• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe Za Watumishi |
Iringa District Council
Iringa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu sekondari
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Mazingira na Usafishaji
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA NA Uhusiano
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Mipango,Utawala na Uchumi
      • UKIMWI
      • Afya Elimu na Maji
      • UMazingira, uchumi na Ujenzi
      • Maadili
    • Ratiba Ya Vikao mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa kutekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Hudumakwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video za Shughuli Mbalimbali za kiofisi na za Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Mh Rais Samia Suluhu Hassain afanya mabadiliko madogo ya Baraza la Mawaziri awaagiza wakafanye kazi.

Imewekwa : March 31st, 2021

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh.Samia Suluhu Hassain afanya mabadiliko madogo  ya Baraza la Mawaziri,awataka wakafanye kazi.

Ummi Mohamed(Afisa Habari na Uhusiano,Iringa –DC)

Rais wa Jamhuri ya Muungano Mh.Samia Suluhu Hassain leo amefanya mabadiliko madogo katika Baraza la Mawaziri leo Machi 31 mwaka 2021, baada ya  Mh.Dkt. Philip Mpango kula kiapo cha kuwa Makamu Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

 Jina la Makamu wa  Rais wa Jamhuri ya Muungano liliwasilishwa Machi 30 mwaka huu na kuthibitishwa na Bunge kwa asilimia mia moja,sanjari na tukio hilo Mh.Rais amemteua Mh.Balozi Hussein Katanga kuwa Katibu Mkuu Kiongozi.

Mh.Rais pia,amefanya mabadiliko madogo ya Baraza la Mawaziri kama ifutavyo; Mh. Dkt.Mwigulu Nchemba amekwenda Wizara ya Fedha na Mipango akitokea Wizara ya Katiba na Sheria,Mh.Paramagamba Kabudi amerudi Wizara ya Katiba na Sheria, Mh.Ummy Mwalimu ameenda Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) akitokea Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira ambapo nafasi hiyo imechukuliwa na Mh.Suleiman Jafo ambaye ametoka Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Aliyekuwa Waziri Ofisi ya Rais  Menejimenti ya Utumishi na Utawala Bora Mh.Huruma Mkuchika amepangiwa kazi maalum na nafasi hiyom ikichukuliwa na Mh.Mohamed Mchengelwa, Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mh.Libelata Mulamula,Wizara ya Viwanda na Biashara Mh.Kitila Mkumbo,Ofisi ya Waziri Mkuu Uwekezaji Mh.Geophrey Mwambe.

Mh.Rais pia,amefanya mabadiliko hayo na kwa Manaibu Waziri kama ifutavyo;Wizara ya Mifugo na Uvuvi Mh.Abdallah Ulega,Wizara ya Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo Mh.Pauline Gekul,Wizara ya Afya Maendeleo ya Jamii Jinsia Wazee na Watoto Mh.Mwanaidi Ally Hamisi, Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mh.Mbarouk Mbarouk, Wizara ya Katiba na Sheria,Mh.Geophrey Pinda, Ofisi ya Makamu wa  Muungano na Mazingira Mh.Hamad Said Chande, Wizara ya Fedha na Mipango Mh.Masauni Hamad Masauni, Ofisi ya Waziri Mkuu  Uwekezaji Mh William Ole Tate.

Pia,amewateuwa wabunge ambao baadhi yao wamepangiwa majukumu katika Wizara mbalimbali ambao ni Mbarouk Mbarouk na Libelata Mulamula, na Dkt.Bashiru Ally Kakurwa ameteuliwa kuwa Mbunge.

Matangazo

  • Heri ya sikukuu ya Pasaka April 19, 2025
  • Uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura May 01, 2025
  • Kila la Heri Kidato cha Sita 2025 May 05, 2025
  • KUITWA KWENYE USAHILI WA UBORESHAJI WA DAFTARI JIMBO LA KALENGA NA ISMANI December 06, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • KAMPUNI YA CC AIRWELL KUWEKEZA UVUNAJI WA MAJI ANGANI NA HEWA UKAA IRINGA DC

    May 29, 2025
  • BURIANI MHE. FELIX WAYA

    May 26, 2025
  • MCHENGERWA: MAAFISA HABARI HAKIKISHENI WANANCHI WANAPATA HABARI SAHIHI

    May 24, 2025
  • KIJIJI KWA KIJIJI YATUA KATA YA KIWELE, ULANDA NA NZIHI

    May 22, 2025
  • Tazama zote

Video

Makala kuhusu miundombinu ya elimu
video

Viungo vya haraka

  • FOMU YA USAJILI WA VIKUNDI
  • INGIA KWENYE MFUMO WA VIKUNDI VYA HUDUMA NDOGO ZA FEDHA
  • Salary slip

Viungo vinavyohusiana

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Rais-Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ofisi ya Rais -Utumishi na Utawala Bora
  • Sekretariati ya ajira
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti kuu ya takwimu huria
  • Tovuti Rasmi ya Rais

Idadi ya watembeleaji duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

https://bachelorthesiswritingservice.com

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kijiji cha Ihemi

    Anuani ya posta: Po.Box108 Iringa

    Simu ya mezani: 026-2702828/2702585

    Simu ya mkononi: 0757 364 994

    Barua pepe: ded@iringadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Haki miliki @ Halmashauri ya Wilaya ya Iringa. Haki zote zimehifadhiwa