko wa udongo ambao utaweza kujaa kwenye bwawa.

Naye Diwani wa Kata hiyo Mheshimiwa Mathew Nganyagwa aliweza kuwasilisha ombi la kulipwa fidia kwa wananchi waliotoa eneo la nyongeza kwa ajili upanuzi wa bwawa hilo, kwani ardhi iliyotolewa mwanzo walitoa bure.  

Matangazo

  • Heri ya sikukuu ya Pasaka April 19, 2025
  • Uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura May 01, 2025
  • Kila la Heri Kidato cha Sita 2025 May 05, 2025
  • KUITWA KWENYE USAHILI WA UBORESHAJI WA DAFTARI JIMBO LA KALENGA NA ISMANI December 06, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • "KILA KATA WEKENI MIKAKATI MAALUMU YA KUPUNGUZA HALI DUNI YA LISHE" - MHE. KHERI JAMES

    May 09, 2025
  • KAMPENI YA CHANJO YA POLIO AWAMU YA PILI YATOLEWA MEI 01, 2025

    May 08, 2025
  • MBOMIPA Wakabidhi Gari kwa Jumuiya ya Hifadhi ya Wanyamapori

    May 08, 2025
  • IRINGA DC YAKABIDHI MWENGE WA UHURU KILOLO DC

    April 29, 2025
  • Tazama zote

Video

Makala kuhusu miundombinu ya elimu
video

Viungo vya haraka

  • FOMU YA USAJILI WA VIKUNDI
  • INGIA KWENYE MFUMO WA VIKUNDI VYA HUDUMA NDOGO ZA FEDHA
  • Salary slip

Viungo vinavyohusiana

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Rais-Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ofisi ya Rais -Utumishi na Utawala Bora
  • Sekretariati ya ajira
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti kuu ya takwimu huria
  • Tovuti Rasmi ya Rais

Idadi ya watembeleaji duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

https://bachelorthesiswritingservice.com

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kijiji cha Ihemi

    Anuani ya posta: Po.Box108 Iringa

    Simu ya mezani: 026-2702828/2702585

    Simu ya mkononi: 0757 364 994

    Barua pepe: ded@iringadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Haki miliki @ Halmashauri ya Wilaya ya Iringa. Haki zote zimehifadhiwa