• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe Za Watumishi |
Iringa District Council
Iringa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu sekondari
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Mazingira na Usafishaji
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA NA Uhusiano
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Mipango,Utawala na Uchumi
      • UKIMWI
      • Afya Elimu na Maji
      • UMazingira, uchumi na Ujenzi
      • Maadili
    • Ratiba Ya Vikao mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa kutekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Hudumakwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video za Shughuli Mbalimbali za kiofisi na za Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

"Utoaji Chakula Chenye Virutubisho Shuleni ni Lazima" - DC Kessy

Imewekwa : June 6th, 2023

“Utoaji Chakula Chenye Virutubisho Shuleni ni la Lazima” – DC Kessy

“Suala la utoaji wa chakula ni lazima na kwamba Watendaji wameomba suala hili liwekwe kwenye Sheria Ndogo za Halmashauri. Wazazi waunde Kamati za ukusanyaji chakula ili kuondoa mkanganyiko wa wazazi/walezi wa kutowaamini Walimu. Chukula kitakachotolewa lazima kiwe na virutubisho ilil kuondoa udumuvu kwa Watoto”. Hii itasaidia watoto kupata muda mzuri kuwa katika masomo yao”.

Kauli hii imetolewa na Mkuu wa Wilaya ya Iringa Mheshimiwa Veronica Kessy alipokuwa akitoa hotuba fupi kwenye kikao cha Mkataba wa Afua za Lishe kwa Robo ya Tatu kwa mwaka wa Fedha 2022/2023.

Mheshimiwa Kessy amesisitiza kuwa, “nawaomba Waheshimiwa Madiwani tusaidiane kuhimiza wazazi/walezi kuwa ni muhimu chakula kitolewe kwa wingi shuleni. Pia Watendaji wa Kata waangalie usalama na uhifadhi wa chakula kwani ni muhimu sana kwa usalama wa watoto, hivyo wana wajibu wa kusimamia upelekaji wa chakula shuleni.

Aidha Mheshimiwa Kessy ameendelea kusema umuhimu wa lishe na kwamba shule zianzishe bustani za mbogamboga ambazo zitakuwa na tija katika lishe. Pia elimu itolewe juu ya kutunza bustani hizo kwa faida yao wenyewe. Kupanda miti ya matunda kutumia mboga za majani zilizokaushwa katika utaratibu unaotakiwa.

Naye Mwenyekiti wa Halmashauri Mheshimiwa Stephen Mhapa amesema kuwa, “usafi wa mazingira na ujenzi wa vyoo bora ni muhimu sana kwa afya ya jamii yetu, na kwamba utekelezaji wa suala hili utasomwa katika vikao vya kila Robo ili kukumbushana na kuelimishana. Kuna baadhi ya Kata na vijiji bado hazina vyoo bora na kwamba wanajisaidia porini, jambo ambao ni aibu na linatuondolea heshima sana”

Mheshimiwa Mwenyekiti ametoa maaagizo kwa Maafisa Tarafa, Watendaji wa Kata na Vijiji na Maafisa Afya kuwa, katika vikao vyao iwe agenda mojawapo ya kuhamasishana, ili kila nyumba inakuwa na choo bora, na kwamba watakaokuwa wakaidi watatozwa faini.

Kwa upande wake Mkurugenzi Mtendaji Ndugu Bashir Muhoja amesema, baada ya shule kufunguliwa atahakikisha chakula kinatolewa kwa wingi na kinakuwa salama. Pia katika ujenzi wa vyoo bora kila Mtendaji asimame kwa nafasi yake ili kuhakikisha kila nyumba ina choo bora.

Naye Mratibu wa Lishe Bi. Avelina Selemani, ameomba kila shule iwe na shamba lake kwani itasaidia kuwa na chakula kingi bila kuwachangisha wazazi, na kuwafundisha watoto elimu ya kujitegemea.

Matangazo

  • Heri ya sikukuu ya Pasaka April 19, 2025
  • Uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura May 01, 2025
  • Kila la Heri Kidato cha Sita 2025 May 05, 2025
  • KUITWA KWENYE USAHILI WA UBORESHAJI WA DAFTARI JIMBO LA KALENGA NA ISMANI December 06, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • "KILA KATA WEKENI MIKAKATI MAALUMU YA KUPUNGUZA HALI DUNI YA LISHE" - MHE. KHERI JAMES

    May 09, 2025
  • KAMPENI YA CHANJO YA POLIO AWAMU YA PILI YATOLEWA MEI 01, 2025

    May 08, 2025
  • MBOMIPA Wakabidhi Gari kwa Jumuiya ya Hifadhi ya Wanyamapori

    May 08, 2025
  • IRINGA DC YAKABIDHI MWENGE WA UHURU KILOLO DC

    April 29, 2025
  • Tazama zote

Video

Makala kuhusu miundombinu ya elimu
video

Viungo vya haraka

  • FOMU YA USAJILI WA VIKUNDI
  • INGIA KWENYE MFUMO WA VIKUNDI VYA HUDUMA NDOGO ZA FEDHA
  • Salary slip

Viungo vinavyohusiana

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Rais-Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ofisi ya Rais -Utumishi na Utawala Bora
  • Sekretariati ya ajira
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti kuu ya takwimu huria
  • Tovuti Rasmi ya Rais

Idadi ya watembeleaji duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

https://bachelorthesiswritingservice.com

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kijiji cha Ihemi

    Anuani ya posta: Po.Box108 Iringa

    Simu ya mezani: 026-2702828/2702585

    Simu ya mkononi: 0757 364 994

    Barua pepe: ded@iringadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Haki miliki @ Halmashauri ya Wilaya ya Iringa. Haki zote zimehifadhiwa