• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe Za Watumishi |
Iringa District Council
Iringa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu sekondari
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Mazingira na Usafishaji
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA NA Uhusiano
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Mipango,Utawala na Uchumi
      • UKIMWI
      • Afya Elimu na Maji
      • UMazingira, uchumi na Ujenzi
      • Maadili
    • Ratiba Ya Vikao mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa kutekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Hudumakwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video za Shughuli Mbalimbali za kiofisi na za Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Timu ya Mbugani Yaibuka Kidedea MBOMIPA CUP 2022

Imewekwa : November 11th, 2022

Timu ya Mbugani Yaibuka Kidedea MBOMIPA CUP 2022

Timu ya mpira wa miguu kutoka kijiji cha Mbugani Kata ya Mboliboli wameibuka kidedea na ushindi wa goli moja kwa sifuri dhidi ya mahasimu wao Timu ya Mpira wa Miguu kutoka Kijiji cha Idodi Kata ya Idodi.

Goli hilo lililowapatia ushindi limefungwa kipindi cha pili cha mchezo huo ikiwa ni dakika ya 70 na Mchezaji anulikanaye kwa jina la huku ubao wa matangazo ukitamatika kusomeka kwa Timu ya Mbugani 1 huku timu ya Idodi 0

Mashindano hayo yalianza kurindima tarehe 30/10/2022 na kutamatishwa terehe12/11/2022 katika Kiwanja cha Michezo Mlowa, huku  yakihusisha jumla ya vijiji 28 kutoka Tarafa ya Idodi na Tarafa ya Pawaga, na yakiwa yameandaliwa na Shirika la Uhifadhi Tembo Kusini Mwa Tanzania (Southern Tanzania Elephant - STEP)  kwa kushirikiana na Shirika la Uhifadhi Wanyama Walao Nyama (Lion Landscape).

Mkuu wa Wilaya ya Iringa Mhe. Mohammed Moyo ameshiriki kama  Mgeni Rasmi katika Fainali za Bonanza la Mpira wa miguu kwa Jumuiya za Uhifadhi (Mbomipa) na kushuhudia mtanange huo na kisha kushiriki katika zoezi zima la utoaji wa zawadi kwa washindi.

Mshindi wa kwanza wa Mashindano hayo (Timu ya Mbugani) amezawadiwa kombe la ngao, Mpira wa miguu wenye thamani ya Tsh Elfu Arobaini (40,000/=) pamoja na Kitita cha fedha taslimu Tshs. Laki Tano, Mshindi wa Pili ametoka Tarafa ya Idodi Kata ya Idodi (Timu ya Idodi)  na kuzawadiwa mpira wa miguu wenye thamani ya Tshs Elfu Arobaini pamoja na kitita cha fedha taslimu Laki tatu. huku Mshindi wa Tatu akitoka tarafa ya Pawaga Kijiji cha Mbuyuni na kuzawadia Mpira wenye thamani ya Tshs. Elfu Arobaini.

Kauli mbiu ya mashindano haya yalikua ni UHIFADHI WA MBOMIPA KWA MANUFAA YA VIZAZI VYA SASA NA BAADAE.

Matangazo

  • Heri ya sikukuu ya Pasaka April 19, 2025
  • Uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura May 01, 2025
  • Kila la Heri Kidato cha Sita 2025 May 05, 2025
  • KUITWA KWENYE USAHILI WA UBORESHAJI WA DAFTARI JIMBO LA KALENGA NA ISMANI December 06, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • KAMPUNI YA CC AIRWELL KUWEKEZA UVUNAJI WA MAJI ANGANI NA HEWA UKAA IRINGA DC

    May 29, 2025
  • BURIANI MHE. FELIX WAYA

    May 26, 2025
  • MCHENGERWA: MAAFISA HABARI HAKIKISHENI WANANCHI WANAPATA HABARI SAHIHI

    May 24, 2025
  • KIJIJI KWA KIJIJI YATUA KATA YA KIWELE, ULANDA NA NZIHI

    May 22, 2025
  • Tazama zote

Video

Makala kuhusu miundombinu ya elimu
video

Viungo vya haraka

  • FOMU YA USAJILI WA VIKUNDI
  • INGIA KWENYE MFUMO WA VIKUNDI VYA HUDUMA NDOGO ZA FEDHA
  • Salary slip

Viungo vinavyohusiana

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Rais-Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ofisi ya Rais -Utumishi na Utawala Bora
  • Sekretariati ya ajira
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti kuu ya takwimu huria
  • Tovuti Rasmi ya Rais

Idadi ya watembeleaji duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

https://bachelorthesiswritingservice.com

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kijiji cha Ihemi

    Anuani ya posta: Po.Box108 Iringa

    Simu ya mezani: 026-2702828/2702585

    Simu ya mkononi: 0757 364 994

    Barua pepe: ded@iringadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Haki miliki @ Halmashauri ya Wilaya ya Iringa. Haki zote zimehifadhiwa