• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe Za Watumishi |
Iringa District Council
Iringa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu sekondari
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Mazingira na Usafishaji
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA NA Uhusiano
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Mipango,Utawala na Uchumi
      • UKIMWI
      • Afya Elimu na Maji
      • UMazingira, uchumi na Ujenzi
      • Maadili
    • Ratiba Ya Vikao mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa kutekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Hudumakwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video za Shughuli Mbalimbali za kiofisi na za Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

MHE. KHERI JAMES AZINDUA JUKWAA LA UWEZESHAJI WANANCHI KIUCHUMI IRINGA DC

Imewekwa : November 1st, 2024


Mkuu wa Wilaya ya Iringa Mhe Kheri James amezindua Jukwaa la Uwezeshaji wananchi kiuchumi katika hafla iliyofanyika katika ukumbu wa Lutheran Iringa Novemba 01, 2024

Akizungumza wakati wa uzinduzi huo Mhe. Kheri amesema Jukwaa hili ni kiunganishi kikubwa sana kati ya wanawake na taasisi za kifedha na taasisi zingine za kiuchumi ambazo zinawaunganisha wanawake wote na fursa zilizopo.

“Halmashauri ya Wilaya ya Iringa tayari imewatengea zaidi ya Shilingi Milioni 600 ambazo zinasubiri kukopeshwa wanawake wa Wilaya yetu ya Iringa, fedha hizi ni kwa ajili ya mikopo ya wanawake, vijana na wenzetu wenye mahitaji maalumu. Amesema Mhe. Kheri.

Aidha Mhe. Kheri amempongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan kwa utatuzi wa baadhi ya changamoto ikiwemo changamoto ya upatikanaji safi na salama ambapo kwa Iringa upatikanaji wake upo kwa Zaidi ya asilimia 80, huduma ya afya imeboreshwa sanjari masuala ya mitaji.

Vilevile Mhe. Kheri ametoa wito kwa wanawake kusaidia kwenye changamoto zinazoikabili jamii ikiwemo suala la malezi ya watoto kwani malezi bora ya watoto ndio msingi na mtaji bora kwenye familia, na hili dio jukumu mama la mwanamke nyumbani.

Pia suala la udumavu limepewa msisitizo kwamba njia bora ya kuondokana na udumavu ni kula chakula bora ambacho kinaweza kisiwe cha gharama kubwa na kipo kwenye mazingira yetu na hata kwa upande wa shuleni watoto wanapaswa kula chakula ili wasome vizuri.

Naye mwenyekiti wa Jukwaa hilo Mhe. Ritha Mlagala ametoa pongezi kwa wadau wote wajukwaa na kuahidi kuwa yote yaliyotolewa wanayachukua kwa ajili ya utekelezaji

Jukwaa la uwezeshaji wananchi kiuchumi limeanzishwa kwa lengo la kuwawezesha wananchi kushiriki kikamilifu katika kujenga na kumiliki uchumi wa nchi yao, kuwapatia watanzania fursa katika shughuli za uchumi, kuhamasisha na kuhimiza wananchi juu ya umuhimu wa uwekaji wa akiba, uwekezaji na ushirikishwaji kwa wananchi kwenye shughuli za kujiongezea kipato,kuwahudumia wananchi bila upendeleo pale wanapohitaji kuwawezesha kupitia huduma zinazotolewa katika wa kila siku.

Matangazo

  • Heri ya sikukuu ya Pasaka April 19, 2025
  • Uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura May 01, 2025
  • Kila la Heri Kidato cha Sita 2025 May 05, 2025
  • KUITWA KWENYE USAHILI WA UBORESHAJI WA DAFTARI JIMBO LA KALENGA NA ISMANI December 06, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • "KILA KATA WEKENI MIKAKATI MAALUMU YA KUPUNGUZA HALI DUNI YA LISHE" - MHE. KHERI JAMES

    May 09, 2025
  • KAMPENI YA CHANJO YA POLIO AWAMU YA PILI YATOLEWA MEI 01, 2025

    May 08, 2025
  • MBOMIPA Wakabidhi Gari kwa Jumuiya ya Hifadhi ya Wanyamapori

    May 08, 2025
  • IRINGA DC YAKABIDHI MWENGE WA UHURU KILOLO DC

    April 29, 2025
  • Tazama zote

Video

Makala kuhusu miundombinu ya elimu
video

Viungo vya haraka

  • FOMU YA USAJILI WA VIKUNDI
  • INGIA KWENYE MFUMO WA VIKUNDI VYA HUDUMA NDOGO ZA FEDHA
  • Salary slip

Viungo vinavyohusiana

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Rais-Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ofisi ya Rais -Utumishi na Utawala Bora
  • Sekretariati ya ajira
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti kuu ya takwimu huria
  • Tovuti Rasmi ya Rais

Idadi ya watembeleaji duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

https://bachelorthesiswritingservice.com

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kijiji cha Ihemi

    Anuani ya posta: Po.Box108 Iringa

    Simu ya mezani: 026-2702828/2702585

    Simu ya mkononi: 0757 364 994

    Barua pepe: ded@iringadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Haki miliki @ Halmashauri ya Wilaya ya Iringa. Haki zote zimehifadhiwa