• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe Za Watumishi |
Iringa District Council
Iringa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu sekondari
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Mazingira na Usafishaji
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA NA Uhusiano
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Mipango,Utawala na Uchumi
      • UKIMWI
      • Afya Elimu na Maji
      • UMazingira, uchumi na Ujenzi
      • Maadili
    • Ratiba Ya Vikao mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa kutekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Hudumakwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video za Shughuli Mbalimbali za kiofisi na za Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

MKUU WA WILAYA YA IRINGA AHIMIZA USIMAMIZI WA UKUSANYAJI WA MAPATO IRINGA DC

Imewekwa : February 28th, 2025


Atoa wito kwa menejimenti ya Halmashauri ya Wilaya ya Iringa pamoja na Baraza la Waheshimiwa Madiwani kujiimarisha kwenye suala la kubuni vyanzo vipya vya mapato kutokana na fursa ya kijiografia ya Halmashauri na mipaka yake.

Mkuu wa Wilaya ya Iringa Mhe. Kheri James amesisitiza juu ya usimamizi wa ukusanyaji wa mapato ya Halmashauri kwani kuna mipango mingi ya kimaendeleo inayohitaji rasilimali fedha. Mhe. Kheri James amezungumza haya wakati wa mkutano wa kawaida wa Baraza la Madiwani kwa robo ya pili uliofanyika Februari 28, 2025 katika ukumbi wa Siasa ni Kilimo.

Aidha Mhe. James amehimiza Baraza na menejimenti kujiimarisha katika kubuni vyanzo vipya vya mapato kwa kutumia fursa ya kimazingira na mipaka ya Halmashauri ikiwemo kuwekeza kwenye mazao ya kimkakati na skimu za umwagiliaji ili kuchechemua uchumi na kuongeza mapato na kwamba yeye mwenyewe na hata vyombo vyake vingine vitatoa ushirikiano pale utakapohitajika ili kuleta matokeo chanya.

“Halmashauri ya Wilaya ya Iringa kijiografia imezungukwa na Halmashauri nyingi sana ambazo ni Manispaa ya Iringa, Mafinga, Mufindi, Kilolo, Mkoa wa Dodoma na Mbarali kwa upande wa Ruaha National Park ambayo ni fursa”, Amesema Mhe. James.

Kwa upande wake Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa Mhe. Steven Mhapa ametoa wito kwa waheshimiwa Madiwani Kwenda kusimamia miradi ya maendeleo iliyopo kwenye maeneo ya kata husika ili kujua mwenendo wa utekelezaji wake sanjari na kufanya kazi kwa ushirikiano kwa kuepuka majungu.

Mkutano wa kawaida wa Baraza la Madiwani kwa robo ya pili 2024/2025 katika Halmashauri ya Wilaya ya Iringa pamoja na mambo mengine pia ulikuwa na jukumu la kujadili na kuthibitisha taarifa za kamati za kudumu za Halmashauri ambazo ni; Kamati ya Elimu, Afya na Maji, Kamati ya Fedha, Utawala na Mipango, Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira, Kamati ya Mapambano dhidi ya UKIMWI Pamoja na Kamati ya Maadili.

Matangazo

  • PONGEZI June 24, 2025
  • KUITWA KWENYE USAHILI WA UBORESHAJI WA DAFTARI JIMBO LA KALENGA NA ISMANI December 06, 2024
  • FURSA YA UWEKEZAJI KWA MFUMO WA UBIA (PPP) January 03, 2025
  • TANGAZO LA KAZI January 24, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MANENO MAZITO YA MHE. MHAPA WAKATI WA KUVUNJA BARAZA

    June 19, 2025
  • KAMATI YA FEDHA, UTAWALA NA MIPANGO YAFANYA ZIARA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO KWA ROBO YA NNE

    June 19, 2025
  • MKUTANO WA BARAZA LA MADIWANI KWA ROBO YA NNE 2024/2025 WAFANYIKA

    June 18, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA IRINGA YAPONGEZWA KWA KUPATA HATI SAFI

    June 17, 2025
  • Tazama zote

Video

Makala kuhusu miundombinu ya elimu
video

Viungo vya haraka

  • FOMU YA USAJILI WA VIKUNDI
  • INGIA KWENYE MFUMO WA VIKUNDI VYA HUDUMA NDOGO ZA FEDHA
  • Salary slip

Viungo vinavyohusiana

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Rais-Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ofisi ya Rais -Utumishi na Utawala Bora
  • Sekretariati ya ajira
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti kuu ya takwimu huria
  • Tovuti Rasmi ya Rais

Idadi ya watembeleaji duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

https://bachelorthesiswritingservice.com

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kijiji cha Ihemi

    Anuani ya posta: Po.Box108 Iringa

    Simu ya mezani: 026-2702828/2702585

    Simu ya mkononi: 0757 364 994

    Barua pepe: ded@iringadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Haki miliki @ Halmashauri ya Wilaya ya Iringa. Haki zote zimehifadhiwa