• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe Za Watumishi |
Iringa District Council
Iringa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu sekondari
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Mazingira na Usafishaji
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA NA Uhusiano
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Mipango,Utawala na Uchumi
      • UKIMWI
      • Afya Elimu na Maji
      • UMazingira, uchumi na Ujenzi
      • Maadili
    • Ratiba Ya Vikao mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa kutekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Hudumakwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video za Shughuli Mbalimbali za kiofisi na za Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Mh.Samia Suluhu Hassan aapishwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Machi 19 mwaka 2021

Imewekwa : March 19th, 2021

Mh.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania amekula kiapo akiwa na Manjozi tele.

Na Ummi Mohamed (Afisa Habari na Uhusiano,Iringa-DC)

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh.samia Suluhu Hassan amerudia kuwajulisha Watanzania wote juu ya kifo cha aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungani wa Tanzania Dkt.John Pombe Magufuli ambaye amefariki kwa maradhi ya moyo katika hospitali ya Mzena iliyopo Jijini Dar es Salaam alipokuwa akipatiwa matibabu ya tatizo la mfumo wa umeme kwenye moyo ambalo alikuwa nalo kwa Zaidi ya miaka kumi.

Mh.Rais amesema nchi yetu itakuwa katika maombelezo kwa siku 21 na siku mbili kati ya hizo tarehe 22 na tarehe 26 zitakuwa siku za mapumziko kwakuwa siku ya tarehe 22 mwili wa aliyekuwa Rais Dkt.Magufuli utaagwa Dodoma na siku ya tarehe 26 aliyekuwa Rais Dkt. John Pombe Magufuli atapumzishwa katika nyumba yake ya milele.

Aidha vitabu vya maombolezo kwa kila mtu atakayependa kusaini vinapatikana maeneo yafutayo; kwa Dar es Salaam vitabu vitakuwa Ukumbi wa Karimjee na Ofisi ya Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki,Dodoma viwanja vya Nyerere Square,Chato ofisi ya Mkuu wa Wilaya Zanzibar jingo la zamani la Baraza la Wawakilishi na Ofisi zote za Wakuu wa mikoa na Wilaya.

Pia,vitabu vitapatikana Ofisi zote za Wakuu wa Mikoa na Wilaya kwa Tanzania nzima na Ofisi zote za Balozi za Tanzania nje.

“Ndugu Watanzania leo sio siku nzuri kwangu ya kuhutubia maana nimeelemewa na kidonda na mzigommkubwa moyoni mwangu,kiapo nilichokula leo ni tofauti na viapo vyangu vyote vya awali nilivyoapa kwa faraja,nderemo na vifijona bashasha tele leo nimekula kiapo cha juu kabisa katika nchi yetu ya Tanzania nikiwa na majonzi tele hivyo mtaniwia radhi nitaongea kwa uchache na ufupi sana nitatafuta wasaa mwingine hapo baadae tuzungumze na kukumbushane na kuwekana sawa”alisema Mh.Rais Samia Suluhu Hassan.

Matangazo

  • PONGEZI June 24, 2025
  • KUITWA KWENYE USAHILI WA UBORESHAJI WA DAFTARI JIMBO LA KALENGA NA ISMANI December 06, 2024
  • FURSA YA UWEKEZAJI KWA MFUMO WA UBIA (PPP) January 03, 2025
  • TANGAZO LA KAZI January 24, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MANENO MAZITO YA MHE. MHAPA WAKATI WA KUVUNJA BARAZA

    June 19, 2025
  • KAMATI YA FEDHA, UTAWALA NA MIPANGO YAFANYA ZIARA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO KWA ROBO YA NNE

    June 19, 2025
  • MKUTANO WA BARAZA LA MADIWANI KWA ROBO YA NNE 2024/2025 WAFANYIKA

    June 18, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA IRINGA YAPONGEZWA KWA KUPATA HATI SAFI

    June 17, 2025
  • Tazama zote

Video

Makala kuhusu miundombinu ya elimu
video

Viungo vya haraka

  • FOMU YA USAJILI WA VIKUNDI
  • INGIA KWENYE MFUMO WA VIKUNDI VYA HUDUMA NDOGO ZA FEDHA
  • Salary slip

Viungo vinavyohusiana

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Rais-Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ofisi ya Rais -Utumishi na Utawala Bora
  • Sekretariati ya ajira
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti kuu ya takwimu huria
  • Tovuti Rasmi ya Rais

Idadi ya watembeleaji duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

https://bachelorthesiswritingservice.com

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kijiji cha Ihemi

    Anuani ya posta: Po.Box108 Iringa

    Simu ya mezani: 026-2702828/2702585

    Simu ya mkononi: 0757 364 994

    Barua pepe: ded@iringadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Haki miliki @ Halmashauri ya Wilaya ya Iringa. Haki zote zimehifadhiwa