• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe Za Watumishi |
Iringa District Council
Iringa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu sekondari
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Mazingira na Usafishaji
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA NA Uhusiano
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Mipango,Utawala na Uchumi
      • UKIMWI
      • Afya Elimu na Maji
      • UMazingira, uchumi na Ujenzi
      • Maadili
    • Ratiba Ya Vikao mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa kutekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Hudumakwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video za Shughuli Mbalimbali za kiofisi na za Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Watendaji wa Kata, Maafisa Elimu Kata, Wakuu wa Shule Wajiandaa Vema Kupokea Wanafunzi Kidato cha Kwanza 2023

Imewekwa : December 30th, 2022

Watendaji wa Kata, Maafisa Elimu Kata, Wakuu wa Shule Wajiandaa Vema Kupokea Wanafunzi Kidato cha Kwanza 2023

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa Wakili Bashir Muhoja amewapongeza Watendaji wa Kata, Maafisa Elimu Kata na Wakuu wa Shule kwa kufanya kazi nzuri ya kusimamia vema ujenzi wa vyumba vya madarasa yanayotarajiwa kupokea wanafunzi wa Kidato cha Kwanza 2023.

Wakili Muhoja ametoa pongezi hizo alipokutana na Watendaji hao ili kujua mafanikio na changamoto katika ujenzi wa vyumba vya madarasa, ambavyo kwa sasa ujenzi huo unaelekea mwishoni tayari kwa kupokea wanafunzi.

“Nawapongeza sana kwa kazi zinazofanyika kwa kipindi chote ambacho ujenzi wa vyumba vya madarasa kwa baadhi ya shule ulikuwa unaendelea. Tuendelee kusimamia vema hadi pale wanafunzi wa Kidato cha Kwanza watakapokuwa wanaingia katika vyumba vya madarasa vikiwa safi na kila chumba kuna viti na meza kwa idadi sawa na wanafunzi waliopangwa”.

Pamoja na mafaanikio hayo Watendaji hao walieleza baadhi ya changamoto zinazowakabili ikiwa ni pamoja na upungufu wa viti na meza kwa baadhi ya shule, wananchi kutochangia miradi ya maendeleo ambapo inasababisha miradi kutokamilika kwa wakati.

Wakili Muhoja akifafanua changamoto hizo amesema, “Pamoja na changamoto hizi lakini tujitahidi kukamilisha ujenzi kabla shule hazijafungua, elimu itolewe kwa wananchi juu ya uchangiaji maendeleo na kwamba kwa kushirikiana wote pamoja tutafikia lengo”,

Halmashauri ya Wilaya ya Iringa inatarajia kupokea wanafunzi wa Kidato cha Kwanza 7929 kwa mwaka 2023.

Matangazo

  • Heri ya sikukuu ya Pasaka April 19, 2025
  • Uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura May 01, 2025
  • Kila la Heri Kidato cha Sita 2025 May 05, 2025
  • KUITWA KWENYE USAHILI WA UBORESHAJI WA DAFTARI JIMBO LA KALENGA NA ISMANI December 06, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • "KILA KATA WEKENI MIKAKATI MAALUMU YA KUPUNGUZA HALI DUNI YA LISHE" - MHE. KHERI JAMES

    May 09, 2025
  • KAMPENI YA CHANJO YA POLIO AWAMU YA PILI YATOLEWA MEI 01, 2025

    May 08, 2025
  • MBOMIPA Wakabidhi Gari kwa Jumuiya ya Hifadhi ya Wanyamapori

    May 08, 2025
  • IRINGA DC YAKABIDHI MWENGE WA UHURU KILOLO DC

    April 29, 2025
  • Tazama zote

Video

Makala kuhusu miundombinu ya elimu
video

Viungo vya haraka

  • FOMU YA USAJILI WA VIKUNDI
  • INGIA KWENYE MFUMO WA VIKUNDI VYA HUDUMA NDOGO ZA FEDHA
  • Salary slip

Viungo vinavyohusiana

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Rais-Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ofisi ya Rais -Utumishi na Utawala Bora
  • Sekretariati ya ajira
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti kuu ya takwimu huria
  • Tovuti Rasmi ya Rais

Idadi ya watembeleaji duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

https://bachelorthesiswritingservice.com

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kijiji cha Ihemi

    Anuani ya posta: Po.Box108 Iringa

    Simu ya mezani: 026-2702828/2702585

    Simu ya mkononi: 0757 364 994

    Barua pepe: ded@iringadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Haki miliki @ Halmashauri ya Wilaya ya Iringa. Haki zote zimehifadhiwa