• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe Za Watumishi |
Iringa District Council
Iringa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu sekondari
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Mazingira na Usafishaji
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA NA Uhusiano
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Mipango,Utawala na Uchumi
      • UKIMWI
      • Afya Elimu na Maji
      • UMazingira, uchumi na Ujenzi
      • Maadili
    • Ratiba Ya Vikao mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa kutekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Hudumakwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video za Shughuli Mbalimbali za kiofisi na za Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

"Waliosababisha Hoja Wachukuliwe Hatua" - RC Dendengo

Imewekwa : June 13th, 2023

“Waliosabaisha Hoja Wachukuliwe Hatua” – RC Dendego

Kauli hiyo imetolewa na Mkuu wa Mkoa wa Iringa Mheshimiwa Halima Dendego alipokuwa akifungua Mkutano Maalum wa Baraza la Madiwani tarehe 13/06/2023 ambao ulikuwa unajadili hoja za Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali, zilizopatikana kwa mwaka wa Fedha unaoishia Juni 30, 2021/2022.

Mheshimiwa Dendego amesema, “Kila Halmashauri ina wajibu wa kujibu hoja ambazo zimepatikana katika mwaka husika, hivyo ni muhimu kuwajua waliosababisha hoja na kuwachukulia hatua bila kuwafumbia macho.”

Aidha, Mheshimiwa Dendego amewasihi Madiwani wa Halmashauri hiyo kusimamia miradi ya maendeleo na ukusanyaji wa mapato, na kila Robo ya mwaka wakae na kufanya tathmini kuwa imekusanywa kiasi gani. Pia amewataka Madiwani hao kufanya vikao vya Kata na kwamba mapato iwe agenda ya kudumu.

Kadhalika Mheshimiwa Dendego ameiasa Menejimenti ya Halmashauri kuwa, inapaswa ikutane kila mwezi na agenda ya hoja iwe ya kudumu, na kwamba waliosababisha hoja wajulikane.

Pamoja na mambo mengine Mheshimiwa Dendego amempongeza Mkurugenzi wa Halmashauri Wakili Bashir P. Muhoja kwa kuendelea kuaminiwa na Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan na kuendelea kuongoza Halmashauri. Pia ameipongeza Halmashauri kwa kupata Hati Safi kwa Mwaka wa Fedha 2021/2022, na kuipa heshima Mkoa wa Iringa. Jambo hili limetokana na ushirikiano wa viongozi wote na watumishi.

Kwa upande wake Katibu Tawala Mkoa Ndugu Leonard Masanja amesema, maoni yaliyopendekezwa na Mkaguzi Mkuu wa Serikali ni hatua za kisheria, hivyo ni muhimu kuzifanyia kazi na hoja zote ziondolewe.

Ameongeza kusema kuwa, “nawaomba Madiwani kuhamasisha wananchi kulipa kodi, kusimamia matumizi ya Halmashauri pia kufanya kazi na Mkaguzi wa Ndani ni muhimu ili kupunguza hoja”.

Naye Mwenyekiti wa Halmashauri amemshukuru Mkuu wa Mkoa kwa kukubali kuja kwenye Mkutano huo, na kuahidi yale yote yaliyosemwa pamoja na Madiwani wake wataenda kuyafanyika kazi ili kuijenga Halmashauri.

 

Matangazo

  • Heri ya sikukuu ya Pasaka April 19, 2025
  • Uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura May 01, 2025
  • Kila la Heri Kidato cha Sita 2025 May 05, 2025
  • KUITWA KWENYE USAHILI WA UBORESHAJI WA DAFTARI JIMBO LA KALENGA NA ISMANI December 06, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • KAMPUNI YA CC AIRWELL KUWEKEZA UVUNAJI WA MAJI ANGANI NA HEWA UKAA IRINGA DC

    May 29, 2025
  • BURIANI MHE. FELIX WAYA

    May 26, 2025
  • MCHENGERWA: MAAFISA HABARI HAKIKISHENI WANANCHI WANAPATA HABARI SAHIHI

    May 24, 2025
  • KIJIJI KWA KIJIJI YATUA KATA YA KIWELE, ULANDA NA NZIHI

    May 22, 2025
  • Tazama zote

Video

Makala kuhusu miundombinu ya elimu
video

Viungo vya haraka

  • FOMU YA USAJILI WA VIKUNDI
  • INGIA KWENYE MFUMO WA VIKUNDI VYA HUDUMA NDOGO ZA FEDHA
  • Salary slip

Viungo vinavyohusiana

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Rais-Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ofisi ya Rais -Utumishi na Utawala Bora
  • Sekretariati ya ajira
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti kuu ya takwimu huria
  • Tovuti Rasmi ya Rais

Idadi ya watembeleaji duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

https://bachelorthesiswritingservice.com

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kijiji cha Ihemi

    Anuani ya posta: Po.Box108 Iringa

    Simu ya mezani: 026-2702828/2702585

    Simu ya mkononi: 0757 364 994

    Barua pepe: ded@iringadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Haki miliki @ Halmashauri ya Wilaya ya Iringa. Haki zote zimehifadhiwa