• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe Za Watumishi |
Iringa District Council
Iringa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu sekondari
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Mazingira na Usafishaji
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA NA Uhusiano
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Mipango,Utawala na Uchumi
      • UKIMWI
      • Afya Elimu na Maji
      • UMazingira, uchumi na Ujenzi
      • Maadili
    • Ratiba Ya Vikao mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa kutekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Hudumakwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video za Shughuli Mbalimbali za kiofisi na za Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

UTOAJI WA CHAKULA SHULENI WATAKIWA KUFANYWA KWA 100%

Imewekwa : July 31st, 2023

Utoaji Chakula  Shuleni kwa asilimia 100 – DAS Michael

Kikao cha kujadili utekelezaji wa viashiria vya mkataba wa Lishe kimefanyika tarehe 21.7.2023.

Katika kikao hicho DAS amesisitiza utoaji wa chakula kwa shule zote kwa asilimia 100 na wanafunzi wote wapate chakula lengo ikiwa ni kuwawezesha wanafunzi kufanya vizuri katika masomo yao pia kupambana na athari za lishe duni ikiwemo udumavu.

Aidha amewaagiza waratibu elimu na watendaji wa kata kusimamia suala hili kwa nguvu na liwe endelevu. "Waratibu elimu na watendaji Kata simamieni utekelezaji wa programu ya utoaji chakula kwa shule zote na wanafunzi wote wa kutwa na bweni wapate chakula cha mchana. Na si chakula pekee bali chenye uwiano sahihi wa virutubishi, hivyo kwa kutumia club za lishe anzisheni mashamba darasa, bustani za mbogamboga na matunda katika shule. Shirikianeni na maafisa ugani wa kilimo kuhimiza shule kulima chakula chenye viini lishe kwa wingi.

Kwa upande wake Afisa Lishe ametoa tathmini ya upimaji wa hali ya lishe kwa wanafunzi iliyofanyika katika robo hii imebaini uwepo wa wanafunzi wengi wenye ukondefu na miongoni mwao ni wale wasiopata chakula cha mchana wawapo shuleni, akiwasisitizia watendaji kushiriki katika vikao vya kamati za shule, bodi za shule na vikao vya wazazi kutoa elimu ya umuhimu wa utoaji chakula kwa wanafunzi.

Ameeleza zaidi kuwa katika umri balehe miaka 10-19 kunahitajika kula chakula kiasi cha kutosha kulingana na mahitaji ya mwili. Hivyo chakula chenye mchanganyiko kutoka katika makundi mbalimbali ya chakula ni muhimu sana katika umri huo ili kuwawezesha kuwa na lishe bora na imara kimasomo.

Ameeleza pia uhifadhi bora wa chumvi ngazi ya kaya ili kulinda madini joto yaliyomo ambayo ni muhimu sana kwa makundi lengwa (kaya zenye watoto chini ya miaka mitano na wajawazito). Kupitia sampuli zilizopimwa shuleni kutoka kutoka katika kaya zinaonyesha uwepo wa madini joto na chache hazina na ufuatiliaji umefanyika, hivyo elimu ya uhifadhi wa chumvi katika chombo chenye mfuniko, pasipo joto na unyevu ni muhimu sana kuzuia upotevu ambao unaweza kupelekea  athari za kuvimba kwa tezi la shingo na uwezo mdogo wa ubongo kufanya kazi na pia wa darasani (ufaulu hafifu).

Kwa upande wa Watendaji wa kata za Migoli na Magulilwa wameomba mamlaka zinazosimamia sheria kuwachukulia hatua wazazi wanaokaidi kutekeleza uchangiaji wa programu ya utoaji chakula kwa wanafunzi.

Matangazo

  • Heri ya sikukuu ya Pasaka April 19, 2025
  • Uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura May 01, 2025
  • Kila la Heri Kidato cha Sita 2025 May 05, 2025
  • KUITWA KWENYE USAHILI WA UBORESHAJI WA DAFTARI JIMBO LA KALENGA NA ISMANI December 06, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • KAMPUNI YA CC AIRWELL KUWEKEZA UVUNAJI WA MAJI ANGANI NA HEWA UKAA IRINGA DC

    May 29, 2025
  • BURIANI MHE. FELIX WAYA

    May 26, 2025
  • MCHENGERWA: MAAFISA HABARI HAKIKISHENI WANANCHI WANAPATA HABARI SAHIHI

    May 24, 2025
  • KIJIJI KWA KIJIJI YATUA KATA YA KIWELE, ULANDA NA NZIHI

    May 22, 2025
  • Tazama zote

Video

Makala kuhusu miundombinu ya elimu
video

Viungo vya haraka

  • FOMU YA USAJILI WA VIKUNDI
  • INGIA KWENYE MFUMO WA VIKUNDI VYA HUDUMA NDOGO ZA FEDHA
  • Salary slip

Viungo vinavyohusiana

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Rais-Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ofisi ya Rais -Utumishi na Utawala Bora
  • Sekretariati ya ajira
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti kuu ya takwimu huria
  • Tovuti Rasmi ya Rais

Idadi ya watembeleaji duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

https://bachelorthesiswritingservice.com

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kijiji cha Ihemi

    Anuani ya posta: Po.Box108 Iringa

    Simu ya mezani: 026-2702828/2702585

    Simu ya mkononi: 0757 364 994

    Barua pepe: ded@iringadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Haki miliki @ Halmashauri ya Wilaya ya Iringa. Haki zote zimehifadhiwa