• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe Za Watumishi |
Iringa District Council
Iringa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu sekondari
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Mazingira na Usafishaji
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA NA Uhusiano
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Mipango,Utawala na Uchumi
      • UKIMWI
      • Afya Elimu na Maji
      • UMazingira, uchumi na Ujenzi
      • Maadili
    • Ratiba Ya Vikao mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa kutekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Hudumakwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video za Shughuli Mbalimbali za kiofisi na za Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

MGOMBEA MWENZA CCM DKT. NCHIMBI AFANYA MKUTANO WA KAMPENI PAWAGA - IRINGA DC

Imewekwa : September 25th, 2025

Mgombea Mwenza wa Urais kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Emmanuel Nchimbi, amefanya kampeni katika Jimbo la Ismani Halmashauri ya Wilaya ya Iringa kumnadi Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Mgombea Ubunge wa jimbo la Isimani, William Lukuvi, na wagombea wa nafasi za Udiwani katika mkutano wa kampeni uliofanyika kwenye uwanja wa Itunundu, tarafa ya Pawaga mkoani Iringa Septemba 25, 2025.


Akizungumza na wananchi waliojitokeza kwa wingi, Dkt. Nchimbi amesema iwapo CCM kitapewa ridhaa ya kuendelea kuongoza nchi, serikali itazidi kuboresha miundombinu ya barabara, kukuza kilimo cha umwagiliaji na kuimarisha sekta ya mifugo ili kuongeza tija kwa wananchi.


Aidha, amewataka wananchi wa Isimani kuendelea kuiamini CCM na kuwachagua wagombea wake katika nafasi zote za udiwani, ubunge na urais, akisisitiza kuwa chama hicho kina historia na uzoefu mkubwa wa kutekeleza miradi ya maendeleo inayoendana na mahitaji ya wananchi.


Kwa upande wake, mgombea ubunge wa CCM jimbo la Isimani, William Lukuvi, ameahidi kuendeleza jitihada za kusukuma mbele maendeleo ya wananchi wa jimbo hilo, hususan katika kuboresha huduma za kijamii na kuinua hali ya uchumi wa wakulima na wafugaji.


Uchaguzi Mkuu wa kuchagua madiwani, wabunge na Rais unatarajiwa kufanyika Oktoba 29, 2025


#kurayakohakiyakojitokezekupigakura



Matangazo

  • ILANI YA KUSUDIO LA KUTUNGA SHERIA NDOGO August 28, 2025
  • KUITWA KWENYE USAHILI WA UBORESHAJI WA DAFTARI JIMBO LA KALENGA NA ISMANI December 06, 2024
  • FURSA YA UWEKEZAJI KWA MFUMO WA UBIA (PPP) January 03, 2025
  • TANGAZO LA KAZI January 24, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TURITHISHANE UJUZI BADALA YA KILA MMOJA KUKUMBATIA ANACHOKIJUA - DED IRINGA DC NDG. MASUNYA

    October 01, 2025
  • RC IRINGA AHIMIZA UKAMILISHWAJI WA MIRADI ILIYOLETEWA FEDHA IRINGA DC

    September 30, 2025
  • MGOMBEA MWENZA CCM DKT. NCHIMBI AFANYA MKUTANO WA KAMPENI PAWAGA - IRINGA DC

    September 25, 2025
  • MWENYEKITI WA INEC MHE. JAJI MWAMBENGELE ATEMBELEA IRINGA DC

    September 23, 2025
  • Tazama zote

Video

Makala kuhusu miundombinu ya elimu
video

Viungo vya haraka

  • FOMU YA USAJILI WA VIKUNDI
  • INGIA KWENYE MFUMO WA VIKUNDI VYA HUDUMA NDOGO ZA FEDHA
  • Salary slip

Viungo vinavyohusiana

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Rais-Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ofisi ya Rais -Utumishi na Utawala Bora
  • Sekretariati ya ajira
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti kuu ya takwimu huria
  • Tovuti Rasmi ya Rais

Idadi ya watembeleaji duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

https://bachelorthesiswritingservice.com

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kijiji cha Ihemi

    Anuani ya posta: Po.Box108 Iringa

    Simu ya mezani: 026-2702828/2702585

    Simu ya mkononi: 0757 364 994

    Barua pepe: ded@iringadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Haki miliki @ Halmashauri ya Wilaya ya Iringa. Haki zote zimehifadhiwa