• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe Za Watumishi |
Iringa District Council
Iringa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu sekondari
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Mazingira na Usafishaji
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA NA Uhusiano
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Mipango,Utawala na Uchumi
      • UKIMWI
      • Afya Elimu na Maji
      • UMazingira, uchumi na Ujenzi
      • Maadili
    • Ratiba Ya Vikao mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa kutekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Hudumakwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video za Shughuli Mbalimbali za kiofisi na za Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

MSAKO KWA WASIOPELEKA WATOTO SHULE KUANZA IRINGA DC

Imewekwa : January 25th, 2024

Mkuu wa Wilaya ya Iringa Mhe. Veronica Kessy amewataka wazazi na walezi kuhakikisha kuwa watoto wote wanaostahili kwenda shuleni wanaripoti na kuwaomba viongozi wote wakiwemo viongozi wa dini, viongozi wa vyama, viongozi wa taasisi, na jamii kwa ujumla kutoa ushirikiano wa kuwahimiza watoto waende wakaripoti shule.

Mhe. Kessy ameyasema hayo alipokuwa akifungua kikao cha Kamati ya Ushauri ya Wilaya (DCC) kilichofanyika Januari 25, 2024 katika ukumbi wa Siasa ni Kilimo – Iringa ambapo maada mbalimbali zimejadiliwa ikiwemo mchakato wa kugawa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa.

“Mpaka tarehe 31 watoto waripoti kwa hiyari, lakini kuanzia tarehe 01.02.2024 tutaanza msako unaanza kwa wazazi ambao hawajawaapeleka watoto wao shule. Na tumeshatoa maelekezo kwa Maafisa Elimu na Wakurugenzi watendaji kwamba tutahitaji orodha ya wanafunzi wote ambao walitakiwa kuanza kidato cha kwanza”.

Kwa upande mwingine kikao cha DCC kimeridhia kuendelea kwa mchakato wa kugawa Halmashauri ambapo mapendekezo ya awali ni kuwa na Halmashauri 2 yaani Halmashauri ya Wilaya ya Iringa na Halmashauri ya Wilaya ya Ruaha kutoka katika Halmashauri Mama ya Wilaya ya Iringa.

Inapendekezwa kuwa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa kuchukua eneo lote la Jimbo la kalenga na Halmashauri ya Wilaya ya Raha kuchukua eneo lote la Jimbo la Isimani sanjari na mapendekezo ya ongezeko la mgawanyo wa kata, vijiji na vitongoji.

Akisoma taarifa ya mapendekezo hayo kwa niaba ya Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa, Bi Beatrice Augustino Mkuu wa Idara ya Utawala na Usimamizi wa Rasilimali watu amesema mapendekezo hayo yamekuja kufuatia sababu ya kijiografia ya Halmashauri ya Wilaya ya Iringa pamoja na mambo mengine.

Kikao cha kamati ya Ushauri ya Wilaya kimefanya mapitio ya Mipango na Bajeti kwa mwaka 2023/2024 na rasimu ya 2024/2025 kwa Halmashauri ya wilayaya Iringa, Manispaa ya Iringa, Taasisi na Idara mbalimbali za Serikali ikiwemo TANESCO, RUWASA, IRUWASA, TARURA, TANROADS, NIDA, LATRA na TRA.

Matangazo

  • Heri ya sikukuu ya Pasaka April 19, 2025
  • Uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura May 01, 2025
  • Kila la Heri Kidato cha Sita 2025 May 05, 2025
  • KUITWA KWENYE USAHILI WA UBORESHAJI WA DAFTARI JIMBO LA KALENGA NA ISMANI December 06, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • "KILA KATA WEKENI MIKAKATI MAALUMU YA KUPUNGUZA HALI DUNI YA LISHE" - MHE. KHERI JAMES

    May 09, 2025
  • KAMPENI YA CHANJO YA POLIO AWAMU YA PILI YATOLEWA MEI 01, 2025

    May 08, 2025
  • MBOMIPA Wakabidhi Gari kwa Jumuiya ya Hifadhi ya Wanyamapori

    May 08, 2025
  • IRINGA DC YAKABIDHI MWENGE WA UHURU KILOLO DC

    April 29, 2025
  • Tazama zote

Video

Makala kuhusu miundombinu ya elimu
video

Viungo vya haraka

  • FOMU YA USAJILI WA VIKUNDI
  • INGIA KWENYE MFUMO WA VIKUNDI VYA HUDUMA NDOGO ZA FEDHA
  • Salary slip

Viungo vinavyohusiana

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Rais-Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ofisi ya Rais -Utumishi na Utawala Bora
  • Sekretariati ya ajira
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti kuu ya takwimu huria
  • Tovuti Rasmi ya Rais

Idadi ya watembeleaji duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

https://bachelorthesiswritingservice.com

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kijiji cha Ihemi

    Anuani ya posta: Po.Box108 Iringa

    Simu ya mezani: 026-2702828/2702585

    Simu ya mkononi: 0757 364 994

    Barua pepe: ded@iringadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Haki miliki @ Halmashauri ya Wilaya ya Iringa. Haki zote zimehifadhiwa