• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe Za Watumishi |
Iringa District Council
Iringa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu sekondari
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Mazingira na Usafishaji
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA NA Uhusiano
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Mipango,Utawala na Uchumi
      • UKIMWI
      • Afya Elimu na Maji
      • UMazingira, uchumi na Ujenzi
      • Maadili
    • Ratiba Ya Vikao mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa kutekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Hudumakwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video za Shughuli Mbalimbali za kiofisi na za Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

WAZIRI MKUU MHE. KASSIM MAJALIWA AZINDUA HOSPITALI YA TOSAMAGANGA KUWA RUFAA

Imewekwa : July 6th, 2024


Azitaja hudumazinazotolewa hapo na kuzipongeza taasisi za dini kwa kuunga mkono jitihada za serikali kutoa katika jamii ikiwemo huduma ya afya.

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim  Majaliwa amefanya uzinduzi wa Hospitali ya Teule ya Tosamaganga kuwa Hospitali ya Rufaa ngazi ya Mkoa (Tosamaganga Regional Referral Hospital) Julai 06, 2024.

Akizungumza na wananchi wakati wa uzinduzi, Mhe. Majaliwa amelipongeza kanisa kwa jitihada za kupandisha hadhi Hospitali teule ya Tosamaganga kuwa Hospitali ya Rufaa ngazi ya Mkoa ambapo katika Mkoa wa Iringa tayari kumeshakuwa na Hospitali mbili za rufaa zenye uwezo wa kutoa huduma za kibingwa, hivyo kupunguza adha ya wananchi kusafiri hadi Dodoma au Dar es salaam kufuata huduma hizo.

Aidha Mhe. Majaliwa amezitaja huduma zinazotolwa katika Hospitali ya Rufaa ya Tosamaganga kuwa ni; Huduma ya Uzazi na magonjwa ya mfumo wa uzazi wa akinamama, Upasuaji wa mifupa, huduma ya upasuaji wa jumla (general surgery), Huduma ya wagonjwa wa nje (OPD), huduma ya wagonjwa wa magonjwa yasiyoambukiza, huduma ya wagonjwa wa dharura (Emergrnce department), idara ya mionzi, huduma ya wagonjwa wa mfumo wa ubongo na mishipa ya fahamu, huduma ya kinywa na meno, huduma ya idara ya watoto, huduma ya utenganifu wa matibabu ya figo, na huduma ya wagojwa wa magonjwa ya ngozi,

“Dhamira ya Rais Dkt. Samia ni kuwatumikia wananchi kwa kuhakikisha sekta ya afya inafika kila mahali ikiwemo kujenga Hospitali kwenye kila halmashauri. Watanzania endeleeni kuwa na Imani na serikali yenu, nasi tutaendelea kuwahudumia ipasavyo” amesema Mhe. Majaliwa.

Kwa upande wake Mkurugenzi wa Hospitali ya Rufaa ya Tosamaganga amesema, hospitali inatoa huduma za kibingwa na bobezi hivyo kkuweza kuchangia kwa kiasi kikubwa kuboresha afya za watanzania. Pia ametoa shukrani kwa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania chini ya Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa msaada wa hali na mali unaotolewa kwenye hospitali.

Matangazo

  • Heri ya sikukuu ya Pasaka April 19, 2025
  • Uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura May 01, 2025
  • Kila la Heri Kidato cha Sita 2025 May 05, 2025
  • KUITWA KWENYE USAHILI WA UBORESHAJI WA DAFTARI JIMBO LA KALENGA NA ISMANI December 06, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • "KILA KATA WEKENI MIKAKATI MAALUMU YA KUPUNGUZA HALI DUNI YA LISHE" - MHE. KHERI JAMES

    May 09, 2025
  • KAMPENI YA CHANJO YA POLIO AWAMU YA PILI YATOLEWA MEI 01, 2025

    May 08, 2025
  • MBOMIPA Wakabidhi Gari kwa Jumuiya ya Hifadhi ya Wanyamapori

    May 08, 2025
  • IRINGA DC YAKABIDHI MWENGE WA UHURU KILOLO DC

    April 29, 2025
  • Tazama zote

Video

Makala kuhusu miundombinu ya elimu
video

Viungo vya haraka

  • FOMU YA USAJILI WA VIKUNDI
  • INGIA KWENYE MFUMO WA VIKUNDI VYA HUDUMA NDOGO ZA FEDHA
  • Salary slip

Viungo vinavyohusiana

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Rais-Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ofisi ya Rais -Utumishi na Utawala Bora
  • Sekretariati ya ajira
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti kuu ya takwimu huria
  • Tovuti Rasmi ya Rais

Idadi ya watembeleaji duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

https://bachelorthesiswritingservice.com

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kijiji cha Ihemi

    Anuani ya posta: Po.Box108 Iringa

    Simu ya mezani: 026-2702828/2702585

    Simu ya mkononi: 0757 364 994

    Barua pepe: ded@iringadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Haki miliki @ Halmashauri ya Wilaya ya Iringa. Haki zote zimehifadhiwa