• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe Za Watumishi |
Iringa District Council
Iringa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu sekondari
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Mazingira na Usafishaji
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA NA Uhusiano
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Mipango,Utawala na Uchumi
      • UKIMWI
      • Afya Elimu na Maji
      • UMazingira, uchumi na Ujenzi
      • Maadili
    • Ratiba Ya Vikao mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa kutekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Hudumakwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video za Shughuli Mbalimbali za kiofisi na za Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

RC IRINGA APONGEZA UTEKELEZAJI WA MIRADI IRINGA DC

Imewekwa : October 25th, 2023

RC IRINGA APONGEZA UTEKELEZAJI WA MIRADI IRINGA DC

Mkuu wa Mkoa wa Iringa Mhe. Halima Dendego amefanya ziara ya kutembelea na kukagua utekelezaji wa Miradi ya maendeleo katika Halmashauri ya Wilaya ya Iringa tarehe 25.10.2023 na kutoa pongezi kwa usimamizi mzuri wa miradi hiyo.

Miradi iliyotembelewa na kukaguliwa ni

  • Zahanati ya kijiji cha Mwambao ambapo serikali imetoa kiasi cha shilingi milioni hamsini ili kuwaunga mkono wananchi na wadau wengine wa maendeleo katika kuhakikisha kuwa huduma za afya zinatolewa kijijini hapo. Jingo la zahanati pamoja na miundombinu yake mingine imeshakamilika bado vifaa tiba ambapo pia utaratibu wa upatikanaji wake umeshafanyika.
  • Ujenzi wa shule ya sekondari ya kata ya Ulanda(Weru) ambapo kazi ipo kwenye hatua za mwishoni. Kiasi cha shilingi milioni miatano zilipokelewa na serikali ili kutekeleza shughuli ya ujenzi wa shule hii mpya.
  • Ujenzi wa mabweni 2, madarasa 3, na matundu 6 ya vyoo kwa fedha kutoka serikalini na wadau wa maendeleo (Barrick) kaziimeshakamilika.

Mkuu wa Mkoa amemshukuru Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa namna fedha za miradi zinavyomiminika na kutoa wito kwa wananchi kumuunga mkono.

Akizungumza wakati wa kukagua ujenzi wa shule ya sekondari ya kata ya Ulanda(Weru) Mhe. Dendego amesema, “Kwa fedha zote hizi zinazomiminika kwenye miradi, tumpe zawadi Rais wetu Mama Samia Suluhu Hassan kwa Kumuunga mkono”.

Pia Mhe Dendego ametoa pongezi kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa Wakili Bashir Muhoja kwa utendaji na usimamizi makini wa miradi sanjari na makundi mengine yaliyochangia kufanikisha kazi.

Kwa upande wa uwezeshwaji  kiuchumi kwa akinamama na vijana, Mhe. Dendego ametoa agizo kuwa 60% ya mikopo yote ielekezwe vijijini na asilimia  40% itabaki kwenye miji midogo na miji mikubwa na kwamba vijijini wanahitaji tu elimu na uwezeshwaji ili mambo yao yaende.

Naye Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa Wakili Bashir Muhoja amesema shule ya sekondari ya kata ya Ulanda(Weru) tayari imeshapata usajili na mipango iliyopo ni kupokea wanafunzi wa kidato cha kwanza na cha pili ili kuwapunguzia wanafunzi adha ya kutembea umbali mrefu hadi Kalenga.

Matangazo

  • Heri ya sikukuu ya Pasaka April 19, 2025
  • Uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura May 01, 2025
  • Kila la Heri Kidato cha Sita 2025 May 05, 2025
  • KUITWA KWENYE USAHILI WA UBORESHAJI WA DAFTARI JIMBO LA KALENGA NA ISMANI December 06, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • KAMPUNI YA CC AIRWELL KUWEKEZA UVUNAJI WA MAJI ANGANI NA HEWA UKAA IRINGA DC

    May 29, 2025
  • BURIANI MHE. FELIX WAYA

    May 26, 2025
  • MCHENGERWA: MAAFISA HABARI HAKIKISHENI WANANCHI WANAPATA HABARI SAHIHI

    May 24, 2025
  • KIJIJI KWA KIJIJI YATUA KATA YA KIWELE, ULANDA NA NZIHI

    May 22, 2025
  • Tazama zote

Video

Makala kuhusu miundombinu ya elimu
video

Viungo vya haraka

  • FOMU YA USAJILI WA VIKUNDI
  • INGIA KWENYE MFUMO WA VIKUNDI VYA HUDUMA NDOGO ZA FEDHA
  • Salary slip

Viungo vinavyohusiana

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Rais-Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ofisi ya Rais -Utumishi na Utawala Bora
  • Sekretariati ya ajira
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti kuu ya takwimu huria
  • Tovuti Rasmi ya Rais

Idadi ya watembeleaji duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

https://bachelorthesiswritingservice.com

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kijiji cha Ihemi

    Anuani ya posta: Po.Box108 Iringa

    Simu ya mezani: 026-2702828/2702585

    Simu ya mkononi: 0757 364 994

    Barua pepe: ded@iringadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Haki miliki @ Halmashauri ya Wilaya ya Iringa. Haki zote zimehifadhiwa