• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe Za Watumishi |
Iringa District Council
Iringa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu sekondari
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Mazingira na Usafishaji
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA NA Uhusiano
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Mipango,Utawala na Uchumi
      • UKIMWI
      • Afya Elimu na Maji
      • UMazingira, uchumi na Ujenzi
      • Maadili
    • Ratiba Ya Vikao mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa kutekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Hudumakwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video za Shughuli Mbalimbali za kiofisi na za Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

MHE. LUKUVI AWAPOKEA WAJUMBE WA BODI YA HELEN KELLER INTERNATIONAL KWA KAMBI YA MATIBABU YA MTOTO WA JICHO

Imewekwa : August 5th, 2025

MHE. LUKUVI APOKEA WAJUMBE WA BODI YA HELEN KELLER INTERNATIONAL

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu), Mhe. William Lukuvi, amewapokea na wajumbe wa Bodi wa Shirika la Kimataifa la Helen Keller International Agosti 05, 2025 na kuzindua kambi maalum ya matibabu ya macho katika Kituo cha Afya Isimani, Wilaya ya Iringa.

Kambi hiyo ya siku saba inafanyika kwa ushirikiano kati ya Wizara ya Afya kupitia Mpango wa Taifa wa Huduma za Macho na Helen Keller International, ikiwa ni juhudi za kuhakikisha wananchi wanapata huduma bora za afya ya macho. Wananchi kati ya 600 hadi 700 wanatarajiwa kupata huduma za uchunguzi, ushauri wa kitaalamu, upasuaji wa macho pamoja na ufuatiliaji wa kiafya baada ya matibabu.

Akizungumza wakati wa uzinduzi, Mhe. Lukuvi alifikisha salamu za pongezi kutoka kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa Helen Keller International na wadau wote waliowezesha kambi hiyo na kusema huduma zinazotolewa na shirika hilo zinaokoa maisha na kurejesha matumaini kwa wananchi.

Aidha Mhe. Lukuvi ameeleza kuwa Helen Keller International imekuwa mshirika wa karibu wa serikali kwa zaidi ya miaka 30, wakisaidia kuboresha afya na lishe nchini na kuwa kupitia ushirikiano huo, changamoto kubwa kama mtoto wa jicho na trachoma zimeendelea kupatiwa ufumbuzi.

Kwa upande wake Mkuu wa mkoa wa Iringa Mhe. Kheri James amewapokea wageni kutoka bodi ya shirika la Helen Keller International na kuwahakikishia kuwa serikali itawapa ushirikiano kuhakikisha wanafanya kile kinachotakiwa kuwasaidia wananchi na kuongeza kuwa Iringa ni salama hivyo wanakaribishwa.


Matangazo

  • TANGAZO KWA UMMA July 28, 2025
  • KUITWA KWENYE USAHILI WA UBORESHAJI WA DAFTARI JIMBO LA KALENGA NA ISMANI December 06, 2024
  • FURSA YA UWEKEZAJI KWA MFUMO WA UBIA (PPP) January 03, 2025
  • TANGAZO LA KAZI January 24, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • "WATU WAFUNDISHWE KUWA NA MTINDO WA ULAJI WA KUZINGATIA KANUNI KUEPUKA MATATIZO YA KIAFYA" - MHE. BENJAMIN SITTA

    August 12, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA IRINGA ATETA NA WATUMISHI WA IRINGA DC

    August 12, 2025
  • MWONGOZO WA UUNDAJI WA KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI WATOLEWA

    August 05, 2025
  • MHE. LUKUVI AWAPOKEA WAJUMBE WA BODI YA HELEN KELLER INTERNATIONAL KWA KAMBI YA MATIBABU YA MTOTO WA JICHO

    August 05, 2025
  • Tazama zote

Video

Makala kuhusu miundombinu ya elimu
video

Viungo vya haraka

  • FOMU YA USAJILI WA VIKUNDI
  • INGIA KWENYE MFUMO WA VIKUNDI VYA HUDUMA NDOGO ZA FEDHA
  • Salary slip

Viungo vinavyohusiana

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Rais-Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ofisi ya Rais -Utumishi na Utawala Bora
  • Sekretariati ya ajira
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti kuu ya takwimu huria
  • Tovuti Rasmi ya Rais

Idadi ya watembeleaji duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

https://bachelorthesiswritingservice.com

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kijiji cha Ihemi

    Anuani ya posta: Po.Box108 Iringa

    Simu ya mezani: 026-2702828/2702585

    Simu ya mkononi: 0757 364 994

    Barua pepe: ded@iringadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Haki miliki @ Halmashauri ya Wilaya ya Iringa. Haki zote zimehifadhiwa