• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe Za Watumishi |
Iringa District Council
Iringa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu sekondari
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Mazingira na Usafishaji
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA NA Uhusiano
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Mipango,Utawala na Uchumi
      • UKIMWI
      • Afya Elimu na Maji
      • UMazingira, uchumi na Ujenzi
      • Maadili
    • Ratiba Ya Vikao mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa kutekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Hudumakwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video za Shughuli Mbalimbali za kiofisi na za Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

RC Dendego Awaagiza Meneja wa TANROADS na TARURA Kuongeza Usimamizi na Ufuatiliaji kwa Wakandarasi

Imewekwa : January 10th, 2023

RC Dendego Awaagiza Meneja wa TANROADS na TARURA Kuongeza Usimamizi na Ufuatiliaji kwa Wakandarasi

Mkuu wa Mkoa wa Iringa Mhe. Halima Dendego amewataka Meneja wa TANROADS na TARURA kuongeza usimamizi kwa wakandarasi wanaopewa kazi za matengenezo au ukarabati wa barabara.

Amesema wakati mwingine wakandarasi wanapewa kazi lakini hawana uwezo wa kutosha na kusababisha kero kwa wananchi na hasara kwa Serikali, kutokana na kutokukamilika kwa wakati au kujengwa chini ya kiwango kwa mujibu wa mikataba.

Ameyasema hayo mapema leo January 10, 2022 alipokuwa katika kikao cha Bodi ya barabara Mkoa wa Iringa kilichofanyika katika Ukumbi wa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa (Siasa ni Kilimo).

Aidha amewaagiza Wakuu wa Wilaya za Mkoa wa Iringa kufanya ukaguzi wa mara kwa mara katika miradi yote ya barabara na kutoa taarifa katika mamlaka zinazohusika wanapobaini kuwepo kwa dosari au kukiukwa kwa taratibu wakati wa matengenezo au ukarabati wa barabara.

"Ninamuagiza, Katibu Tawala Mkoa kuhakikisha kuwa sehemu ya miundombinu katika Sekretarieti ya Mkoa kutimiza wajibu wake kikamilifu wa kusimamia matengenezo na ukarabati unaofanywa na TARURA kwa sababu OR-TAMISEMI inatoa fedha za ufuatiliaji kwa kila robo mwaka". Ameagiza.

Kadhalika RC Dendego ametoa wito kwa wananchi kuacha kuvamia maeneo ya hifadhi ya barabara, kuswaga mifugo barabarani, kutupa taka kwenye mifereji ya barabara, na kuharibu alama za barabarani.

"Katika kipindi hiki cha mvua upo uharibifu mkubwa wa barabara unaofanyika kutokana na kuziba kwa nifereji inayopitisha maji kunakosababishwa na shughuli za kibinadamu, hali hii haipaswi kuendelea hatua zichukuliwe kwa wote wanaofanya uhujumu au uharibifu katika barabara".

Katika kikao hicho taarifa mbalimbali zimewasilishwa kutoka TANROADS na TARURA kuhusu utekelezaji wa matengenezo na ukarabati wa barabara kwa Mwaka wa Fesha 2020/2021 na 2021/2022 hadi Desemba 2022.

Matangazo

  • KARIBU IRINGA MHE. SITTA June 30, 2025
  • KUITWA KWENYE USAHILI WA UBORESHAJI WA DAFTARI JIMBO LA KALENGA NA ISMANI December 06, 2024
  • FURSA YA UWEKEZAJI KWA MFUMO WA UBIA (PPP) January 03, 2025
  • TANGAZO LA KAZI January 24, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • DC IRINGA MHE. BENJAMIN SITTA APOKELEWA NA KUKABIDHIWA OFISI

    June 30, 2025
  • MAFUNZO YA MFUMO WA ESS YATOLEWA KWA WATUMISHI IRINGA DC

    June 25, 2025
  • MANENO MAZITO YA MHE. MHAPA WAKATI WA KUVUNJA BARAZA

    June 19, 2025
  • KAMATI YA FEDHA, UTAWALA NA MIPANGO YAFANYA ZIARA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO KWA ROBO YA NNE

    June 19, 2025
  • Tazama zote

Video

Makala kuhusu miundombinu ya elimu
video

Viungo vya haraka

  • FOMU YA USAJILI WA VIKUNDI
  • INGIA KWENYE MFUMO WA VIKUNDI VYA HUDUMA NDOGO ZA FEDHA
  • Salary slip

Viungo vinavyohusiana

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Rais-Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ofisi ya Rais -Utumishi na Utawala Bora
  • Sekretariati ya ajira
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti kuu ya takwimu huria
  • Tovuti Rasmi ya Rais

Idadi ya watembeleaji duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

https://bachelorthesiswritingservice.com

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kijiji cha Ihemi

    Anuani ya posta: Po.Box108 Iringa

    Simu ya mezani: 026-2702828/2702585

    Simu ya mkononi: 0757 364 994

    Barua pepe: ded@iringadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Haki miliki @ Halmashauri ya Wilaya ya Iringa. Haki zote zimehifadhiwa