• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe Za Watumishi |
Iringa District Council
Iringa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu sekondari
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Mazingira na Usafishaji
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA NA Uhusiano
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Mipango,Utawala na Uchumi
      • UKIMWI
      • Afya Elimu na Maji
      • UMazingira, uchumi na Ujenzi
      • Maadili
    • Ratiba Ya Vikao mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa kutekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Hudumakwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video za Shughuli Mbalimbali za kiofisi na za Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Mafunzo ya Utoaji Mikopo ya 10% Yatolewa

Imewekwa : October 2nd, 2024

 Mafunzo ya Utoaji Mikopo 10% Yatolewa

Serikali baada ya kujiridhisha na namna bora ya utoaji mikopo ya Wanawake, Vijana na Watu wenye ulemavu ya 10%, sasa yaja na njia mpya ya kutoa mikopo hiyo.

Kwa kuzingatia usawa wa utoaji mikopo hiyo sasa Serikali itatoa mikopo hiyo kupitia mfumo na siyo kwa njia ya benki kama ilivyokuwa hapo awali, ili kubaini vikundi halisi vitakavyokopa.

Akifungua mafunzo hayo kwa Maafisa Maendeleo wa Kata Oktoba 01, 2024 Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa Ndugu Robert Masunya amesema, “nawasihi sana mkasimimie vizuri na kila mtu apate haki katika mikopo hiyo. Sasa hivi utoaji mikopo umebadilika kutokana na changamoto zilizojitokeza awali, na sasa tutatumia mifumo. Hivyo nawaomba kuleta vikundi vyenye sifa ili kuepukana na udanganyifu”

Ndugu Masunya ameendelea kusema, “endeleeni kukusanya madeni ambayo bado hayajalipwa ili kuwapa nafasi wengine waombe mikopo hiyo. Pia endeleeni kutumia fedha hizo kwa uaminifu na uadilifu”.

Naye Mkuu wa Idara ya Maendeleo ya Jamii Bi. Saumu Kweka, amewaomba Maafisa Maaendelo hao kuendelea kufuatilia vikundi ambavyo havijarejesha mikopo ili kuwapa nafasi ya kukopa tena. Pia amewahimiza kusimamia na kuwatembelea Kaya masikini na wenye mazingira magumu ili kujua hali zao na kuwahimiza kula chakula cha lishe bora.

Kadhalika, amewataka kuwatambua wanufaika wote wa TASAF ili waweze kufungua akaunti, mara ifikapo muda wa kupatiwa fedha kwa ajili ya kujikimu basi fedha hizo ziwekwe kwenye akaunti zao.

Maafisa Maendelo hao wamekumbushwa mambo mengi katika uboreshaji wa majukumu yao ya kila siku na kufanya kazi kwa bidii. Pia kutoa taarifa pale inapotokea changamoto katika eneo lake la kazi.

Mafunzo hayo yanatolewa kuanzia Oktoba 01-05, 2024 katika ukumbi wa Halmashauri Ihemi.

Matangazo

  • PONGEZI June 24, 2025
  • KUITWA KWENYE USAHILI WA UBORESHAJI WA DAFTARI JIMBO LA KALENGA NA ISMANI December 06, 2024
  • FURSA YA UWEKEZAJI KWA MFUMO WA UBIA (PPP) January 03, 2025
  • TANGAZO LA KAZI January 24, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MANENO MAZITO YA MHE. MHAPA WAKATI WA KUVUNJA BARAZA

    June 19, 2025
  • KAMATI YA FEDHA, UTAWALA NA MIPANGO YAFANYA ZIARA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO KWA ROBO YA NNE

    June 19, 2025
  • MKUTANO WA BARAZA LA MADIWANI KWA ROBO YA NNE 2024/2025 WAFANYIKA

    June 18, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA IRINGA YAPONGEZWA KWA KUPATA HATI SAFI

    June 17, 2025
  • Tazama zote

Video

Makala kuhusu miundombinu ya elimu
video

Viungo vya haraka

  • FOMU YA USAJILI WA VIKUNDI
  • INGIA KWENYE MFUMO WA VIKUNDI VYA HUDUMA NDOGO ZA FEDHA
  • Salary slip

Viungo vinavyohusiana

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Rais-Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ofisi ya Rais -Utumishi na Utawala Bora
  • Sekretariati ya ajira
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti kuu ya takwimu huria
  • Tovuti Rasmi ya Rais

Idadi ya watembeleaji duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

https://bachelorthesiswritingservice.com

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kijiji cha Ihemi

    Anuani ya posta: Po.Box108 Iringa

    Simu ya mezani: 026-2702828/2702585

    Simu ya mkononi: 0757 364 994

    Barua pepe: ded@iringadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Haki miliki @ Halmashauri ya Wilaya ya Iringa. Haki zote zimehifadhiwa