• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe Za Watumishi |
Iringa District Council
Iringa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu sekondari
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Mazingira na Usafishaji
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA NA Uhusiano
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Mipango,Utawala na Uchumi
      • UKIMWI
      • Afya Elimu na Maji
      • UMazingira, uchumi na Ujenzi
      • Maadili
    • Ratiba Ya Vikao mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa kutekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Hudumakwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video za Shughuli Mbalimbali za kiofisi na za Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Murugenzi Mtendaji Bw Robert Masunya mwenye Kofia nyeupe pichani akiangalia Gari iliyotolewa na Wizara ya Afya.

Imewekwa : May 4th, 2020

IRNGA DC YAPATA GARI YA KISASA

Na Ummi Mohamed (Afisa Habari na Uhusiano Iringa –DC)

Mkurugenzi Mtendaji wa halmashauri ya Wilaya ya Iringa Bw Robert Masunya amemshukuru Waziri  wa Afya Maendeleo ya Jamii Jinsia Wazee na Watoto Mh Ummy Mwalimu kwa kuipatia Halmashauri yake Gari ya Kisasa kwa ajili ya Kubebea Wagonjwa yenye thamani ya Shilingi Milioni 120.

“Namshukuru sana  Waziri Mh Ummy Mwalimu kwa kuipa kipaumbele Halmashauri yetu ya Iringa kwani uwepo wa usafiri wa uhakika kutawezesha kuokoa maisha ya watu wengi inapokuwa imetokea dharura ya Mgonjwa kutaka kuwahishwa katika Hospitali ya Rufaa ”

Bw Masunya ametoa shukurani hizo Ofisini kwake Kalenga leo Mei 4   alipokuwa akipokea Gari hiyo na kutoa maelekezo kwa mkuu wa idara ya Usafirishaji Bw Hawadi Tom kuwa makini na kuhakikisha Gari hiyo inatunzwa kama ambavyo gari zingine zinatunzwa kwani hii ni Baraka kwa Halmashauri ya Wilaya Iringa.

“Gari hii itafanya Halmashauri yetu iwe na gari tisa,hivyo hakikisha hata dereva utakayemkabidhi ni dereva mstaarabu ambaye ataitumia kwa umakini na kwa weledi  ili tuzidi kujenga imani kwa Serikali na wadau wotewanaojitolea misaada kwa ajili ya Halmashauri yetu” alisema.

Pia alitoa shukurani kwa Waziri wa Ardhi,Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mh Wiliam Lukuvi, kwa kuisemea Halmashauri ya Wilaya ya Iringa na kufanikiwa kuwa miongoni mwa Halmashauri zilizopewa magari ya kisasa kwa ajili ya kuhudumia wagonjwa.

“Upatikanaji wa Gari hii hata Mh Waziri William Lukuvi lazima ni mshukuru amekuwa akiguswa na kufuatilia masuala yote yahusuyo halmashauri awapo katika vikao vya Bunge mjini Dodoma”

  

 

Matangazo

  • PONGEZI June 24, 2025
  • KUITWA KWENYE USAHILI WA UBORESHAJI WA DAFTARI JIMBO LA KALENGA NA ISMANI December 06, 2024
  • FURSA YA UWEKEZAJI KWA MFUMO WA UBIA (PPP) January 03, 2025
  • TANGAZO LA KAZI January 24, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MANENO MAZITO YA MHE. MHAPA WAKATI WA KUVUNJA BARAZA

    June 19, 2025
  • KAMATI YA FEDHA, UTAWALA NA MIPANGO YAFANYA ZIARA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO KWA ROBO YA NNE

    June 19, 2025
  • MKUTANO WA BARAZA LA MADIWANI KWA ROBO YA NNE 2024/2025 WAFANYIKA

    June 18, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA IRINGA YAPONGEZWA KWA KUPATA HATI SAFI

    June 17, 2025
  • Tazama zote

Video

Makala kuhusu miundombinu ya elimu
video

Viungo vya haraka

  • FOMU YA USAJILI WA VIKUNDI
  • INGIA KWENYE MFUMO WA VIKUNDI VYA HUDUMA NDOGO ZA FEDHA
  • Salary slip

Viungo vinavyohusiana

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Rais-Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ofisi ya Rais -Utumishi na Utawala Bora
  • Sekretariati ya ajira
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti kuu ya takwimu huria
  • Tovuti Rasmi ya Rais

Idadi ya watembeleaji duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

https://bachelorthesiswritingservice.com

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kijiji cha Ihemi

    Anuani ya posta: Po.Box108 Iringa

    Simu ya mezani: 026-2702828/2702585

    Simu ya mkononi: 0757 364 994

    Barua pepe: ded@iringadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Haki miliki @ Halmashauri ya Wilaya ya Iringa. Haki zote zimehifadhiwa