• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe Za Watumishi |
Iringa District Council
Iringa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu sekondari
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Mazingira na Usafishaji
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA NA Uhusiano
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Mipango,Utawala na Uchumi
      • UKIMWI
      • Afya Elimu na Maji
      • UMazingira, uchumi na Ujenzi
      • Maadili
    • Ratiba Ya Vikao mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa kutekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Hudumakwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video za Shughuli Mbalimbali za kiofisi na za Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Mhe. Bashungwa aleta matumaini Halmashauri ya Wilaya ya Iringa wakati wa ziara yake

Imewekwa : July 5th, 2022

“Natoa pongezi kwa Mkuu wa Mkoa, Katibu Tawala Mkoa, Mbunge wa Jimbo la Isimani, Mwenyekiti wa Halmashauri na Waheshimiwa Madiwani wote, Mkurugenzi na timu yake ya Wataalamu kwa kufanikisha miradi hii iliyomalizika na inayoendelea katika Halmashauri hii. Kweli nimefarijika sana kuona miradi inapendeza na ipo katika hali nzuri”. Haya yamesemwa na Waziri wa Nchi Ofisis ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mheshimiwa Innocent Bashungwa, wakati wa ziara yake kukagua miradi inayotekelezwa katika Halmashauri ya Wilaya ya Iringa.

Mheshimiwa Bashungwa amefanya ziara hiyo ya siku moja tarehe 04/07/2022 na kutembelea miradi mbalimbali katika maeneo ya Kituo cha Afya Kising’a, Shule ya Sekondari Isimani, Kituo cha Afya Isimani, shule ya Sekondari Nyang’oro, Shule ya Sekondari Izazi, na kituo kipya cha Afya cha Migoli ambacho kinaendelea na ujenzi.

Pamoja na mambo mengine Mhe. Bashungwa ametoa maelekezo kwa upande wa Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Iringa kuwa, kutumia kiasi cha mapato ya ndani kumalizia miradi ambayo imesimama, ambapo ni baadhi ya maabara za shule na vituo vya afya, jengo la upasuaji, jengo la Utawala Isimani sekondari vikao vya Bodi kuelekeza elimu bila malipo.

Kwa upande wake Mbunge wa Jimbo la Isimani Mheshimiwa William Lukuvi, amemshukuru Mh. Bashungwa kwa kuja kutembelea Jimboni kwake na kukagua baadhi ya miradi ambayo ipo katika utekelezaji, na kumuomba tena fedha kwa ajili ya kufanya umaliziaji katika miradi iliyokwama kama maji, majengo ya madarasa, maabara na maktaba za baadhi ya shule, mabwalo na nyumba za watumishi.

Naye Mkuu wa Mkoa wa Iringa Mheshimiwa Queen Sendinga, ametoa shukrani kwa Mheshimiwa Bashungwa kwa ujio wake na kwamba ametamani kuendelea kufanya ziara katika Mkoa wa Iringa ili ajionee mengi yanayofanyika mkoani humo.

 

Matangazo

  • PONGEZI June 24, 2025
  • KUITWA KWENYE USAHILI WA UBORESHAJI WA DAFTARI JIMBO LA KALENGA NA ISMANI December 06, 2024
  • FURSA YA UWEKEZAJI KWA MFUMO WA UBIA (PPP) January 03, 2025
  • TANGAZO LA KAZI January 24, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MAFUNZO YA MFUMO WA ESS YATOLEWA KWA WATUMISHI IRINGA DC

    June 25, 2025
  • MANENO MAZITO YA MHE. MHAPA WAKATI WA KUVUNJA BARAZA

    June 19, 2025
  • KAMATI YA FEDHA, UTAWALA NA MIPANGO YAFANYA ZIARA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO KWA ROBO YA NNE

    June 19, 2025
  • MKUTANO WA BARAZA LA MADIWANI KWA ROBO YA NNE 2024/2025 WAFANYIKA

    June 18, 2025
  • Tazama zote

Video

Makala kuhusu miundombinu ya elimu
video

Viungo vya haraka

  • FOMU YA USAJILI WA VIKUNDI
  • INGIA KWENYE MFUMO WA VIKUNDI VYA HUDUMA NDOGO ZA FEDHA
  • Salary slip

Viungo vinavyohusiana

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Rais-Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ofisi ya Rais -Utumishi na Utawala Bora
  • Sekretariati ya ajira
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti kuu ya takwimu huria
  • Tovuti Rasmi ya Rais

Idadi ya watembeleaji duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

https://bachelorthesiswritingservice.com

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kijiji cha Ihemi

    Anuani ya posta: Po.Box108 Iringa

    Simu ya mezani: 026-2702828/2702585

    Simu ya mkononi: 0757 364 994

    Barua pepe: ded@iringadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Haki miliki @ Halmashauri ya Wilaya ya Iringa. Haki zote zimehifadhiwa