• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe Za Watumishi |
Iringa District Council
Iringa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu sekondari
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Mazingira na Usafishaji
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA NA Uhusiano
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Mipango,Utawala na Uchumi
      • UKIMWI
      • Afya Elimu na Maji
      • UMazingira, uchumi na Ujenzi
      • Maadili
    • Ratiba Ya Vikao mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa kutekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Hudumakwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video za Shughuli Mbalimbali za kiofisi na za Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Kamati ya Kudumu ya Bunge Maji na Mazingira Yaridhishwa na Uhifadhi Misitu

Imewekwa : March 13th, 2024

Kamati ya Bunge ya Kudumu ya Maji na Mazingira Yaridhishwa na Uhifadhi Misitu

 

Kamati ya Bunge ya Kudumu ya Maji na Mazingira imeridhishwa na Uhifadhi Misitu na Mazingira ambayo imefanywa na Kata ya Nzihi Kijiji cha Ilalasimba na Magubike, walipotembelea na kukagua mradi huo Machi 13, 2024.

Kamati hiyo inayoongozwa na Mheshimiwa Jackson Kiswaga imefurahishwa na namna mradi huo ulivyotunzwa na kuleta muonekana na hewa nzuri, ambapo baada ya muda wanavijiji hao wataweza kufanya biashara ya hewa ukaa ambayo kwa sasa ni biashara kubwa duniani kote.

Waziri mwenye dhamana kutoka Ofisi ya Makamu wa Rais Mazingira Mheshimiwa Suleiman Jaffo aliweza kuwongoza Kamati hiyo kuingia msituni na kukagua kama kuna shughuli za binadamu zinafanywa ndani ya msitu huo, lakini walifurahishwa kwa jinsi ulivyotunzwa.

Mheshimiwa Jaffo aliweza kuwafafanulia kuwa msitu huo una Hekta 2,106.3 umeweza kutiririsha maji kutoka kwenye vyanzo vyake ambavyo mwanzo vilikuwa vimekauka kabisa. Pia ufugaji wa nyuki umeanza katika msitu huo ili kuweza kuwaongezea kipato wananchi mara watakapoanza kuvuna asali.

Mheshimiwa Kiswaga amewaasa wananchi wa eneo hilo kutunza msitu huo ili uweze kuwasaidia kuhifadhi mazingira.

Kadhalika katika ufugaji wa ng’ombe wa kikundi cha Israel wamefurahia kutembelewa na Bunge hilo na kuahidi kuongeza ng’ombe ili waweze kupata maziwa ya kutosha na kufanya biashara, ambapo wameweza kuhifadhi mazingira kwa kufugia nyumbani na kulima shamba la nyasi kwa ajili ya mifugo yao.

Kamati imeweza kufika hadi Kijiji cha Itagutwa Kata ya Kiwele ambapo kuna mradi wa maji, uliofanywa na Mamlaka ya Usambazaji wa Maji Vijijini (RUWASA).

Wizara yenye dhamana ambapo Naibu Waziri wake ni Mheshimiwa Mary Prisca Mahundi aliweza kuongoza Kamati kukaga mradi huo na kusema kuwa, mradi utawasaidia wananchi wa Kata hiyo na vijiji jirani kwani tanki lina ujazo wa Lita 200,000 wakati mahitaji ni Lita 100,000.

Kamati imerishwa na mradi huo na kuwaasa wananchi wautunze mradi huo ili uje usaidie kazazi kijacho.

 

Matangazo

  • Heri ya sikukuu ya Pasaka April 19, 2025
  • Uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura May 01, 2025
  • Kila la Heri Kidato cha Sita 2025 May 05, 2025
  • KUITWA KWENYE USAHILI WA UBORESHAJI WA DAFTARI JIMBO LA KALENGA NA ISMANI December 06, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • "KILA KATA WEKENI MIKAKATI MAALUMU YA KUPUNGUZA HALI DUNI YA LISHE" - MHE. KHERI JAMES

    May 09, 2025
  • KAMPENI YA CHANJO YA POLIO AWAMU YA PILI YATOLEWA MEI 01, 2025

    May 08, 2025
  • MBOMIPA Wakabidhi Gari kwa Jumuiya ya Hifadhi ya Wanyamapori

    May 08, 2025
  • IRINGA DC YAKABIDHI MWENGE WA UHURU KILOLO DC

    April 29, 2025
  • Tazama zote

Video

Makala kuhusu miundombinu ya elimu
video

Viungo vya haraka

  • FOMU YA USAJILI WA VIKUNDI
  • INGIA KWENYE MFUMO WA VIKUNDI VYA HUDUMA NDOGO ZA FEDHA
  • Salary slip

Viungo vinavyohusiana

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Rais-Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ofisi ya Rais -Utumishi na Utawala Bora
  • Sekretariati ya ajira
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti kuu ya takwimu huria
  • Tovuti Rasmi ya Rais

Idadi ya watembeleaji duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

https://bachelorthesiswritingservice.com

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kijiji cha Ihemi

    Anuani ya posta: Po.Box108 Iringa

    Simu ya mezani: 026-2702828/2702585

    Simu ya mkononi: 0757 364 994

    Barua pepe: ded@iringadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Haki miliki @ Halmashauri ya Wilaya ya Iringa. Haki zote zimehifadhiwa