• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe Za Watumishi |
Iringa District Council
Iringa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu sekondari
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Mazingira na Usafishaji
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA NA Uhusiano
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Mipango,Utawala na Uchumi
      • UKIMWI
      • Afya Elimu na Maji
      • UMazingira, uchumi na Ujenzi
      • Maadili
    • Ratiba Ya Vikao mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa kutekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Hudumakwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video za Shughuli Mbalimbali za kiofisi na za Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Ziara ya Mkuu wa Mkoa wa Iringa Mh. Queen Sendiga katika makabidhiano ya ujenzi wa madarasa 94 kupitia mradi namba 5441 TCRP, pamoja na kupitia miradi mbalimbali ya maji iliyotekelezwa katika Halmashauri ya wilaya ya Iringa tarehe 07-08/01/2022

  • Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Iringa Bwana Bashir Muhoja akizungumzia juu ya utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa vyumba vya madarasa yaliyojengwa kwa fedha za Uviko 19

    Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa Mh. Stephen Mhapa akitoa pongezi kwa Kamati ya ujenzi kwa kukamilisha ujenzi wa vyumba vya madarasa kwa wakati

    Mkuu wa wilaya ya Iringa Mh. Mohamed Moyo akitoa taarifa ya kukabidhi madarasa 94 kupitia mradi Namba 5441 TCRP kwa Mkuu wa Mkoa wa Iringa Mh. Queen Curthbert Sendiga tarehe 07/01/2022

    Mkuu wa Mkoa wa Iringa Mh. Queen Sengida akikata utepe kuashiria kupokea madarasa 94 yaliyojengwa kwa fedha za Uviko 19

    Viongozi wa Chama na Serikali wakishangilia mara baada ya kukabidhiwa madarasa 94 yaliyojengwa kwa fedha za Uviko 19

    Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa Wakili Bashir Muhoja, akifafanua jambo kwa Mkuu wa Mkoa wa Iringa Mh. Queen Sendiga.

    Mkuu wa Mkoa wa Iringa Mh. Sendiga akikagua moja ya darasa ya shule ya Sekondari Kalenga yaliyojengwa kwa fedha za Uviko 19 kabla ya kukabidhiwa madarasa hayo.

    Diwani wa Kata ya Maboga Mh. Venislaus Muyinga akifafanua jambo mbele ya Mkuu wa wilaya ya Iringa Mh. Mohamed Moyo katika kukagua mradi wa maji uliotekelezwa katika kijiji cha Magunga Kata ya Maboga

    Mkuu wa Mkoa wa Iringa Mh. Queen Sendinga akimtwishwa ndoo ya maji mwananchi Maria Mgongolwa kama ishara ya kukabidhi mradi huo kwa wananchi wa Kijiji cha Magunga Kata ya Maboga

    Tanki la maji la lita 100,000 linaloendelea kujengwa katika kata ya Luhota kijiji cha Ndiwili

Matangazo

  • EID - AL- ADHA MUBARAK June 07, 2025
  • KUITWA KWENYE USAHILI WA UBORESHAJI WA DAFTARI JIMBO LA KALENGA NA ISMANI December 06, 2024
  • FURSA YA UWEKEZAJI KWA MFUMO WA UBIA (PPP) January 03, 2025
  • TANGAZO LA KAZI January 24, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MANENO MAZITO YA MHE. MHAPA WAKATI WA KUVUNJA BARAZA

    June 19, 2025
  • KAMATI YA FEDHA, UTAWALA NA MIPANGO YAFANYA ZIARA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO KWA ROBO YA NNE

    June 19, 2025
  • MKUTANO WA BARAZA LA MADIWANI KWA ROBO YA NNE 2024/2025 WAFANYIKA

    June 18, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA IRINGA YAPONGEZWA KWA KUPATA HATI SAFI

    June 17, 2025
  • Tazama zote

Video

Makala kuhusu miundombinu ya elimu
video

Viungo vya haraka

  • FOMU YA USAJILI WA VIKUNDI
  • INGIA KWENYE MFUMO WA VIKUNDI VYA HUDUMA NDOGO ZA FEDHA
  • Salary slip

Viungo vinavyohusiana

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Rais-Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ofisi ya Rais -Utumishi na Utawala Bora
  • Sekretariati ya ajira
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti kuu ya takwimu huria
  • Tovuti Rasmi ya Rais

Idadi ya watembeleaji duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

https://bachelorthesiswritingservice.com

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kijiji cha Ihemi

    Anuani ya posta: Po.Box108 Iringa

    Simu ya mezani: 026-2702828/2702585

    Simu ya mkononi: 0757 364 994

    Barua pepe: ded@iringadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Haki miliki @ Halmashauri ya Wilaya ya Iringa. Haki zote zimehifadhiwa