• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe Za Watumishi |
Iringa District Council
Iringa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu sekondari
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Mazingira na Usafishaji
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA NA Uhusiano
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Mipango,Utawala na Uchumi
      • UKIMWI
      • Afya Elimu na Maji
      • UMazingira, uchumi na Ujenzi
      • Maadili
    • Ratiba Ya Vikao mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa kutekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Hudumakwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video za Shughuli Mbalimbali za kiofisi na za Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

MKUU WA WILAYA YA IRINGA AWAFUNDA WENYEVITI VIJIJI IRINGA DC

Imewekwa : January 8th, 2025


Wakumbushwa kutambua na kuthamini dhamana waliopewa na wananchi.

Mkuu wa Wilaya ya Iringa Mhe. Kheri James akutana na wenyeviti wa vijiji wa Halmashauri ya Iringa na kuongea nao kuhusu uelekeo wa kiutendaji baada ya uchaguzi katika kikao kilichofanyika Januari 08, 2025 katika ukumbi wa ofisi ya Mkuu wa Wilaya iliyopo Mawelewele, Iringa mjini.

“Lazima tuwakumbushe kuwa ninyi ndio wenyeviti kwa kipindi cha miaka mitano hivyo lazima mjue kwa nini mlichaguliwa. Ukweli ni kwamba mmechaguliwa kwa sababu wananchi wenzetu wamewaamini hiyo ndio hoja ya msingi” amesema Mhe. Kheri.

Mhe. Kheri amewakumbusha viongozi kujipambanua kuwa ni viongozi wa mfano na ni viongozi ambao wanaweza kuaminiwa na watu waliowapa dhamana, hivyo kuwa mstari wa mbele katika mambo yanayopaswa kuwa katika Jamii kama kuwa kisima cha hekima, busara, haki, usawa, chachu ya maendeleo na hamasa ya umoja na mshikamano katika vijiji vyao.

Aidha Mhe. Kheri amewahimiza wenyeviti kijikita katika masuala makubwa ya msingi ambayo tayari Wilaya imejipambanua nayo ambayo ni; haki, usawa, maendeleo, umoja na mshikamano mambo ambayo yatatokea endapo kiongozi atakuwa Mwaminifu na mwenye kuaminika, mwadilifu, mbunifu, mwajibikaji na mwenye kuwasikiloiza wananchi.

Naye Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa amewapongeza wenyeviti wote wa vijiji 134 kwa kuchaguliwa na kuapishwa na kuwakumbusha kutambua kuwa wao sasa ni viongozi wa serikali za vijiji ambazo zina wajumbe wake na katibu wake ambaye ni Mtendaji wa Kijiji anayefanya kazi kama Mkurugenzi ngazi ya Kijiji.

Kwa upande wao wenyeviti wa vijiji kwa uwakilishi wametoa pongezi na shukrani kwa Mkuu wa Wilaya kwa kuandaa mafunzo haya ambayo yamewafungua ufahamu kwa sehemu kubwa na kuona kwamba hawapo peke yao bali kuna viongozi nyuma yao na kwamba wanaenda kufanyia kazi waliyoyapata ili kutoa matokeo Chanya.

Matangazo

  • Heri ya sikukuu ya Pasaka April 19, 2025
  • Uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura May 01, 2025
  • Kila la Heri Kidato cha Sita 2025 May 05, 2025
  • KUITWA KWENYE USAHILI WA UBORESHAJI WA DAFTARI JIMBO LA KALENGA NA ISMANI December 06, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • "KILA KATA WEKENI MIKAKATI MAALUMU YA KUPUNGUZA HALI DUNI YA LISHE" - MHE. KHERI JAMES

    May 09, 2025
  • KAMPENI YA CHANJO YA POLIO AWAMU YA PILI YATOLEWA MEI 01, 2025

    May 08, 2025
  • MBOMIPA Wakabidhi Gari kwa Jumuiya ya Hifadhi ya Wanyamapori

    May 08, 2025
  • IRINGA DC YAKABIDHI MWENGE WA UHURU KILOLO DC

    April 29, 2025
  • Tazama zote

Video

Makala kuhusu miundombinu ya elimu
video

Viungo vya haraka

  • FOMU YA USAJILI WA VIKUNDI
  • INGIA KWENYE MFUMO WA VIKUNDI VYA HUDUMA NDOGO ZA FEDHA
  • Salary slip

Viungo vinavyohusiana

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Rais-Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ofisi ya Rais -Utumishi na Utawala Bora
  • Sekretariati ya ajira
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti kuu ya takwimu huria
  • Tovuti Rasmi ya Rais

Idadi ya watembeleaji duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

https://bachelorthesiswritingservice.com

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kijiji cha Ihemi

    Anuani ya posta: Po.Box108 Iringa

    Simu ya mezani: 026-2702828/2702585

    Simu ya mkononi: 0757 364 994

    Barua pepe: ded@iringadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Haki miliki @ Halmashauri ya Wilaya ya Iringa. Haki zote zimehifadhiwa