• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe Za Watumishi |
Iringa District Council
Iringa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu sekondari
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Mazingira na Usafishaji
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA NA Uhusiano
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Mipango,Utawala na Uchumi
      • UKIMWI
      • Afya Elimu na Maji
      • UMazingira, uchumi na Ujenzi
      • Maadili
    • Ratiba Ya Vikao mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa kutekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Hudumakwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video za Shughuli Mbalimbali za kiofisi na za Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Magiri Azipongeza Halmashauri Kufanikiwa Kampeni ya Usafi na Mazingira

Imewekwa : November 16th, 2022

Magiri Azipongeza Halmashauri Kufanikiwa Kampeni ya Usafi na Mazingira 

Mkuu wa Wilaya ya Kilolo Mhe. Peresi Magiri amewapongeza viongozi wa Halmashauri, wadau na wananchi wote kwa kuweza kutekeleza kampeni ya kitaifa ya usafi na mazingira.

Kwa kuhakikisha wanafanya usafi na pia kuhakikisha kaya zote zina vyoo bora lengo ni kujikinga na magonjwa yatokanayo na uchafu kama vile kipindupindu, kuhara, na magonjwa mengine ya mlipuko.

Ameyasema hayo katika Maadhimisho ya wiki ya usafi na siku ya choo duniani ambapo Mhe. Magiri amekua Mgeni Rasmi katika sherehe hizo ambazo zimefanyika Kimkoa katika viwanja vya kichangani vinavyopatikana katika Kata ya Kihesa Manispaa ya Iringa huku yakibeba kaulimbiu isemayo “kuyafanya yasiyoonekana kuonekana”

Sambamba na hilo pia Mhe. Magiri amekabidhi vyeti pamoja na vikombe kwa Halmashauri nne zilizofanya vizuri ikiwemo Halmashauri ya Wilaya ya Iringa katika kampeni ya usafi na mazingira ambapo vyeti hivyo pamoja na vikombe vilipokelewa na wawakilishi wa maeneo husika na amewaomba kuendeleza kutunza mazingira kwani kwa kufanya hivyo wataweza kulinda afya za wananchi.

Pia Maadhimisho hayo yameambatana na maonesho mbalimbali yenye lengo la kulinda na kuhifadhi mazingira pamoja na usafi wa binadamu, watengenezaji wa dawa za asili zitokanazo na mimea, bustani, watengenezaji wa malighafi zitokanazo na plastiki, pamoja na njia za utunzaji wa mazingira kupitia usafi wa vyoo.

Aidha taarifa mbalimbali zimewasilishwa ikiwemo taarifa ya mganga mkuu wa mkoa iliyotolewa na kaimu mganga mkuu wa mkoa Dkt. Credianus Mgimba ambapo amepongeza jitihada mbalimbali zinazoendelea kutolewa na wadau mbalimbali katika kuhifadhi mazingaira na kusema kwamba kama Mkoa unaelekea pazuri nakuomba Halmashauri zote kuendeleza jitihada hizo.

Pamoja na yote pia wageni mbalimbali waliohudhuria maadhimisho hayo wakiwemo watendaji wameonesha kufurahia maadhimisho hayo huku wakipongeza waandaaji wa vyeti na vikombe kwani inawatia moyo na kuwapa nguvu ya kuendelea kutunza na kuyalinda mazingira.

Ikumbukwe kuwa maadhimisho hayo yalianza tarehe 13/11/2022 na kufikia tamati tarehe 19/11/2022 ambapo kitaifa yatafanyika katika Mkoa wa Dodoma yakiwa na ujumbe usemao [KUYAFANYA YASIYOONEKANA KUONEKANA].

Matangazo

  • PONGEZI June 24, 2025
  • KUITWA KWENYE USAHILI WA UBORESHAJI WA DAFTARI JIMBO LA KALENGA NA ISMANI December 06, 2024
  • FURSA YA UWEKEZAJI KWA MFUMO WA UBIA (PPP) January 03, 2025
  • TANGAZO LA KAZI January 24, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MANENO MAZITO YA MHE. MHAPA WAKATI WA KUVUNJA BARAZA

    June 19, 2025
  • KAMATI YA FEDHA, UTAWALA NA MIPANGO YAFANYA ZIARA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO KWA ROBO YA NNE

    June 19, 2025
  • MKUTANO WA BARAZA LA MADIWANI KWA ROBO YA NNE 2024/2025 WAFANYIKA

    June 18, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA IRINGA YAPONGEZWA KWA KUPATA HATI SAFI

    June 17, 2025
  • Tazama zote

Video

Makala kuhusu miundombinu ya elimu
video

Viungo vya haraka

  • FOMU YA USAJILI WA VIKUNDI
  • INGIA KWENYE MFUMO WA VIKUNDI VYA HUDUMA NDOGO ZA FEDHA
  • Salary slip

Viungo vinavyohusiana

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Rais-Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ofisi ya Rais -Utumishi na Utawala Bora
  • Sekretariati ya ajira
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti kuu ya takwimu huria
  • Tovuti Rasmi ya Rais

Idadi ya watembeleaji duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

https://bachelorthesiswritingservice.com

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kijiji cha Ihemi

    Anuani ya posta: Po.Box108 Iringa

    Simu ya mezani: 026-2702828/2702585

    Simu ya mkononi: 0757 364 994

    Barua pepe: ded@iringadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Haki miliki @ Halmashauri ya Wilaya ya Iringa. Haki zote zimehifadhiwa