• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe Za Watumishi |
Iringa District Council
Iringa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu sekondari
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Mazingira na Usafishaji
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA NA Uhusiano
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Mipango,Utawala na Uchumi
      • UKIMWI
      • Afya Elimu na Maji
      • UMazingira, uchumi na Ujenzi
      • Maadili
    • Ratiba Ya Vikao mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa kutekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Hudumakwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video za Shughuli Mbalimbali za kiofisi na za Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

NGO's ZAASWA KUFANYA KAZI KWA KUZINGATIA TAMADUNI ZA KITANZANIA

Imewekwa : June 2nd, 2023

NGO’s zaaswa Kufanya Kazi kwa Kuzingatia Tamaduni za Kitanzania

“Serikali inasisitiza kuwa, Mashirika yasiyo ya Kiserikali yajitegemee zaidi kuliko kutegemea msaada kutoka nje ya nchi. Hii itasaidia kujijenga kiuchumi na kuendelea kudumu katika utoaji wa huduma na kufikia malengo, kwani misaada mingi ina masharti ambayo yanakiuka mila na desturi za Kitanzania”.

Kauli hii imetolewa na Kaimu Mkuu wa Wilaya Ndugu John Kiteve, ambaye ni mwakilishi wa Baraza la Taifa kwa Mashirika Yasiyo ya Kiserikali – National Council of Non-Government Organizations (NACONGO), katika hotuba yake fupi kwenye kikao cha Jukwaa la Mashirika Yasiyo ya Kiserikali  kilichofanyika Juni 02, 2023, kilichoandaliwa na Idara ya Maendeleo ya Jamii Halmashauri ya Wilaya ya Iringa.

Aidha, Ndugu Kiteve ameendelea kusema kuwa, Serikali haitaruhu kupokea fedha kutoka kwenye Mashirika ambayo hayatazingatia tamaduni za Kitanzania, hivyo tuwe makini na misaada na fedha zao.

Ndugu Kiteve ameendelea kusema kuwa, “mikutano hii ni muhima sana kwani Serikali inatambua mchango wa Mashirika Binafsi na kuomba kuendelea kutoa ushirikiano ili kuimarisha dhana ya uwajibikaji na uwazi. Pia Mashirika yaelekezwe kujisajili kisheria pia kufanya kazi kwenye maeneo yenye uhitaji Zaidi huko vijijini”.

Katika kikao hicho pia Jukwaa limeweza kutoa taarifa ya Robo ya Kwanza ya Januari – Machi kwa kila shirika ambapo katika taarifa hizo zimeonesha utekelezaji wa shughuli zilizopangwa kufanyika kwa Robo hiyo.

Naye Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri Bi. Saumu Kweka amewashukuru Mashirika kwa muitikio wao katika kikao hicho, na kuwaomba kushiriki katika maandalizi ya sherehe za Siku ya Mtoto wa Afrika ambapo inategemewa kufanyika tarehe 15/06/2023 kwa Halmashauri, ambapo Sherehe hizo zitafanyika katika Kata ya Nzihi Kijiji cha Kidamali, na kwamba zimebebwa na Kauli Mbiu isemayo; “Zingatia Usalama wa Mtoto Katika Ulimwengu wa Kidigitali”.

Matangazo

  • Heri ya sikukuu ya Pasaka April 19, 2025
  • Uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura May 01, 2025
  • Kila la Heri Kidato cha Sita 2025 May 05, 2025
  • KUITWA KWENYE USAHILI WA UBORESHAJI WA DAFTARI JIMBO LA KALENGA NA ISMANI December 06, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • "KILA KATA WEKENI MIKAKATI MAALUMU YA KUPUNGUZA HALI DUNI YA LISHE" - MHE. KHERI JAMES

    May 09, 2025
  • KAMPENI YA CHANJO YA POLIO AWAMU YA PILI YATOLEWA MEI 01, 2025

    May 08, 2025
  • MBOMIPA Wakabidhi Gari kwa Jumuiya ya Hifadhi ya Wanyamapori

    May 08, 2025
  • IRINGA DC YAKABIDHI MWENGE WA UHURU KILOLO DC

    April 29, 2025
  • Tazama zote

Video

Makala kuhusu miundombinu ya elimu
video

Viungo vya haraka

  • FOMU YA USAJILI WA VIKUNDI
  • INGIA KWENYE MFUMO WA VIKUNDI VYA HUDUMA NDOGO ZA FEDHA
  • Salary slip

Viungo vinavyohusiana

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Rais-Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ofisi ya Rais -Utumishi na Utawala Bora
  • Sekretariati ya ajira
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti kuu ya takwimu huria
  • Tovuti Rasmi ya Rais

Idadi ya watembeleaji duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

https://bachelorthesiswritingservice.com

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kijiji cha Ihemi

    Anuani ya posta: Po.Box108 Iringa

    Simu ya mezani: 026-2702828/2702585

    Simu ya mkononi: 0757 364 994

    Barua pepe: ded@iringadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Haki miliki @ Halmashauri ya Wilaya ya Iringa. Haki zote zimehifadhiwa