• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe Za Watumishi |
Iringa District Council
Iringa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu sekondari
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Mazingira na Usafishaji
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA NA Uhusiano
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Mipango,Utawala na Uchumi
      • UKIMWI
      • Afya Elimu na Maji
      • UMazingira, uchumi na Ujenzi
      • Maadili
    • Ratiba Ya Vikao mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa kutekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Hudumakwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video za Shughuli Mbalimbali za kiofisi na za Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

MKUU WA WILAYA YA IRINGA ATETA NA WATUMISHI WA IRINGA DC

Imewekwa : August 12th, 2025

MKUU WA WILAYA YA IRINGA ATETA NA WATUMISHI WA IRINGA DC

Awaasa watumishi kufanya kazi kwa bidii na kuacha alama, ahimiza ubunifu kwenye utendaji hasa suala la vyanzo na ukusanyaji wa mapato

Mkuu wa Wilaya ya Iringa Mhe. Benjamin Sitta amefanya ziara kwenye ofisi za makao makuu ya Halmashauri ya Wilaya ya Iringa – Ihemi ikiwa na lengo la kujitambulisha na kuongea na watumishi Agosti 12, 2025.

Mhe. Sitta ameambatana na wajumbe wa kamati ya usalama ya Wilaya Pamoja na maafisa Tarafa ambapo walitumia fursa hiyo kueleza masuala muhimu kwa watumishi.

Pamoja na mambo mengine Mhe. Sitta amewaasa watumishi wa halmashauri kufanya kazi kwa bidii na kuwa wabunifu kwani kazi wanazozifanya zitawatambulisha.

“Mimi nawasisitiza kuweni wabunifu ukikaa na CMT yako umizini vichwa sana ni namna gani mnaweza kubuni vyanzo vipya ambavyo mkiwa na mapato mnaweza kujitanua zaidi, huduma itaongezeka zaidi lakini pia hata watu mambo madogomadogo mtaweza kuyatatua”

Aidha Mhe. Sitta amehimiza watoaji wa haki kuhakikisha kuwa wanasimamia hilo kwani imekuwa ni changamoto kubwa sana hasa kwenye masuala ya ardhi na kwamba viongozi wanapaswa kujipanga kuhakikisha kuwa kero mbalimbali za wananchi zinatatuliwa badala ya kuwasubiria viongozi.

Naye Katibu Tawala wa Wilaya ndugu Urassa amewahimiza watumishi wa Halmashauri ya Wilaya kuendana na mifumo iliyopo kwani kwa sasa vitu vingi vinategemea mifumo na kutoa wito kwa watumishi kuhakikisha kuwa wanazingatia ujazaji wa taarifa ya utendaji kazi (PEPMIS) kwani kutofanya hivyo kunaweza kupelekea usumbufu kwa mtumishi.


Kwa upande wake Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa ameeleza juhudi mbalimbali zinazofanywa na Halmashauri sanjari na changamoto zilizopo ikiwemo makazi na madai mbalimbali ya watumishi.

Matangazo

  • TANGAZO KWA UMMA July 28, 2025
  • KUITWA KWENYE USAHILI WA UBORESHAJI WA DAFTARI JIMBO LA KALENGA NA ISMANI December 06, 2024
  • FURSA YA UWEKEZAJI KWA MFUMO WA UBIA (PPP) January 03, 2025
  • TANGAZO LA KAZI January 24, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • "WATU WAFUNDISHWE KUWA NA MTINDO WA ULAJI WA KUZINGATIA KANUNI KUEPUKA MATATIZO YA KIAFYA" - MHE. BENJAMIN SITTA

    August 12, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA IRINGA ATETA NA WATUMISHI WA IRINGA DC

    August 12, 2025
  • MWONGOZO WA UUNDAJI WA KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI WATOLEWA

    August 05, 2025
  • MHE. LUKUVI AWAPOKEA WAJUMBE WA BODI YA HELEN KELLER INTERNATIONAL KWA KAMBI YA MATIBABU YA MTOTO WA JICHO

    August 05, 2025
  • Tazama zote

Video

Makala kuhusu miundombinu ya elimu
video

Viungo vya haraka

  • FOMU YA USAJILI WA VIKUNDI
  • INGIA KWENYE MFUMO WA VIKUNDI VYA HUDUMA NDOGO ZA FEDHA
  • Salary slip

Viungo vinavyohusiana

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Rais-Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ofisi ya Rais -Utumishi na Utawala Bora
  • Sekretariati ya ajira
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti kuu ya takwimu huria
  • Tovuti Rasmi ya Rais

Idadi ya watembeleaji duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

https://bachelorthesiswritingservice.com

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kijiji cha Ihemi

    Anuani ya posta: Po.Box108 Iringa

    Simu ya mezani: 026-2702828/2702585

    Simu ya mkononi: 0757 364 994

    Barua pepe: ded@iringadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Haki miliki @ Halmashauri ya Wilaya ya Iringa. Haki zote zimehifadhiwa