• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe Za Watumishi |
Iringa District Council
Iringa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu sekondari
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Mazingira na Usafishaji
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA NA Uhusiano
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Mipango,Utawala na Uchumi
      • UKIMWI
      • Afya Elimu na Maji
      • UMazingira, uchumi na Ujenzi
      • Maadili
    • Ratiba Ya Vikao mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa kutekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Hudumakwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video za Shughuli Mbalimbali za kiofisi na za Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Muwezezaji wa Mrati wa World Vision Wasa Bi.Gaudencia Mushi akiwa katika picha ya pamoja na wazazi na watoto waliopatiwa vitimwendo katika kata ya Wasa

Imewekwa : November 26th, 2020

World Vision yawakumbuka Watoto Wenye Ulemavu.

Na Ummi Mohamed (Afisa Habari na Uhusiano,Iringa DC)

Shirika lisilo la kiserlikali la World Vision limegharamia viti mwendo vyenye thamani ya shilingi million 24.9 kwa ajili ya watoto wenye ulemavu katika Kata nne za Halmashauri ya Wilaya ya Iringa.

Akizungumza baadha ya ugawaji wa viti hivyo mwezeshaji wa mradi huo Bi.Gaudencia Mushi amesema jumla ya watoto 43 walikuwa wamelengwa kupata viti hivyo lakini kabla ya kuanza kugawa waliwashilikisha wataalam wa mazoezi tiba kwa vitendo ili ugawaji huo usiweze kuleta madhara kwa wanufaika.

‘‘Si kila kiti mwendo kina faa kwa ajili ya watu wenye ulemavu au kila mtu mwenye mlemavu anatakiwa kupewa kiti mwendo hivyo sisi kabla ya  kuanza kuwafikia watoto wenye walemavu tulishirikiana na wadau wenzetu kutoka hospitali ya CCBRT ambao wao ni wataalam wa mazoezi tiba kwa vitendo ’’ alisema na kuongeza;

“ Hivyo kati ya watoto 43 walioonwa ni watoto 29 ndio walikidhi vigezo na kupewa viti mwendo huku 14 wakipewa rufaa kwa ajili ya uchunguzi zaidi wa kiafya katika hospitali za CCBRT Moshi,hosptali ya Machame na KCMC.”alisema.

Kwa upande wake Mtoa tiba kwa vitendo Bi.Neophita Lukilindi ametoa pongezi kwa Shirika la World Vision kwa kuwakumbuka watoto wenye ulemavu kwani wengi wa watoto hao wamekuwa hawatimizi ndoto zao.

Bi.Lukilindi alisema zoezi la ugawaji viti hivyo lilikuwa la siku nne na kwamba liligawanyika kikata ambapo tarehe 21 na 23 lilifanyika Kata ya Kihanga na tarehe 24 hadi tarehe 25 Kata ya Wasa ambapo maeneo hayo ndipo World Vision inafanya shughuli zake za kusaidia jamii.

“Napenda kuipongeza serikali yetu ya awamu ya tano kwa kuweza kuweka mazingira mazuri ambayo yanawezesha wataalam kufanya kazi kwa uhuru na amani eneo lolote ndani ya mipaka ya nchi yetu,lakini pia mahusiano mazuri kati ya serikali na mashirika na taasisi zisizo za kiserikali”alisema.

Aidha Bw.Marius John Muwakilishi wa shirika la World Vision Singida ambaye alikuwa msimamizi wa zoezi hilo amesema zoezi la utoaji wa viti hivyo umefanyika katika mikoa mitano ambayo shirika hilo lina miradi lakini pia wapo watoto ambao wamenufaika na ujio wa wataalam wa CCBRT kwani walipimwa kupewa ushauri na hata kupewa elimu ya kuwafanjia mazoezi watoto wao wawapo nyumbani.

“Wapo watoto ambao sio wafadhiliwa wa shirika na ambao hawapo eneo la Mradi lakini kwa kuwa walihitaji huduma za kitaalam waliweza kuonwa na kupewa vipimoikiwemo rufaa ili waweze kwenda kupata huduma za kiuchunguzi zaidi”alisema.

Bw.John alisisiza kwa kusema kuwa jamii inapaswa kushiriki katika kutetea na kulinda haki na maslahi ya watoto wenye ulemavu ili waweze kutimiza ndoto zao na kupata haki zao za kimsingi ikiwemo kusoma na kushiriki katika masuala ya kijamii.

Matangazo

  • Heri ya sikukuu ya Pasaka April 19, 2025
  • Uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura May 01, 2025
  • Kila la Heri Kidato cha Sita 2025 May 05, 2025
  • KUITWA KWENYE USAHILI WA UBORESHAJI WA DAFTARI JIMBO LA KALENGA NA ISMANI December 06, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • "KILA KATA WEKENI MIKAKATI MAALUMU YA KUPUNGUZA HALI DUNI YA LISHE" - MHE. KHERI JAMES

    May 09, 2025
  • KAMPENI YA CHANJO YA POLIO AWAMU YA PILI YATOLEWA MEI 01, 2025

    May 08, 2025
  • MBOMIPA Wakabidhi Gari kwa Jumuiya ya Hifadhi ya Wanyamapori

    May 08, 2025
  • IRINGA DC YAKABIDHI MWENGE WA UHURU KILOLO DC

    April 29, 2025
  • Tazama zote

Video

Makala kuhusu miundombinu ya elimu
video

Viungo vya haraka

  • FOMU YA USAJILI WA VIKUNDI
  • INGIA KWENYE MFUMO WA VIKUNDI VYA HUDUMA NDOGO ZA FEDHA
  • Salary slip

Viungo vinavyohusiana

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Rais-Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ofisi ya Rais -Utumishi na Utawala Bora
  • Sekretariati ya ajira
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti kuu ya takwimu huria
  • Tovuti Rasmi ya Rais

Idadi ya watembeleaji duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

https://bachelorthesiswritingservice.com

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kijiji cha Ihemi

    Anuani ya posta: Po.Box108 Iringa

    Simu ya mezani: 026-2702828/2702585

    Simu ya mkononi: 0757 364 994

    Barua pepe: ded@iringadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Haki miliki @ Halmashauri ya Wilaya ya Iringa. Haki zote zimehifadhiwa