• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe Za Watumishi |
Iringa District Council
Iringa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu sekondari
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Mazingira na Usafishaji
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA NA Uhusiano
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Mipango,Utawala na Uchumi
      • UKIMWI
      • Afya Elimu na Maji
      • UMazingira, uchumi na Ujenzi
      • Maadili
    • Ratiba Ya Vikao mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa kutekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Hudumakwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video za Shughuli Mbalimbali za kiofisi na za Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Wafanyabiashara Halmashauri ya Wilaya ya Iringa, Wakutanishwa

Imewekwa : August 7th, 2024

Wafanyabiasha Halmashauri ya Wilaya ya Iringa Wakutanishwa

Mwenyekiti wa TCCIA awakutanisha Wafanyabiasha wa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa Agosti 06, 2024, kwa lengo la kuunda Baraza la Wilaya ambalo litawasaidia katika mambo mbalimbali.

Akizungumza katika kikao hicho Mwenyekiti wa TCCIA Ndugu Edmund Mkwawa amesema, “lengo la kukutana katika kikao hiki kwanza tufahamiane, pia kuunda Baraza ambalo litasaidia katika kutatua changamoto, kusaidiana kiuchumi na namna mbalimbali ya kutafuta masoko, pia kuisaidia Serikali”.

Aidha Mkwawa amesema, kuna faida nyingi katika umoja huo ambazo Mfanyabiashara atanufaika, kama namna bora kufungua kampuni, kujua vigezo na mipango vya namna ya kufanya biashara, kulinda sheria na kusaidiana kisheria.

Amesema, “kwa upande wa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa haijawahi kuwa na baraza la Wafanyabiashara na kupelekea watu kufanya mambo bila utaratibu au bila kujua nini kifanyike ili kutimiza malengo. Kwa kikao hiki tutachagua viongozi ambao watakuwa wanatuwasilisha katika mambo mbalimbali” amesema Mkwawa.

Naye Dr. Isdory Minani Mjumbe katika Baraza la Wafanyabiashara Mkoa na Mkuu wa Kitivo cha Biashara katika Chuo Kikuu cha Katoliki Ruaha amesema, “Lengo cha Chemba ni kuwaweka wafanyabiashara pamoja na kuwa sauti moja. Pia maoni ya wafanyabiashara yanachukuliwa na kutengeza Sera kwa kuisaidia Serikali”.

Ameongeza kusema kuwa, “tumezoea kufanya biashara kienyeji sana, sasa hivi mazingira, wateja na namna ya uendeshaji biashara yamebadilika, hivyo tujifunze teknolojia ya kisasa kufanya biashara, na nidhamu ya fedha lazima iwepo”.

Naye Afisa Biashara wa Halmashauri Ndugu Riziki Mhwagila amewaomba wafanyabiashara hao kuhudhuria vikao pindi watakapoitwa kwa lengo la kujadili mambo ya biashara. Hata hivyo uchaguzi wa viongozi haukufanyika kutokana na waliohudhuria kutotimia akidi.

 

Matangazo

  • Heri ya sikukuu ya Pasaka April 19, 2025
  • Uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura May 01, 2025
  • Kila la Heri Kidato cha Sita 2025 May 05, 2025
  • KUITWA KWENYE USAHILI WA UBORESHAJI WA DAFTARI JIMBO LA KALENGA NA ISMANI December 06, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • KAMPUNI YA CC AIRWELL KUWEKEZA UVUNAJI WA MAJI ANGANI NA HEWA UKAA IRINGA DC

    May 29, 2025
  • BURIANI MHE. FELIX WAYA

    May 26, 2025
  • MCHENGERWA: MAAFISA HABARI HAKIKISHENI WANANCHI WANAPATA HABARI SAHIHI

    May 24, 2025
  • KIJIJI KWA KIJIJI YATUA KATA YA KIWELE, ULANDA NA NZIHI

    May 22, 2025
  • Tazama zote

Video

Makala kuhusu miundombinu ya elimu
video

Viungo vya haraka

  • FOMU YA USAJILI WA VIKUNDI
  • INGIA KWENYE MFUMO WA VIKUNDI VYA HUDUMA NDOGO ZA FEDHA
  • Salary slip

Viungo vinavyohusiana

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Rais-Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ofisi ya Rais -Utumishi na Utawala Bora
  • Sekretariati ya ajira
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti kuu ya takwimu huria
  • Tovuti Rasmi ya Rais

Idadi ya watembeleaji duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

https://bachelorthesiswritingservice.com

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kijiji cha Ihemi

    Anuani ya posta: Po.Box108 Iringa

    Simu ya mezani: 026-2702828/2702585

    Simu ya mkononi: 0757 364 994

    Barua pepe: ded@iringadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Haki miliki @ Halmashauri ya Wilaya ya Iringa. Haki zote zimehifadhiwa