• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe Za Watumishi |
Iringa District Council
Iringa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu sekondari
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Mazingira na Usafishaji
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA NA Uhusiano
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Mipango,Utawala na Uchumi
      • UKIMWI
      • Afya Elimu na Maji
      • UMazingira, uchumi na Ujenzi
      • Maadili
    • Ratiba Ya Vikao mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa kutekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Hudumakwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video za Shughuli Mbalimbali za kiofisi na za Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Mhandisi Jackson Watson akitoa maelezo kuhusu Mradi mpya wa Maji na Maendeleo (Water And Development Alliance -WADA) kwa wajumbe na wanufaika wa Mradi huo katika Halmashauri ya Wilaya ya Iringa Februari 3 mwaka huu katika Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji.

Imewekwa : February 4th, 2022

AMREF yatambulisha Mradi mpya wa Maji na Maendeleo – (Water And Development Alliance)

Zaituni Omar (Iringa-DC)

Mhandisi wa Mradi wa Maji na Maendeleo  -WADA, Dickson Watson ametambulisha Mradi huo  jana tarehe 3 mwezi Februari mwaka huu katika Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji ilioyopo katika Kijiji cha Kalenga Mradi ambao utatekelezwa kwa muda wa miezi 12.

Akielezea gharama za Mradi Mhandisi Watson amesema jumla ya fedha za kimarekani dola 669,565 ambazo sawa na fedha za Kitanzania shilingi Milioni 160,126,470, zitahudumia katika Vijiji 5 ambavyo ni; Kijiji cha Nyabula, Mlanda, Ndiwili, Mkungugu, na Nyango’oro.

Aidha Mhandisi huyo alisema kwa kuwa Mradi huu unatekelezwa katika Mkoa mzima wa Iringa tayari Tarehe 28 mwezi Januari Mradi huo ulizinduliwa Kimkoa na katika Wilaya ya Ieringa ni ni Halmashauri ya Wilaya ya Iringa ndio itanufaika na mradi huo katika Vijiji vitano ambavyo nimevitaja hapo awali.

Naye, Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa Mheshimiwa Ponsiano Kayage akitoa shukrani kwa Shirika hilo la AMREF, kwa kuchagua kufanya Mradi huo katika Halmashauri ya Wilaya ya Iringa kwa kuwa ina Vijiji vingi, lakini pia Shirika hilo litakuwa linaunga mkono jitiohada za Serikali ya awamu ya sita ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa vitendo.

“Kwa niaba ya Halmashuri nimefurahi AMREF kutuamini na kutupa Vijiji vingi katika Mradi huu kwani Kimkoa ni sisi ndio tumepata vijiji vingi na tunaahidi kutoa ushirikiano kwa hatua zote za utekelezaji wa Mradi huu”alisema Mh.Kayage na kuongeza kuwa;

“Katika kuhakikisha Mradi huo unakwisha kwa ubora unaokusudiwa,sisi Viongozi tutakuwa tukisimamia suala zima la uwazi na uwajibikaji” alisema.

Wakati huo huo, Mkurugenzi Mtendaji wa Halamshauri ya Wilaya ya Iringa Wakili Bashir Muhoja kwa upande wake ameshukuru kwa kupata mradi huo, ambao anaamini utapunguza kero kwa kiasi kikubwa katika shule na vituo vya afya vilivyokuswa na mradi huo.

“Kwanza nishukuru,lakini pia niwapongeze AMREF kwa andiko lililopelekea kupata fedha ambazo leo hii na sisi wananchi wa Halmashauri ya Wilaya Iringa tumekuwa wanufaika wa mradi”alisema Wakili Muhoja.

Matangazo

  • Heri ya sikukuu ya Pasaka April 19, 2025
  • Uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura May 01, 2025
  • Kila la Heri Kidato cha Sita 2025 May 05, 2025
  • KUITWA KWENYE USAHILI WA UBORESHAJI WA DAFTARI JIMBO LA KALENGA NA ISMANI December 06, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • "KILA KATA WEKENI MIKAKATI MAALUMU YA KUPUNGUZA HALI DUNI YA LISHE" - MHE. KHERI JAMES

    May 09, 2025
  • KAMPENI YA CHANJO YA POLIO AWAMU YA PILI YATOLEWA MEI 01, 2025

    May 08, 2025
  • MBOMIPA Wakabidhi Gari kwa Jumuiya ya Hifadhi ya Wanyamapori

    May 08, 2025
  • IRINGA DC YAKABIDHI MWENGE WA UHURU KILOLO DC

    April 29, 2025
  • Tazama zote

Video

Makala kuhusu miundombinu ya elimu
video

Viungo vya haraka

  • FOMU YA USAJILI WA VIKUNDI
  • INGIA KWENYE MFUMO WA VIKUNDI VYA HUDUMA NDOGO ZA FEDHA
  • Salary slip

Viungo vinavyohusiana

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Rais-Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ofisi ya Rais -Utumishi na Utawala Bora
  • Sekretariati ya ajira
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti kuu ya takwimu huria
  • Tovuti Rasmi ya Rais

Idadi ya watembeleaji duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

https://bachelorthesiswritingservice.com

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kijiji cha Ihemi

    Anuani ya posta: Po.Box108 Iringa

    Simu ya mezani: 026-2702828/2702585

    Simu ya mkononi: 0757 364 994

    Barua pepe: ded@iringadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Haki miliki @ Halmashauri ya Wilaya ya Iringa. Haki zote zimehifadhiwa