• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe Za Watumishi |
Iringa District Council
Iringa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu sekondari
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Mazingira na Usafishaji
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA NA Uhusiano
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Mipango,Utawala na Uchumi
      • UKIMWI
      • Afya Elimu na Maji
      • UMazingira, uchumi na Ujenzi
      • Maadili
    • Ratiba Ya Vikao mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa kutekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Hudumakwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video za Shughuli Mbalimbali za kiofisi na za Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

"WATU WAFUNDISHWE KUWA NA MTINDO WA ULAJI WA KUZINGATIA KANUNI KUEPUKA MATATIZO YA KIAFYA" - MHE. BENJAMIN SITTA

Imewekwa : August 12th, 2025


Mkuu wa Wilaya ya Iringa Mhe. Benjamin Sitta ametoa wito kwa Maafisa lishe na viongozi wa Idara zingine kukaa Pamoja, kuchakata na kuja na kanuni itakayowasaidia watu hasa akinamama wajawazito kupata lishe bora kwa uendelevu ili kupunguza utegemezi wa matumizi ya vidonge.

Mhe. Sitta ameyasema hayo wakati wa kikao cha tathmini ya Mkataba wa lishe kilichofanyika Agosti 12, 2025 katika ukumbi wa Siasa ni Kilimo Iringa.

Aidha Mhe. Sitta ameongeza kuwa kitendo cha kuwa na utegemezi mkubwa wa vidonge kwa akinamama wajawazito Pamoja na changamoto zake ni Ushahidi kuwa lipo tatizo ambalo linahitaji majibu ya kiutafiti. Kwamba wakati mwingine matumizi ya vidonge hayazingatiwi kwa usahihi kutokana na changamoto za mabadiliko ya mama mjamzito lakini kukiwa na ulaji unaozingatika kanuni utapunguza changamoto nyingi za mjamzito wakati wa kujifungua.

Kwa upande mwingine Mkuu wa Wilaya ya Iringa Mhe. Sitta ametoa pongezi kwa Mkurungezi Mtendaji wa Halmashauri, viongozi wa Idara na wadau wote wa masuala ya lishe kwa juhudi mbalimbali zilizopelekea kuwa na hali nzuri kwenye masuala ya lishe.

Kwa upande wake Afisa Lishe wa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa Bi. Aveline Selemani akisoma taarifa ya mpango wa utekelezaji wa afua za lishe amesema, mwaka 2025/2026 Halmashauri imepanga kutekeleza afua 28 kutoka Idara saba ambazo ni; Afya, Mifugo, Uvuvi, Kilimo, Maendeleo ya Jamii, Elimu Sekondari na Elimu Msingi kwa kushirikiana na UNICEF.

Halmashauri ya Wilaya ya Iringa kwa kushirikiana na  wadau wa maendeleo amba oni World Vision Tanzania, Care, CEFA, na ASF wanaotekeleza afua za lishe wamepunguza sana kiwango cha udumavu na wenyeviti wa vijiji kutoka vijiji 134 wamepatiwa mafunzo ya usimamizi wa masuala ya lishe ngazi ya jamii.


Matangazo

  • TANGAZO KWA UMMA July 28, 2025
  • KUITWA KWENYE USAHILI WA UBORESHAJI WA DAFTARI JIMBO LA KALENGA NA ISMANI December 06, 2024
  • FURSA YA UWEKEZAJI KWA MFUMO WA UBIA (PPP) January 03, 2025
  • TANGAZO LA KAZI January 24, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • "WATU WAFUNDISHWE KUWA NA MTINDO WA ULAJI WA KUZINGATIA KANUNI KUEPUKA MATATIZO YA KIAFYA" - MHE. BENJAMIN SITTA

    August 12, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA IRINGA ATETA NA WATUMISHI WA IRINGA DC

    August 12, 2025
  • MWONGOZO WA UUNDAJI WA KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI WATOLEWA

    August 05, 2025
  • MHE. LUKUVI AWAPOKEA WAJUMBE WA BODI YA HELEN KELLER INTERNATIONAL KWA KAMBI YA MATIBABU YA MTOTO WA JICHO

    August 05, 2025
  • Tazama zote

Video

Makala kuhusu miundombinu ya elimu
video

Viungo vya haraka

  • FOMU YA USAJILI WA VIKUNDI
  • INGIA KWENYE MFUMO WA VIKUNDI VYA HUDUMA NDOGO ZA FEDHA
  • Salary slip

Viungo vinavyohusiana

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Rais-Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ofisi ya Rais -Utumishi na Utawala Bora
  • Sekretariati ya ajira
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti kuu ya takwimu huria
  • Tovuti Rasmi ya Rais

Idadi ya watembeleaji duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

https://bachelorthesiswritingservice.com

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kijiji cha Ihemi

    Anuani ya posta: Po.Box108 Iringa

    Simu ya mezani: 026-2702828/2702585

    Simu ya mkononi: 0757 364 994

    Barua pepe: ded@iringadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Haki miliki @ Halmashauri ya Wilaya ya Iringa. Haki zote zimehifadhiwa