• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe Za Watumishi |
Iringa District Council
Iringa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu sekondari
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Mazingira na Usafishaji
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA NA Uhusiano
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Mipango,Utawala na Uchumi
      • UKIMWI
      • Afya Elimu na Maji
      • UMazingira, uchumi na Ujenzi
      • Maadili
    • Ratiba Ya Vikao mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa kutekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Hudumakwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video za Shughuli Mbalimbali za kiofisi na za Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

"Mabilioni Haya ya Fedha za Miradi Yatumike Kama Ilivyokusudiwa" Mwenyekiti Mhapa

Imewekwa : May 25th, 2023

“Mabilioni Haya ya Fedha za Miradi, Yatumike Kama Ilivyokusudiwa”, Mwenyekiti Mhapa

Mkutano wa Baraza la Madiwani wa Robo ya Tatu kwa Mwaka wa Fedha 2022/2023 umekamilika leo Mei 25, 2023 ambapo ulianza jana Mei 24, 2023 kwa kutoa taarifa za Kata.

Akitoa hotuba yake fupi katika Baraza hilo Mwenyekiti wa Halmashauri Mheshimiwa Stephen Mhapa amesema, “Namshukuru Mheshimiwa Rais kwa kutuletea fedha kwa ajili ya kutekeleza miradi mbalimbali. Fedha hizo zimelenga katika Sekta ya Elimu, kwa ajili ya kuboresha miundombinu ya Elimu ili watoto wetu waweze kusoma kwa utulivu, hivyo zitumike kama lengo lilivyokusudiwa, na kwamba ujenzi ufuate sheria za manunuzi”.

Mheshimiwa Mhapa ameongeza kusema kuwa, “nawaomba Waheshimiwa Madiwani kusimamia vema ujenzi huo kwa kushirikiana na Wataalamu, ili kazi hii iwe nyepesi na ikamilike kwa wakati”.

Fedha Kiasi cha Shilingi Bilioni 1.2 kwa ajili ya miradi ya BOOST kwa shule za Msingi, Shilingi Milioni 347 kwa ujenzi wa mabweni 2 ya Shule ya Sekondari ya Wasichana Ifunda, Shilingi  Milioni 576 kwa ajili ya ujenzi wa Mabweni 3, Madarasa 6 na vyoo matundu 18 kwa Shule ya Sekondari Idodi.

Naye Mkuu wa Wilaya ya Iringa Mheshimiwa Veronica Kessy ametoa neno katika Baraza hilo kwa kusema, “Nawapongeza Waheshimiwa Madiwani kwa kusimamia vema miradi ya maendeleo. Pia nawaomba kuendelea kusimamia usafi wa mazingira katika maeneo yetu sambamba utunzaji wa vyanzo vya maji,kwani suala hili ni la Kitaifa zaidi. Imetengwa siku ya Jumamosi ya mwisho wa mwezi kwa ajili ya kufanya usafi kila mahali, hivyo yatupasa kusimamia na bila kusukumwa”.

Mheshimiwa Kessy pia amesisitiza suala la ukusanyaji wa mapato, kwani ndiyo msingi wa kila Halmashauri. Pia katika

Kwa upande wake Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Wilaya ya Iringa Komredi Costantine Kihwele amesema, “mimi kama Mwenyekiti wa Chama naridhishwa na utendaji kazi wa Madiwani pamoja na Wabunge wa majimbo yote mawili ya Kalenga na Isimani. Pamoja na ugeni tunaotegemea kupokea ambao ni Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi Comredi Daniel Chongolo, tunatakiwa kumpokea kwa shangwe na tuwe naye kwenye ziara yake yote katika Halmashari, na kuwasisitiza wananchi kuwepo kwenye maeneo ambayo atapita kukagua miradi”.

Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri Mheshimiwa Mathew Nganyagwa naye ametoa shukrani kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri kwa kusimamia miradi, na kutoa uchambuzi wa miradi hiyo kwa uwazi. Pia ametoa pongezi kwa Wabunge kwa kujitoa kufuatilia fedha na kushawishi ili kuleta miradi katika Halmashauri. Aidha amewashukuru Wadau mbalimbali kwa kufanya kazi katika Halmashauri na kumuomba Mkurugenzi kuwa, Awashukuru Wadau hao kwa vitenda kwa kuwapa tuzo na vyeti

Matangazo

  • Heri ya sikukuu ya Pasaka April 19, 2025
  • Uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura May 01, 2025
  • Kila la Heri Kidato cha Sita 2025 May 05, 2025
  • KUITWA KWENYE USAHILI WA UBORESHAJI WA DAFTARI JIMBO LA KALENGA NA ISMANI December 06, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • "KILA KATA WEKENI MIKAKATI MAALUMU YA KUPUNGUZA HALI DUNI YA LISHE" - MHE. KHERI JAMES

    May 09, 2025
  • KAMPENI YA CHANJO YA POLIO AWAMU YA PILI YATOLEWA MEI 01, 2025

    May 08, 2025
  • MBOMIPA Wakabidhi Gari kwa Jumuiya ya Hifadhi ya Wanyamapori

    May 08, 2025
  • IRINGA DC YAKABIDHI MWENGE WA UHURU KILOLO DC

    April 29, 2025
  • Tazama zote

Video

Makala kuhusu miundombinu ya elimu
video

Viungo vya haraka

  • FOMU YA USAJILI WA VIKUNDI
  • INGIA KWENYE MFUMO WA VIKUNDI VYA HUDUMA NDOGO ZA FEDHA
  • Salary slip

Viungo vinavyohusiana

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Rais-Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ofisi ya Rais -Utumishi na Utawala Bora
  • Sekretariati ya ajira
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti kuu ya takwimu huria
  • Tovuti Rasmi ya Rais

Idadi ya watembeleaji duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

https://bachelorthesiswritingservice.com

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kijiji cha Ihemi

    Anuani ya posta: Po.Box108 Iringa

    Simu ya mezani: 026-2702828/2702585

    Simu ya mkononi: 0757 364 994

    Barua pepe: ded@iringadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Haki miliki @ Halmashauri ya Wilaya ya Iringa. Haki zote zimehifadhiwa