• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe Za Watumishi |
Iringa District Council
Iringa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu sekondari
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Mazingira na Usafishaji
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA NA Uhusiano
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Mipango,Utawala na Uchumi
      • UKIMWI
      • Afya Elimu na Maji
      • UMazingira, uchumi na Ujenzi
      • Maadili
    • Ratiba Ya Vikao mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa kutekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Hudumakwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video za Shughuli Mbalimbali za kiofisi na za Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

RC Dendego Ahimiza Uharakishwaji wa Ujenzi wa Miradi ya BOOST

Imewekwa : June 15th, 2023

RC Dendego Ahimiza Uharakishwaji wa Ujenzi wa Miradi ya BOOST

Mkuu wa Mkoa wa Iringa Mheshimiwa Halima Dendego amefanya ziara katika Halmashauri ya Wilaya ya Iringa ya kukagua miradi mbalimbali Juni 14, 2023 kwa lengo la kujionea maendeleo ya miradi hiyo.

Mheshimiwa Dendego aliendelea na ziara katika Kata ya Ifunda Kijiji cha Ifunda, na kukagua mradi wa ujenzi wa shule mpya ya Msingi ya Kibaoni ambapo ipo katika hatua ya msingi. Mradi huo unatekelezwa na Program ya BOOST, na inakadadiriwa kutumia kiasi cha Shilingi Milioni 300 hadi kukamilika kwake.

Mheshimiwa Dendego ametoa maagizo katika mradi huo na kusema kuwa, “mradi umechelewa kuanza na kufanya siku zilizopangwa kukamilika kwa mradi ziwe chache. Hivyo kuanzia sasa nataka watendaji wote wawe eneo la ujenzi usiku na mchana ili mradi ukamilike kwa wakati kama ilivyopangwa”.

Kadhalika Mheshimiwa Dendego ametembelea mradi wa bwawa la Samaki lililopo katika Kijiji cha Makota Kata ya Masaka na kuweza kupanda vifaranga vya Samaki 9000 katika bwawa hilo,  akiwa na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Komredi Daudi Yassin Mlowe ikiwa ni agizo la Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi Taifa Mheshimiwa Daniel Chongolo, la kuongeza idadi ya vifaranga vya Samaki kwenye bwawa hilo, alipotembelea mwishoni mwa mwezi Mei 2023 na akapanda vifaranga vya Samaki 3000 na kufanya jumla ya vifaranga vilivyopandwa kuwa 12,000.

Aidha Mheshimiwa Dendego amekagua mradi wa utengenezaji wa barabara na kivuko kinachounganisha Kijiji cha Ifunda na Ulole, ambapo mradi huo unatekelezwa na Mpango wa Kunusuru Kaya Masikini – TASAF kupitia walengwa wanaonufaika na mpango huo. Barabara hiyo yenye urefu wa Mita 200 na kivuko itapunguza kero kwa watumiaji wa Kijiji cha Ifunda na Ulole.

Naye Mwenyekiti wa Halmashauri Mheshimiwa Stephen Mhapa, amemuhakikishia Mheshimiwa Dendego kuwa, atasimamia na kufuatilia kila hatua katika utekelezaji wa miradi hiyo, ili iweze kukamilika kwa wakati.                

Matangazo

  • PONGEZI June 24, 2025
  • KUITWA KWENYE USAHILI WA UBORESHAJI WA DAFTARI JIMBO LA KALENGA NA ISMANI December 06, 2024
  • FURSA YA UWEKEZAJI KWA MFUMO WA UBIA (PPP) January 03, 2025
  • TANGAZO LA KAZI January 24, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MANENO MAZITO YA MHE. MHAPA WAKATI WA KUVUNJA BARAZA

    June 19, 2025
  • KAMATI YA FEDHA, UTAWALA NA MIPANGO YAFANYA ZIARA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO KWA ROBO YA NNE

    June 19, 2025
  • MKUTANO WA BARAZA LA MADIWANI KWA ROBO YA NNE 2024/2025 WAFANYIKA

    June 18, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA IRINGA YAPONGEZWA KWA KUPATA HATI SAFI

    June 17, 2025
  • Tazama zote

Video

Makala kuhusu miundombinu ya elimu
video

Viungo vya haraka

  • FOMU YA USAJILI WA VIKUNDI
  • INGIA KWENYE MFUMO WA VIKUNDI VYA HUDUMA NDOGO ZA FEDHA
  • Salary slip

Viungo vinavyohusiana

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Rais-Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ofisi ya Rais -Utumishi na Utawala Bora
  • Sekretariati ya ajira
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti kuu ya takwimu huria
  • Tovuti Rasmi ya Rais

Idadi ya watembeleaji duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

https://bachelorthesiswritingservice.com

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kijiji cha Ihemi

    Anuani ya posta: Po.Box108 Iringa

    Simu ya mezani: 026-2702828/2702585

    Simu ya mkononi: 0757 364 994

    Barua pepe: ded@iringadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Haki miliki @ Halmashauri ya Wilaya ya Iringa. Haki zote zimehifadhiwa