• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe Za Watumishi |
Iringa District Council
Iringa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu sekondari
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Mazingira na Usafishaji
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA NA Uhusiano
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Mipango,Utawala na Uchumi
      • UKIMWI
      • Afya Elimu na Maji
      • UMazingira, uchumi na Ujenzi
      • Maadili
    • Ratiba Ya Vikao mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa kutekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Hudumakwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video za Shughuli Mbalimbali za kiofisi na za Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

WASIMAMIZI WASAIDIZI WA UCHAGUZI NGAZI YA KATA JIMBO LA KALENGA NA ISMANI WAPATIWA MAFUNZO NA KULA VIAPO

Imewekwa : August 4th, 2025

Wasimamizi wasaidizi wa uchaguzi wa ngazi ya kata katika Jimbo la Kalenga na Ismani wapatiwa mafunzo kutoka kwa wataalamu wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi mapema Agosti 04, 2025 katika Ukumbi wa Shule ya Wasichana Ifunda.

Akifungua Mafunzo hayo Msimamizi wa Uchaguzi wa Jimbo la Kalenga na Ismani Bi. Caroline Ang’wen Otieno amesisitiza washiriki wa mafunzo kusoma Katiba, shria, kanuni, taratibu na miongozo mbalimbali inayotolewa ili kuwarahisishia katika utekelezaji wa majukumu yao.

“Someni kwa umakini Katiba, sheria, kanuni, miongozo na maelekezo mbalimbali yaliyotolewa na yatakayotolewa na Tume na ulizeni ili kupata ufafanuzi wa maeneo ambayo kwa namna moja au nyingine pengine yatakuwa na changamoto ili kuwarahisishia katika utekelezaji wa kazi wakati wa uchaguzi” Amesema Bi. Otieno.

Sanjari na mafunzo hayo, vilevile washiriki wa mafunzo wapatao, 56 kutoka kata 28 za majimbo yote mawili ya Halmashauri ya Wilaya ya Iringa wamekula viapo vya kutunza siri na kujitoa uanachama wa vyama vya siasa ili kukidhi matakwa ya kisheria.

Mafunzo haya yana lengo la kujenga uwezo kwa wasimamizi wasaidizi wa uchaguzi ngazi ya Kata (ARO KATA) ili kuwa na uwezo wa kufanya kazi kwa uadilifu, weledi na kwa kuzingatia sheria na kanuni zilizowekwa.

Kuelekea uchaguzi mkuu wa 2025, tunasimamia kauli mbiu isemayo, “Kura ni Haki yako, Jitokeze Kupiga kura”


Matangazo

  • TANGAZO KWA UMMA July 28, 2025
  • KUITWA KWENYE USAHILI WA UBORESHAJI WA DAFTARI JIMBO LA KALENGA NA ISMANI December 06, 2024
  • FURSA YA UWEKEZAJI KWA MFUMO WA UBIA (PPP) January 03, 2025
  • TANGAZO LA KAZI January 24, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • WASIMAMIZI WASAIDIZI WA UCHAGUZI NGAZI YA KATA JIMBO LA KALENGA NA ISMANI WAPATIWA MAFUNZO NA KULA VIAPO

    August 04, 2025
  • KATIBU WA TAGCO ATEMBELEA BANDA LA IRINGA DC KWENYE NANENANE 2025 JIJINI MBEYA

    August 02, 2025
  • RC IRINGA: TUWAANDAE WANANCHI KUNUFAIKA NA MIRADI MIKUBWA YA KIMKAKATI

    July 18, 2025
  • KATIBU TAWALA WILAYA YA IRINGA APONGEZA UFAULU KIDATO CHA SITA

    July 09, 2025
  • Tazama zote

Video

Makala kuhusu miundombinu ya elimu
video

Viungo vya haraka

  • FOMU YA USAJILI WA VIKUNDI
  • INGIA KWENYE MFUMO WA VIKUNDI VYA HUDUMA NDOGO ZA FEDHA
  • Salary slip

Viungo vinavyohusiana

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Rais-Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ofisi ya Rais -Utumishi na Utawala Bora
  • Sekretariati ya ajira
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti kuu ya takwimu huria
  • Tovuti Rasmi ya Rais

Idadi ya watembeleaji duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

https://bachelorthesiswritingservice.com

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kijiji cha Ihemi

    Anuani ya posta: Po.Box108 Iringa

    Simu ya mezani: 026-2702828/2702585

    Simu ya mkononi: 0757 364 994

    Barua pepe: ded@iringadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Haki miliki @ Halmashauri ya Wilaya ya Iringa. Haki zote zimehifadhiwa