• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe Za Watumishi |
Iringa District Council
Iringa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu sekondari
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Mazingira na Usafishaji
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA NA Uhusiano
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Mipango,Utawala na Uchumi
      • UKIMWI
      • Afya Elimu na Maji
      • UMazingira, uchumi na Ujenzi
      • Maadili
    • Ratiba Ya Vikao mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa kutekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Hudumakwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video za Shughuli Mbalimbali za kiofisi na za Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

KAMPENI YA CHANJO YA POLIO AWAMU YA PILI YATOLEWA MEI 01, 2025

Imewekwa : May 8th, 2025


Chanjo ya nyongeza awamu ya pili yaendelea kutolewa katika Vituo vyote vya kutolea Huduma za Afya. Chanjo hii ni muendelezo wa chanjo ya Polio (IPV2) ambayo inaambatana na chanjo ya kwanza ikiwa ni dozi ya kwanza.

Uzinduzi huo umefanyika katika Ukumbi wa Mkuu wa Wilaya Mei 06, 2025. na kuhudhuriwa na viongozi wa Dini na Kisiasa.

Kulikuwa na chanjo ya kwanza ya matone na sasa ni chanjo ya sindano kwa watoto wenye umri wa miaka 0 hadi miezi 9. chanjo hii husaidia kuzuia ugonjwa wa polio (kupooza), kifadulo na pepopunda hasa kwa watoto wadogo. Mtoto akikosa chanjo hii hupelekea ugonjwa wa kupooza na kuathiri hatua za ukuaji wa mtoto. Hivyo wananchi wote wanahimizwa kwenda kuwapatia chanjo hii watoto wao.

Akiongea katika uzinduzi wa chanjo hii awamu ya pili Mkuu wa Wilaya ya Iringa Mheshimiwa Kheri James amesema, “lengo la zoezi hili ni kuimarisha jamii yetu ili tuwe na uelewa wa pamoja. Viongozi wa Dini na viongozi wa Kisiasa ni jukumu letu sote kutoa ujumbe kwa wananchi wetu ili wajue umuhimu wa chanjo hii.

Mhe. Kheri ameendelea kusema, “Serikali imeona haja na hoja ya kulinda jamii yake dhidi ya magonjwa haya, na kutoa chanjo hizi ambazo zinatambulika kidunia. Wananchi wote wenye watoto kuanzia umri wa miaka 0 hadi miezi 9 wanasisitizwa kwenda kuwapatia chanjo watoto, kwani inatolewa bila malipo yoyote na kwenye vituo vyote vya kutolewa huduma za afya”.

Nao viongozi wa Dini na Siasa wamelipokea suala hili kwa umakini zaidi na wamekiri kwenda kuelimisha jamii juu ya umuhimu wa zoezi hili.

Matangazo

  • Heri ya sikukuu ya Pasaka April 19, 2025
  • Uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura May 01, 2025
  • Kila la Heri Kidato cha Sita 2025 May 05, 2025
  • KUITWA KWENYE USAHILI WA UBORESHAJI WA DAFTARI JIMBO LA KALENGA NA ISMANI December 06, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • KAMPENI YA CHANJO YA POLIO AWAMU YA PILI YATOLEWA MEI 01, 2025

    May 08, 2025
  • MBOMIPA Wakabidhi Gari kwa Jumuiya ya Hifadhi ya Wanyamapori

    May 08, 2025
  • IRINGA DC YAKABIDHI MWENGE WA UHURU KILOLO DC

    April 29, 2025
  • MWENGE WA UHURU 2025 WAZINDUA SHULE MPYA YA SEKONDARI MAKATAPOLA

    May 04, 2025
  • Tazama zote

Video

Makala kuhusu miundombinu ya elimu
video

Viungo vya haraka

  • FOMU YA USAJILI WA VIKUNDI
  • INGIA KWENYE MFUMO WA VIKUNDI VYA HUDUMA NDOGO ZA FEDHA
  • Salary slip

Viungo vinavyohusiana

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Rais-Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ofisi ya Rais -Utumishi na Utawala Bora
  • Sekretariati ya ajira
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti kuu ya takwimu huria
  • Tovuti Rasmi ya Rais

Idadi ya watembeleaji duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

https://bachelorthesiswritingservice.com

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kijiji cha Ihemi

    Anuani ya posta: Po.Box108 Iringa

    Simu ya mezani: 026-2702828/2702585

    Simu ya mkononi: 0757 364 994

    Barua pepe: ded@iringadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Haki miliki @ Halmashauri ya Wilaya ya Iringa. Haki zote zimehifadhiwa