• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe Za Watumishi |
Iringa District Council
Iringa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu sekondari
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Mazingira na Usafishaji
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA NA Uhusiano
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Mipango,Utawala na Uchumi
      • UKIMWI
      • Afya Elimu na Maji
      • UMazingira, uchumi na Ujenzi
      • Maadili
    • Ratiba Ya Vikao mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa kutekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Hudumakwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video za Shughuli Mbalimbali za kiofisi na za Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

WATUMISHI WA AFYA WAASWA KUZINGATIA MAADILI YA KAZI

Imewekwa : July 17th, 2023

WATUMISHI WA AFYA WAASWA KUZINGATIA MAADILI YA KAZI

Watumishi wa afya waaswa kuzingatia maadili ya kazi na kutofanya kazi kinyume na walichofundishwa pamoja na viapo walivyokula. Haya yamesemwa na Naibu katibu Mkuu wa Wizara ya Afya Dkt. Grace Magembe alipokuwa akizungumza na viongozi pamoja na wataalamu mbalimbali wa afya Mkoani Iringa tarehe 16/07/2023 katika Ukumbi wa Siasa ni Kilimo.

“Kila mtu alikula kiapo kwa kadri ya taaluma yake tuzingatie, siri, utoaji wa huduma kwa viwango, weledi na suala zima la ufanisi” amesema Dkt. Magembe. Aidha suala la usalama katika eneo la kazi kwa watumishi wa afya limesisitizwa na kwamba vifaa vya kujikinga vitumiwe kikamilifu.

Naye Naibu Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OR-TAMISEMI) Dkt. Wilson Mahera amesema kuwa suala la uhamisho kwa watumishi linafanyiwa kazi na kwamba watumishi walioomba uhamisho wawe watulivu na waepuke matapeli.

Kwa upande wa elimu Dkt. Mahera amesema fedha nyingi sana zimetolewa kwenye miradi ya ujenzi wa madarasa ya Boost hivyo kasi ya ujezi iongezwe ili ujenzi uweze kukamilika kwa wakati na kwamba Wakurugenzi wachukue jukumu hili kuhakikisha kwenye mradi mafundi wanakuwa wengi.

Pia kwenye upande wa afya Dkt Mahera amesisitiza kuwa  Serikali ipo mbioni kutoa magari mawili ya kubebea wagonjwa (Ambulance) kwa kila Halmashauri ili kuendelea kuboreha upatikanaji wa huduma.

Naye Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa Wakili Bashir Muhoja ameipongeza Serikali kwa kutoa fedha nyingi sana kwaajili ya utekelezaji wa Miradi ya Maendeleo kwenye Idara ya afya ambapo mwaka huu tu zahanati 11 zinaenda kufunguliwa Halmashauri ya wilaya ya Iringa, Hospitali ya Wilaya imejengwa, Jengo la makao Makuu na Miradi mingine mingi ya Elimu inatekelezwa.

Matangazo

  • PONGEZI June 24, 2025
  • KUITWA KWENYE USAHILI WA UBORESHAJI WA DAFTARI JIMBO LA KALENGA NA ISMANI December 06, 2024
  • FURSA YA UWEKEZAJI KWA MFUMO WA UBIA (PPP) January 03, 2025
  • TANGAZO LA KAZI January 24, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MAFUNZO YA MFUMO WA ESS YATOLEWA KWA WATUMISHI IRINGA DC

    June 25, 2025
  • MANENO MAZITO YA MHE. MHAPA WAKATI WA KUVUNJA BARAZA

    June 19, 2025
  • KAMATI YA FEDHA, UTAWALA NA MIPANGO YAFANYA ZIARA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO KWA ROBO YA NNE

    June 19, 2025
  • MKUTANO WA BARAZA LA MADIWANI KWA ROBO YA NNE 2024/2025 WAFANYIKA

    June 18, 2025
  • Tazama zote

Video

Makala kuhusu miundombinu ya elimu
video

Viungo vya haraka

  • FOMU YA USAJILI WA VIKUNDI
  • INGIA KWENYE MFUMO WA VIKUNDI VYA HUDUMA NDOGO ZA FEDHA
  • Salary slip

Viungo vinavyohusiana

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Rais-Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ofisi ya Rais -Utumishi na Utawala Bora
  • Sekretariati ya ajira
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti kuu ya takwimu huria
  • Tovuti Rasmi ya Rais

Idadi ya watembeleaji duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

https://bachelorthesiswritingservice.com

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kijiji cha Ihemi

    Anuani ya posta: Po.Box108 Iringa

    Simu ya mezani: 026-2702828/2702585

    Simu ya mkononi: 0757 364 994

    Barua pepe: ded@iringadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Haki miliki @ Halmashauri ya Wilaya ya Iringa. Haki zote zimehifadhiwa