• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe Za Watumishi |
Iringa District Council
Iringa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu sekondari
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Mazingira na Usafishaji
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA NA Uhusiano
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Mipango,Utawala na Uchumi
      • UKIMWI
      • Afya Elimu na Maji
      • UMazingira, uchumi na Ujenzi
      • Maadili
    • Ratiba Ya Vikao mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa kutekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Hudumakwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video za Shughuli Mbalimbali za kiofisi na za Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

OFISI ZA IRINGA DC KUHAMIA IHEMI MWISHONI MWA MWEZI JULAI 2023

Imewekwa : July 16th, 2023

OFISI ZA IRINGA DC KUHAMIA IHEMI MWISHONI MWA MWEZI JULAI 2023

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa Wakili Bashir Muhoja tarehe 14.07.2023 amefanya kikao na watumishi wote wa makao makuu ya Halmashauri ikiwa ni maandalizi ya kuhamia katika ofisi mpya zilizopo katika kijiji cha Ihemi.

Akizungumza wakati wa kikao, Wakili Muhoja amesema kuwa Mkuu wa Mkoa alitoa agizo la kuhamia kwenye Jengo la Halmashauri la Ihemi ifikapo tarehe 30 Julai, 2023 hivyo agizo hilo lazima litekelezwe na sasa ni rasmi kuwa kuanzia tarehe 31 July, 2023 huduma zote za kiofisi zitaanza kutolewa kwenye Ofisi Mpya zilizopo kwenye Jego la Halmashauri lililopo Ihemi.

Amesema pamoja na changamoto zilizopo kule ikiwa ni pamoja na changamoto ya makazi kwa watumishi lakini Serikali imewekeza fedha nyingi kwenye ule ujenzi na kwa asilimia kubwa kazi imekamilika hivyo watumishi wajiandae kwenda.

Sambamba na agizo hilo la kuhamia Ihemi vilevile Serikali itazingatia maslahi ya watumishi wote watakaohamia kama ambavyo yapo kwa muujibu wa sheria na kwamba taratibu za kiutumishi zifuatwe ili kila mmoja apate haki yake.

Kwa upande wao baadhi ya watumishi walitaka kujua kuhusu utatuzi wa changamoto zinazoweza kujitokeza kule ikiwa ni pamoja na upungufu wa vyumba vya ofisi, upungufu wa makazi kwa watumishi, na suala la maji, mambo ambayo pia yameweza kutolewa ufafanuzi.

Wakili Muhoja amewatoa hofu watumishi kwa kueleza kuwa changamoto zote zimechukuliwa kwa uangalifu mkubwa ikiwemo suala la maji na upungufu wa vyumba vya ofisi, aidha kwa upande wa makazi kwa watumishi ameshauri watumishi wapangishe nyumba /vyumba kwenye maeneo ya jirani mfano Ifunda na Tanangozi wakati jitihada mbalimbali zikifanyika ili kupata makazi kwa watumishi.

Matangazo

  • Heri ya sikukuu ya Pasaka April 19, 2025
  • Uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura May 01, 2025
  • Kila la Heri Kidato cha Sita 2025 May 05, 2025
  • KUITWA KWENYE USAHILI WA UBORESHAJI WA DAFTARI JIMBO LA KALENGA NA ISMANI December 06, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • KAMPUNI YA CC AIRWELL KUWEKEZA UVUNAJI WA MAJI ANGANI NA HEWA UKAA IRINGA DC

    May 29, 2025
  • BURIANI MHE. FELIX WAYA

    May 26, 2025
  • MCHENGERWA: MAAFISA HABARI HAKIKISHENI WANANCHI WANAPATA HABARI SAHIHI

    May 24, 2025
  • KIJIJI KWA KIJIJI YATUA KATA YA KIWELE, ULANDA NA NZIHI

    May 22, 2025
  • Tazama zote

Video

Makala kuhusu miundombinu ya elimu
video

Viungo vya haraka

  • FOMU YA USAJILI WA VIKUNDI
  • INGIA KWENYE MFUMO WA VIKUNDI VYA HUDUMA NDOGO ZA FEDHA
  • Salary slip

Viungo vinavyohusiana

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Rais-Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ofisi ya Rais -Utumishi na Utawala Bora
  • Sekretariati ya ajira
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti kuu ya takwimu huria
  • Tovuti Rasmi ya Rais

Idadi ya watembeleaji duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

https://bachelorthesiswritingservice.com

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kijiji cha Ihemi

    Anuani ya posta: Po.Box108 Iringa

    Simu ya mezani: 026-2702828/2702585

    Simu ya mkononi: 0757 364 994

    Barua pepe: ded@iringadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Haki miliki @ Halmashauri ya Wilaya ya Iringa. Haki zote zimehifadhiwa