• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe Za Watumishi |
Iringa District Council
Iringa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu sekondari
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Mazingira na Usafishaji
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA NA Uhusiano
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Mipango,Utawala na Uchumi
      • UKIMWI
      • Afya Elimu na Maji
      • UMazingira, uchumi na Ujenzi
      • Maadili
    • Ratiba Ya Vikao mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa kutekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Hudumakwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video za Shughuli Mbalimbali za kiofisi na za Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

RC IRINGA: TUWAANDAE WANANCHI KUNUFAIKA NA MIRADI MIKUBWA YA KIMKAKATI

Imewekwa : July 18th, 2025


Mkuu wa Mkoa wa Iringa Mhe. Kheri James ametoa wito kwa viongozi wa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa kuwaandaa wananchi ili waweze kunufaika na miradi mikubwa ya kimkakati ambayo inatekelezwa kwenye eneo lao.

Mhe. Kheri James amezungumza hayo alipokuwa kwenye ziara ya kuongea na watumishi wa makao makuu katika Halmashauri ya Wilaya ya Iringa yaliyopo Ihemi mapema Julai 18, 2025.

Miradi mikubwa ya kimkakati inayotekelezwa katika Halmashauri ya Wilaya ya Iringa ni Pamoja na upelekaji wa umeme vijijini ambapo kwa Wilaya ya Iringa vijiji vyote tayari vimeshafikiwa na umeme nah atua iliyopo ni ujazilizi kwenye vitongoji, ujenzi wa Barabara ya Iringa – Msembe (Ruaha National Park), skimu ya umwagiliaji Tarafa ya Pawaga wa zaidi ya Bilioni 54, na miradi mingine ya utoaji huduma kama elimu na afya.

“Ukiachilia mbali miradi ya utoaji huduma, hii miradi mikubwa miwili inatafsiri dhamira ya kweli ya ni namna gani Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania amedhamiria kuona maisha ya watu wa Iringa yanabadilika, Uchumi wa watu wa Iringa unabadilika, watu wanabadilika na ustawi wao unakua kutokana na uwekezaji mkubwa unaokwenda kufanyika”


Aidha Mhe. Kheri amewakumbusha watumishi kuhakikisha kuwa fedha zinazolewa kwa ajili ya miradi zinatumika vizuri na kuhakikisha matokeo yaliyokusudiwa yanaonekana katika utekelezaji wa miradi husika.

Kwa upande wa ukusanyaji wa mapato, Mkuu wa Mkoa amewataka watumishi wa Iringa DC kuwa wabunifu kubuni vyanzo vya mapato na kuongeza juhudi katika ukusanyaji ikiwa ni Pamoja na kuona uwezekano wa kuwa na stendi zinazofanya kazi kuongeza mapato na kuangiza kufanyika kwa kikao na wadau ili stendi ya Migoli ianze kufanya kazi.

Kwa upande wao watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa wamemshukuru na kumpongeza Mhe. Kheri James kwa kuaminiwa na kuteuliwa na Mhe. Rais kuwa Mkuu wa Mkoa wa Iringa na kuahidi kutekeleza kwa vitendo ushauri na maelekezo yaliyotolewa.

#Iringa Imara Tutaijenga kwa Umoja na Uwajibikaji.

Matangazo

  • ZIARA YA RC IRINGA DC July 16, 2025
  • KUITWA KWENYE USAHILI WA UBORESHAJI WA DAFTARI JIMBO LA KALENGA NA ISMANI December 06, 2024
  • FURSA YA UWEKEZAJI KWA MFUMO WA UBIA (PPP) January 03, 2025
  • TANGAZO LA KAZI January 24, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • RC IRINGA: TUWAANDAE WANANCHI KUNUFAIKA NA MIRADI MIKUBWA YA KIMKAKATI

    July 18, 2025
  • KATIBU TAWALA WILAYA YA IRINGA APONGEZA UFAULU KIDATO CHA SITA

    July 09, 2025
  • DC IRINGA MHE. BENJAMIN SITTA APOKELEWA NA KUKABIDHIWA OFISI

    June 30, 2025
  • MAFUNZO YA MFUMO WA ESS YATOLEWA KWA WATUMISHI IRINGA DC

    June 25, 2025
  • Tazama zote

Video

Makala kuhusu miundombinu ya elimu
video

Viungo vya haraka

  • FOMU YA USAJILI WA VIKUNDI
  • INGIA KWENYE MFUMO WA VIKUNDI VYA HUDUMA NDOGO ZA FEDHA
  • Salary slip

Viungo vinavyohusiana

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Rais-Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ofisi ya Rais -Utumishi na Utawala Bora
  • Sekretariati ya ajira
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti kuu ya takwimu huria
  • Tovuti Rasmi ya Rais

Idadi ya watembeleaji duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

https://bachelorthesiswritingservice.com

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kijiji cha Ihemi

    Anuani ya posta: Po.Box108 Iringa

    Simu ya mezani: 026-2702828/2702585

    Simu ya mkononi: 0757 364 994

    Barua pepe: ded@iringadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Haki miliki @ Halmashauri ya Wilaya ya Iringa. Haki zote zimehifadhiwa