• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe Za Watumishi |
Iringa District Council
Iringa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu sekondari
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Mazingira na Usafishaji
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA NA Uhusiano
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Mipango,Utawala na Uchumi
      • UKIMWI
      • Afya Elimu na Maji
      • UMazingira, uchumi na Ujenzi
      • Maadili
    • Ratiba Ya Vikao mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa kutekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Hudumakwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video za Shughuli Mbalimbali za kiofisi na za Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Mhe. Ulega Afanya ziara ya Kukagua Miradi ya Maendeleo

Imewekwa : October 3rd, 2024

Mhe. Ulega Afanya Ziara Kukagua na Kuzindua Miradi ya Maendelo

Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Abdallah Ulega amefanya ziara Halmashauri ya Wilaya ya Iringa Oktoba 02, 2024. Lengo la ziara yake ni kukagua miradi ya maendeleo na kuzindua kwa miradi ambayo imekamilika.

Akizungumza katika ziara hiyo Mhe. Ulega amesema, kwanza anamshukuru Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kumteua kuja kukagua miradi ambayo inatekelezwa katika Halmashauri ya Wilaya ya Iringa, na kujionea maendeleo yanyofanywa na Halmashauri hiyo.

Mhe. Ulega ametoa rai kwa uongozi wa Mkoa na Wilaya na Halmashauri kusimamia miradi ambayo bado haijakamilika, iongezwe kasi ili ikikamililika ianze kutumika kwa wakati.

Aidha katika ziara yake amepata nafasi ya kuongea na wananchi na wanafunzi waliopo kwenye maeneo aliyopita na kuwasisitiza kusoma kwa bidii ili waje kuwa viongozi wazuri baadae na kuwa na tabia njema.

Upande wa wananchi wamesisitizwa kutunza miradi inayoletwa na Serikali kwani miradi hiyo ipo kwa ajili ya wananchi wenyewe. Pia kutoa ushirikiano kwa Serikali kwa kila jambo, kwani wananchi wana deni kubwa kwa Mhe. Rais kutokana na fedha nyingi alizotoa kwa ajili ya kutekeleza miradi mbalimbalipa kumuombea dua Rais wetu.

Mhe. Ulega ameweza kutoa zawadi mbalimbali kwa wanafunzi kwa kutoa jezi na mipira kwa shule za Ifunda, Kiwele, Pawaga na Mboliboli, pia kiasi cha Shilingi Milioni Moja kwa Kata hizo nne.

Katika ziara hiyo, wananchi wamepongeza kwa ujio wake na kumuahidi Mhe. Rais kulipa deni hilo katika uchaguzi wa Serikali za Mitaa unaotarajiwa kufanyika Novemba 27, 2024 pia katika Uchaguzi Mkuu mwaka 2025,

Baadhi ya miradi aliyoteembelea Mhe. Ulega ni kuzindua jengo la bweni la Wasichana katika Shule ya Sekondari ya Ufundi Ifunda, Kuzindua majengo ya madarasa katika Shule ya Sekondari Kiwele, kuzindua majengo ya madarasa na bweni katika Shule ya Sekondari Pawaga, na kuzindua majengo ya madarasa katika Shule ya Sekondari Mboliboli.

Matangazo

  • Heri ya sikukuu ya Pasaka April 19, 2025
  • Uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura May 01, 2025
  • Kila la Heri Kidato cha Sita 2025 May 05, 2025
  • KUITWA KWENYE USAHILI WA UBORESHAJI WA DAFTARI JIMBO LA KALENGA NA ISMANI December 06, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • "KILA KATA WEKENI MIKAKATI MAALUMU YA KUPUNGUZA HALI DUNI YA LISHE" - MHE. KHERI JAMES

    May 09, 2025
  • KAMPENI YA CHANJO YA POLIO AWAMU YA PILI YATOLEWA MEI 01, 2025

    May 08, 2025
  • MBOMIPA Wakabidhi Gari kwa Jumuiya ya Hifadhi ya Wanyamapori

    May 08, 2025
  • IRINGA DC YAKABIDHI MWENGE WA UHURU KILOLO DC

    April 29, 2025
  • Tazama zote

Video

Makala kuhusu miundombinu ya elimu
video

Viungo vya haraka

  • FOMU YA USAJILI WA VIKUNDI
  • INGIA KWENYE MFUMO WA VIKUNDI VYA HUDUMA NDOGO ZA FEDHA
  • Salary slip

Viungo vinavyohusiana

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Rais-Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ofisi ya Rais -Utumishi na Utawala Bora
  • Sekretariati ya ajira
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti kuu ya takwimu huria
  • Tovuti Rasmi ya Rais

Idadi ya watembeleaji duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

https://bachelorthesiswritingservice.com

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kijiji cha Ihemi

    Anuani ya posta: Po.Box108 Iringa

    Simu ya mezani: 026-2702828/2702585

    Simu ya mkononi: 0757 364 994

    Barua pepe: ded@iringadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Haki miliki @ Halmashauri ya Wilaya ya Iringa. Haki zote zimehifadhiwa