• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe Za Watumishi |
Iringa District Council
Iringa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu sekondari
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Mazingira na Usafishaji
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA NA Uhusiano
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Mipango,Utawala na Uchumi
      • UKIMWI
      • Afya Elimu na Maji
      • UMazingira, uchumi na Ujenzi
      • Maadili
    • Ratiba Ya Vikao mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa kutekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Hudumakwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video za Shughuli Mbalimbali za kiofisi na za Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

MKUU WA MKOA WA IRINGA ATANGAZA UPYA VITA DHIDI YA UKATILI WA KIJINSIA

Imewekwa : December 8th, 2023

Mkuu wa mkoa wa Iringa Mhe. Halima Dendego amesema kuwa hakuna kilele wala kufunga maadhimisho ya kupinga Ukatili wa kijinsia bali kazi hii itakuwa endelevu kuanzia Mwezi Januari hadi Septemba. Mhe. Dendego ameyasema haya wakati wa Kilele cha Maadhimisho ya Kupinga Ukatili wa Kijinsia yaliyofanyika katika kijiji cha Kalenga 08.12.2023.

“Sisi leo hatuna kilele tunasema ndio kwanza kazi imeanza, tunaendeleza hakuna kulala siku 360 zijazo lazima tuone matunda chanya kwa hiyo sisi hatufungi leo, Iringa kampeni hii ni endelevu” Amesema

Aidha, Mhe Dendego amesema mwendelezo wa kampeni hii utaambatana na mashindano juu ya kazi mbalimbali zinazolenga kupinga ukatili wa kijinsia. Mashindano hayo yatakayokuwa kwa ngazi mbalimbali kuanzia Tarafa, Wilaya na Mkoa ikihusisha makundi ya shule za Msingi, Sekondari, vyuo na makundi mengine katika jamii ambapo mshindi wa kwanza hadi wa tatu atapata zawadi kwa kila ngazi.

Pia Mhe. Dendego metoa wito kwa jamii kuchukua tahadhari kufuatia mvua kubwa zinazonyesha katika maeneo mbalimbali ikiwa ni pamoja na kuwa waangalifu juu ya watoto ili kuzuia au kupunguza madhara yanayoweza kujitokeza na kuzitumia mvua hizi vema kwenye masuala ya kilimo.

Mhe. Dendego amewashukuru viongozi mbalimbali na wadau kutoka shirika la World Vision Tanzania, TAHEA, Emmanuel International, Care, FBF, Compassion International, Lebao’s Kids Foundation na wana Habari wote kwa kufanikisha Kampeni hii ya kupinga Ukatili wa Kijinsia.

Naye Afisa Maendeleo ya Jamii ngazi ya Mkoa amesema, mwaka jana Ukatili wa Kijinsia ulifikia 23% kwa Mkoa wa Iringa na watu wengi hasa wanaume wameanza kujitokeza kutoa taarifa za ukatili. Ameendelea kusema kuwa Chanzo kimojawapo kikubwa cha kuongeza ukatili ni mmomonyoko wa maadili katika jamii ambapo mmomonyoko huo umetokana na malezi mabaya katika familia.

Maadhimisho ya Kupinga Ukatili wa Kijinsia mwaka huu yana ujumbe usemao, “Wekeza Kupinga Ukatili wa Kijisia”

Matangazo

  • PONGEZI June 24, 2025
  • KUITWA KWENYE USAHILI WA UBORESHAJI WA DAFTARI JIMBO LA KALENGA NA ISMANI December 06, 2024
  • FURSA YA UWEKEZAJI KWA MFUMO WA UBIA (PPP) January 03, 2025
  • TANGAZO LA KAZI January 24, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MANENO MAZITO YA MHE. MHAPA WAKATI WA KUVUNJA BARAZA

    June 19, 2025
  • KAMATI YA FEDHA, UTAWALA NA MIPANGO YAFANYA ZIARA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO KWA ROBO YA NNE

    June 19, 2025
  • MKUTANO WA BARAZA LA MADIWANI KWA ROBO YA NNE 2024/2025 WAFANYIKA

    June 18, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA IRINGA YAPONGEZWA KWA KUPATA HATI SAFI

    June 17, 2025
  • Tazama zote

Video

Makala kuhusu miundombinu ya elimu
video

Viungo vya haraka

  • FOMU YA USAJILI WA VIKUNDI
  • INGIA KWENYE MFUMO WA VIKUNDI VYA HUDUMA NDOGO ZA FEDHA
  • Salary slip

Viungo vinavyohusiana

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Rais-Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ofisi ya Rais -Utumishi na Utawala Bora
  • Sekretariati ya ajira
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti kuu ya takwimu huria
  • Tovuti Rasmi ya Rais

Idadi ya watembeleaji duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

https://bachelorthesiswritingservice.com

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kijiji cha Ihemi

    Anuani ya posta: Po.Box108 Iringa

    Simu ya mezani: 026-2702828/2702585

    Simu ya mkononi: 0757 364 994

    Barua pepe: ded@iringadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Haki miliki @ Halmashauri ya Wilaya ya Iringa. Haki zote zimehifadhiwa