• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe Za Watumishi |
Iringa District Council
Iringa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu sekondari
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Mazingira na Usafishaji
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA NA Uhusiano
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Mipango,Utawala na Uchumi
      • UKIMWI
      • Afya Elimu na Maji
      • UMazingira, uchumi na Ujenzi
      • Maadili
    • Ratiba Ya Vikao mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa kutekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Hudumakwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video za Shughuli Mbalimbali za kiofisi na za Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

MWONGOZO WA UUNDAJI WA KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI WATOLEWA

Imewekwa : August 5th, 2025


Wizara ya Afya kupitia Ofisi ya Mkoa wa Iringa kwa kushirikiana na Taasisi ga USAID Afya Yangu,  imetoa mwongozo wa Uundaji wa Kamati za Kudhibiti UKIMWI.

Tukio hilo limefanyika Agosti 05, 2025 katika Ukumbi wa Halmashauri uliopo Ihemi.

Akifungua kikao hicho Mkurugenzi Mtendaji wa Hlamashauri ya Wilaya ya Iringa Ndugu Robert Masunya amesema, "mwongozo huu unakubalika hivyo ufanyiwe kazi kwa kadri inavyotakiwa, ili Wanakamati waweze kutekeleza majukumu yao kwa namna inavyotakiwa".

Akitoa na kuelezea Uundwaji wa Kamati Afisa Maendeleo Bi. Keshia Witete, ambaye amemuwakilisha Afisa Maendeleo ya Jamii Mkoa amesisitiza na kusema "Pamoja na mambo mengine Kamati zinatakiwa kuweka agenda za kudumu katika vikao vyao, ili kuendelea kutoa elimu na hamasa.  


Naye Mwakilishi wa USAID Afya Yangu Ndugu Francis Makulla Mshauri Mabadiliko ya Tabia Katika Jamii amewashukuru Wajumbe kwa kuhudhuria kikao na kujifunza namna Kamati zinavyotakiwa kuwa.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI JIMBO LA KALENGA & ISMAN October 12, 2025
  • Happy Nyerere day October 14, 2025
  • KUITWA KWENYE USAHILI WA UBORESHAJI WA DAFTARI JIMBO LA KALENGA NA ISMANI December 06, 2024
  • FURSA YA UWEKEZAJI KWA MFUMO WA UBIA (PPP) January 03, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Mafanikio ya Uhifadhi Yaguse Maisha ya Wananchi

    December 19, 2025
  • Kituo cha Mahuninga Kuzinduliwa Januari

    December 18, 2025
  • ELIMU YA LISHE KWA VITENDO ITOLEWE MASHULENI KUJENGA UELEWA - NDG. MASUNYA

    November 27, 2025
  • IRINGA DC YASAINI MKATABA WA BVC NA VIJIJI VYA BOMALANG'OMBE NA LYAMKO

    November 25, 2025
  • Tazama zote

Video

Makala kuhusu miundombinu ya elimu
video

Viungo vya haraka

  • FOMU YA USAJILI WA VIKUNDI
  • INGIA KWENYE MFUMO WA VIKUNDI VYA HUDUMA NDOGO ZA FEDHA
  • Salary slip

Viungo vinavyohusiana

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Rais-Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ofisi ya Rais -Utumishi na Utawala Bora
  • Sekretariati ya ajira
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti kuu ya takwimu huria
  • Tovuti Rasmi ya Rais

Idadi ya watembeleaji duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

https://bachelorthesiswritingservice.com

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kijiji cha Ihemi

    Anuani ya posta: Po.Box108 Iringa

    Simu ya mezani: 026-2702828/2702585

    Simu ya mkononi: 0757 364 994

    Barua pepe: ded@iringadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Haki miliki @ Halmashauri ya Wilaya ya Iringa. Haki zote zimehifadhiwa

  • HUSKYSLOT
  • ROBOSLOT
  • TAHUPLAY