• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe Za Watumishi |
Iringa District Council
Iringa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu sekondari
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Mazingira na Usafishaji
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA NA Uhusiano
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Mipango,Utawala na Uchumi
      • UKIMWI
      • Afya Elimu na Maji
      • UMazingira, uchumi na Ujenzi
      • Maadili
    • Ratiba Ya Vikao mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa kutekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Hudumakwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video za Shughuli Mbalimbali za kiofisi na za Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

MAADHIMISHO SIKU YA MTOTO WA AFRIKA YAFANA IRINGA DC

Imewekwa : June 15th, 2024



Kaimu Mkuu wa Wilaya ya Iringa Ndug. Michael Semindu Leo June 15,2024 ameongoza Wafanyakazi wa Halmashauri kwenye Maadhimisho ya Siku ya Mtoto  wa Afrika yaliyo fanyika katika Kata ya Lumuli Kijiji cha Muwimbi


Katika Hotuba yake Semindu amesema lazima tukubaliane kama Jamii kwamba, kukuza maarifa ya Watoto, Serikali imeweka Sera nzuri  ya kukuza maarifa kama vile Uboreshaji Mitaala ya Kufundisha, TEHAMA  yaani Sayansi na Teknolojia , mafunzo katika Vyuo vya Juu na Kati pamoja na utoaji elimu kwa ujumla wake.


Kwa upande mwingine Ndugu Semindu amesisitiza kuwa Serikali imeshirikisha viongozi wa Mila, Dini, kuchaguliwa na kuteuliwa, wajasiriamali ili kuweza kufikisha elimu hii kwa watoto na kusisitiza kutatuliwa kwa changamoto kama vile matumizi mabaya ya Teknolojia ya Habari, mmomonyoko wa maadili kwa jamii yetu, Wazazi au Walezi kutotimiza wajibu wao pamoja na Mila na Desturi zilizopitwa na wakati kama vile kukandamiza  watoto wa jinsia moja kuwa wana haki kuliko wengine.


Pamoja na hayo Bwn. Semindu amesema Serikali imekabiliana na changamoto hizo kwa kuhakikisha elimu ya  malezi na makuzi ikitolewa kwa wazazi hususani  na lishe bora kwa mtoto. Mtoto ni lazima alindwe dhidi ya vitendo vya ukatili kam kupigwa, kuchomwa moto na wazazi kuimarisha mahusiano na mawasiliano na watoto tunaowalea ili kuwa rahisi kujua mtoto ana changamoto ipi.


Vilevile Ndugu Semindu amewaomba Watalamu  wa Maendeleo ya Jamii kutoa elimu ya kutosha kuhusiana na haki sawa. Maana jamii imekuwa ikiamini kuwa ni lazima kuwe na jinsia mbili tofauti kwenye nafasi yeyote huku Kuna wengine wakipoteza nafasi. Kwa mfano nafasi ziko tano na wanawake wote ndo wanasifa wapewe wote ili kutimiza haki sawa kwa kila mtu.


Pamoja na hayo Ndugu Semindu ametoa shukrani kwa Wadau waliowezesha shughuli hiyo kufanyika kama vile Word Vison, Asas group, Compassion, Tahea na Care.


Kauli Mbiu katika Maadhimisho haya inasema, "Elimu Jumuisho kwa Watoto Izingatie, Maarifa, Maadili na Stadi za Kazi".

Matangazo

  • PONGEZI June 24, 2025
  • KUITWA KWENYE USAHILI WA UBORESHAJI WA DAFTARI JIMBO LA KALENGA NA ISMANI December 06, 2024
  • FURSA YA UWEKEZAJI KWA MFUMO WA UBIA (PPP) January 03, 2025
  • TANGAZO LA KAZI January 24, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MANENO MAZITO YA MHE. MHAPA WAKATI WA KUVUNJA BARAZA

    June 19, 2025
  • KAMATI YA FEDHA, UTAWALA NA MIPANGO YAFANYA ZIARA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO KWA ROBO YA NNE

    June 19, 2025
  • MKUTANO WA BARAZA LA MADIWANI KWA ROBO YA NNE 2024/2025 WAFANYIKA

    June 18, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA IRINGA YAPONGEZWA KWA KUPATA HATI SAFI

    June 17, 2025
  • Tazama zote

Video

Makala kuhusu miundombinu ya elimu
video

Viungo vya haraka

  • FOMU YA USAJILI WA VIKUNDI
  • INGIA KWENYE MFUMO WA VIKUNDI VYA HUDUMA NDOGO ZA FEDHA
  • Salary slip

Viungo vinavyohusiana

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Rais-Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ofisi ya Rais -Utumishi na Utawala Bora
  • Sekretariati ya ajira
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti kuu ya takwimu huria
  • Tovuti Rasmi ya Rais

Idadi ya watembeleaji duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

https://bachelorthesiswritingservice.com

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kijiji cha Ihemi

    Anuani ya posta: Po.Box108 Iringa

    Simu ya mezani: 026-2702828/2702585

    Simu ya mkononi: 0757 364 994

    Barua pepe: ded@iringadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Haki miliki @ Halmashauri ya Wilaya ya Iringa. Haki zote zimehifadhiwa